CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Kwanini asiondoke anayeuza urithi wa Watanganyika kwa waarabu? Mbowe ana madhara gani kwa taifa hili? Na kwanini wanaccm ndiyo wanataka Mbowe aondoke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mshenzi aliyepo kaburin ndiyo mungu wakoMbowe ndiyo mungu wa nyumbu?
Huyu takataka ndiyo source yako wewe punguan
Ukisusia ndio Ccm itaondoka madarakani?Kukubali kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya,kumeiondolea heshima chadema kama chama cha siasa na kuwa wachumia tumbo!!!
Ni wa kuwapuuza hao!!
Labda kwa kutekana na kupora kila kitu kama kawaida yenu.Mmeishiwa hoja,mkishindwa msilalamike mmeonewa kama 2020!!
Huoni Mbowe yupo pekee yake si walitangaza atazunguka na Lissu, kiazi kweli wwHuyu takataka ndiyo source yako wewe punguan
Kwahyo mnataka aendelee?Kujua tofauti tu ya M7 na Mbowe umeshindwa, lakini unakaza fuvu kuwa Mbowe must go. Wanaowalipa ndiyo wajinga kuliko hata nyie. Wawe hata wanawapa elimu kidogo
Nguvu ya Chadema iliathirika sana kipindi cha Magufuli Mbowe alijitahidi sana hadi kufungwa,kufilisiwa nk aliyekifikisha chama hapo kilipo ni Mbowe kwa uongozi wake wa ujasiri. hao unao wasema hawajawahi kuongoza chama. Chadema ni Taasisi na chama kikubwa. kazi ya Mbowe imeonekana, wote hao unaowataja amewa recruit Mbowe ie Heche,Halima, Mnyika etc.Wewe wacha kutumika na akina Msigwa kukisambaratisha chama. Kitavuka tu, Kamanda tuvushe tenaTuseme ukweli. Waliofanya hadi CDM iwahangaishe CCM ni wakina Slaa, Lissu, Zitto, Mdee, Msigwa, Heche(Bado yupo) na wengine wengi waliotoka. Hawa walimzidi mbali sana mwenyekiti kwa impact dhidi ya CCM. Walikuwa wazuri kujenga hoja kuliko mwenyekiti. Bado CDM ndiyo chama kikuu cha upinzani lakini hakina tena nguvu iliyokuwa nayo kipindi cha majembe hayo. Ukichunguza utaona CCM wanafaidika sana na uwepo wa Mbowe kama mwenyekiti, wameishamsoma, wanammudu.
Bora nusu shari kuliko Shari kamili. Utambue vyama vya upinzanzi sio chadema tu, vipo na Act, chauma so chadema wakigomea haimaanishi uchaguzi hautakuwepo. Cha maana wataambiwa kutokushiriki pia ni uhuru wa chama na ni demokrasia. Kutoa ccm madarakani mpaka wananchi wachoke haswa na sio Kwa njia ya sandukuKukubali kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya,kumeiondolea heshima chadema kama chama cha siasa na kuwa wachumia tumbo!!!
Ni wa kuwapuuza hao!!
Kusema ukweli Mbowe hafifishi mimi ninaamini CCM Dola ndilo tatizo kubwa pamoja na elimu ya uraia kwa watanzania kuchukua hatua bado sana, mifumo na undumilakuwili wa wana siasa wetu. UKAWA iliumizwa na deep state pamoja na kushinda uchaguzi, Dr Slaa na Lissu ,Vivyo hivyo kwa Zanzibar Maalim Seif. walifanya nini.Hii siyo kirahisi hivyo,sasa hivi pesa zimemwagwa kiuvuruga chadema komaeni msikubali. Mbowe tena!Umechagua kutumia mfano mbaya huu, wa Dr Slaa kujengea hoja ambayo ni hoja nzito. 'Credibility' ya William Slaa ilivurugika alipo kubali kukivuruga chama chake mwenyewe na kwenda kuungana na mahasimu wa chama hicho.
Ninacho kubaliana nawe bila pingamizi ni kusikiliza hizo sauti toka nje ya CHADEMA, hasa toka huko ndani ya CCM. Inawezekana hizi sauti zinapazwa sasa baada ya kuona 'project' (mradi wao) walio kuwa wameuanzisha kwa kumtumia Mbowe unaelekea kuvurugika baada ya Mbowe kutambua hadaa alizo kuwa akifanyiwa na 'Chura Kiziwi'.
