Pre GE2025 'Mbowe Must go inalenga kuyumbisha CHADEMA, kuweni Macho wamachama

Pre GE2025 'Mbowe Must go inalenga kuyumbisha CHADEMA, kuweni Macho wamachama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Kipindi hiki kuelekea uchaguzi kuna mambo mengi tutaona. Leo nimesikia sauti ya watanzania wakihamasishana ili kumshinikiza Mbowe aachie ngazi.

Mara kadhaa Dr Slaa ametoa tahadhari kuwa kitendo chochote cha kumtaka Mbowe aachie ngazi hususani kipindi hiki cha uhasama wa akina Msigwa na CCM ni cha kuangalia kwa jicho pevu kwa vile hii ni mbinu inayoweza kutumika na maadui na wahasimu wake wa kisiasa kumwondoa kwa nguvu na kwa vyovyote vile haitakiacha chama salama.

Katiba ya Chama ipo,taratibu zipo, sasa hiyo movement ya Mbowe must go kwa sasa ina kusudio gani? hapa lazima kufanya utafiti na kukusanya taarifa za kiintelejensia madhara na faida zake ni zipi vinginevyo wote wanashinikiza hilo wamekula fedha za upande wa pili. Ni kazi ya deep state.

Dr Slaa ni mtu makini ni vugumu kumburuta kama wanavyotaka hao wanafiki.Acheni utaratibu wa utawala bora ufanye kazi. kwa nini isiwe kwa Mwenyekiti wa CCM ambaye ana uwajibikaji wa kinchi, kwa nini siyo Lipumba wa CUF,CHAUMA,UDP nk kama tuko serious kweli. kuna viongozi wanazungumzia kushinda kwa kuiba kura. vipi hao, Sauti ya Watanzania isitumike kulinda upande wa pili. Picha tunaanza kuipata vizuri jinsi tunaposogea uchaguzi. Tafakuri makini kwa hili
 
na huyu
GS7Im4CX0AAiVBI.jpg
 
Kukubali kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya,kumeiondolea heshima chadema kama chama cha siasa na kuwa wachumia tumbo!!!

Ni wa kuwapuuza hao!!
 
Katiba Mpya ni ya Watanzania wote,siyo ya Chadema au Mbowe.kama tumeshindwa basi lawama kwa watanzania wote.Viongozi wa dini,vyama vya siasa,NGO,na wote tumepigania lakini tumeshindwa mara ya pili. Tukiri.
 
Katiba Mpya ni ya Watanzania wote,siyo ya Chadema au Mbowe.kama tumeshindwa basi lawama kwa watanzania wote.Viongozi wa dini,vyama vya siasa,NGO,na wote tumepigania lakini tumeshindwa mara ya pili. Tukiri.
Mmeishiwa hoja,mkishindwa msilalamike mmeonewa kama 2020!!
 
Mbowe alishasema haondoki ng'o! Labda wanachama wake wakimkataa. Anasisitiza kuwa hakuna faida ya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA 😁😁😁

 
Umetumwa na Mbowe umtete

Mbowe must GO, yupo Upinzani tu hatak kuachia madaraka anawafata akina m7.
Mbowe hana madhara kuliko walioko madarakani Serikalini tusikwepe. Huo ni udhaifu. Je Kenya wangesema Raila must go badala ya Ruto must go ingeeleweka kweli!
 
Umetumwa na Mbowe umtete

Mbowe must GO, yupo Upinzani tu hatak kuachia madaraka anawafata akina m7.
Mbowe hana madhara kuliko walioko madarakani Serikalini tusikwepe. Huo ni udhaifu. Je Kenya wangesema Raila must go badala ya Ruto must go ingeeleweka kweli !
 
Kwamba Chadema kufikiri CCM imekaa sana madarakani na inatakiwa kuondoka;

Kwamba Chadema kuamini kwa chama kukaa muda mrefu madarakani ni udikteta na kukosekana kwa demokrasia;
Na kwamba wakati huhuo Chadema hiyo hiyo kuamini Mwenyekiti Mbowe kuendelea kukalia kiti Cha Uwenyekiti kwa zaidi ya miaka 30 ni kuimarisha chama; sio tu Chadema wanajichanganya wenyewe bali wanawafanya Watanzania wenye akili waamini Chadema ni chama Cha wahuni waliojipanga kupiga Kodi za Watanzania kupitia siasa!
 
Hii narative ya Mbowe must go ina harufu ya Akina Msigwa na akina Makalla nadhani muhimu tujadili mwelekeo wa nchi na changamoto zake.

CCM iko kazini kwa sasa ina mbinu 1000 inaweza imtumie Rugemalila au yeyoye yule. Nakubaliana na Dr Slaa kuwa ni lazima kuwa vigilant on this move hususani kwa kipindi hiki cha uchaguzi. si ajabu wanagonganishwa kwenye kamati kuu wasambaratike aikwemo lissu

Timing ni muhimu sana. Hoja ya Kutembea na Msingi kwa sasa ni muhimu. Mbowe ashauriwe kuitisha kamati na Baraza kujadili mikakati na mbinu ya vita ya uchaguzi wasambae nchi nzima vijijini. Ikishindikana legitimacy yake itaishia hapo,lakini push ya akina mzee wa fitina Ruge tuwe makini
 
Back
Top Bottom