Sasa matumaini yao yanageuka na kutaka kumvuruga Mbowe na chama chake.
Lakini pia tunapo walaumu CCM na mbinu zao za kutaka kuwavuruga CHADEMA, tusisahau pia kwamba kuna sauti zisizohusiana na CCM zinazomshauri Mbowe aweke maslahi ya nchi zaidi. Kama kuendelea kwake kuongoza chama kunafifisha kwa njia yoyote ile chama kufanya juhudi za kuwaondoa CCM madarakani, sauti hizo nazo zisipuuzwe.
Katiba yao inasemaje? Kama inamruhusu basi aendelee, na wewe acha kuumia kwa yasiyokuhusuKwahyo mnataka aendelee?
NEndeni mahakamani mukaombe mpewe hati za Mali zote za chama unaweza kuta zinamajina ya Mbowe, madikiteta huwa yanatamaa za maliKatiba yao inasemaje? Kama inamruhusu basi aendelee, na wewe acha kuumia kwa yasiyokuhusu
Tunatafuta visababu chungu nzima vya kuhalalisha CCM kubaki madarakani. Binafsi sikubaliani na hizo sababu.Kusema ukweli Mbowe hafifishi mimi ninaamini CCM Dola ndilo tatizo kubwa pamoja na elimu ya uraia kwa watanzania kuchukua hatua bado sana, mifumo na undumilakuwili wa wana siasa wetu. UKAWA iliumizwa na deep state pamoja na kushinda uchaguzi, Dr Slaa na Lissu ,Vivyo hivyo kwa Zanzibar Maalim Seif. walifanya nini.Hii siyo kirahisi hivyo,sasa hivi pesa zimemwagwa kiuvuruga chadema komaeni msikubali. Mbowe tena!
Kwanini lawama za katiba mpya unazitupa chadema? Kwani chadema ni wakala ama jukwaa la kupigania katiba mpya? Wewe kama ni mwalimu kweli, basi wanafunzi wako wanapoeza muda tu.Mmeishiwa hoja,mkishindwa msilalamike mmeonewa kama 2020!!
Wewe huijui siasa,timu nzuri ya Samia ndiyo inayomsaidia samia siyo yeye kama yeye ndiyo inavyokuwa,uwepo wa hao unawataja i.e Heche, Lissu, Halima, Easther Bulaya ndiyo timu yenyewe kwenye ubora wake ulitegemea nini?Tuseme ukweli. Waliofanya hadi CDM iwahangaishe CCM ni wakina Slaa, Lissu, Zitto, Mdee, Msigwa, Heche(Bado yupo) na wengine wengi waliotoka. Hawa walimzidi mbali sana mwenyekiti kwa impact dhidi ya CCM. Walikuwa wazuri kujenga hoja kuliko mwenyekiti. Bado CDM ndiyo chama kikuu cha upinzani lakini hakina tena nguvu iliyokuwa nayo kipindi cha majembe hayo. Ukichunguza utaona CCM wanafaidika sana na uwepo wa Mbowe kama mwenyekiti, wameishamsoma, wanammudu.
Bora Msigwa angebaki CHADEMA na kupiga kelele za kumuondoa Mbowe angesikilizwa. Lakini sasa yuko CCM na kupiga kelele za ubaya wa mbowe na kumtaka angatuke, hafanikiwi chochote kwa muujibu wa Mbowe mwenyewe.Mbowe alishasema haondoki ng'o! Labda wanachama wake wakimkataa. Anasisitiza kuwa hakuna faida ya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA 😁😁😁
View attachment 3047374
Hawa ni wanasiasa. Bila shaka wanajuana. Usidanganyike!Bora Msigwa angebaki CHADEMA na kupiga kelele za kumuondoa Mbowe angesikilizwa. Lakini sasa yuko CCM na kupiga kelele za ubaya wa mbowe na kumtaka angatuke, hafanikiwi chochote kwa muujibu wa Mbowe mwenyewe.
Ahhh, Msigwa kapotea!
Ni kweliMbowe alishasema haondoki ng'o! Labda wanachama wake wakimkataa. Anasisitiza kuwa hakuna faida ya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA 😁😁😁
View attachment 3047374