Kwahyo hela kapeleka wapi Yani Lissu awe Hana taarifa za mapato na matumizi ya ruzuku na join the chain, halafu ww mzungusha mikono wa ufipa uwe na taarifaUlimshikia sahani wakati anakula huo ujingaujinga unaoukazania?
Ndiyo ulipoishia kufikiri?Kwahyo hela kapeleka wapi Yani Lissu awe Hana taarifa za mapato na matumizi ya ruzuku na join the chain, halafu ww mzungusha mikono wa ufipa uwe na taarifa
Kufikiri nnNdiyo ulipoishia kufikiri?
Hata hujui unafikiri nini?Kufikiri nn
Wewe pumb.avu ulifanya juhudi gani kudai hiyo Katiba mpya?! Kafie mbele.Kukubali kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya,kumeiondolea heshima chadema kama chama cha siasa na kuwa wachumia tumbo!!!
Ni wa kuwapuuza hao!!
Mbona naona unaandika vitu havielewek au anakuandikia mtoto wakoHata hujui unafikiri nini?
Mimi mwenyewe ndiyo sikuelewi kabisa.Hivi ulikuwa unaandika kuhusu nini vile?Naamini nimezeeka.Sorry.Nilichanganya uzi wako na vitu fulani tunafanya hapa kilabuni.Wewe endelea na yako usinijali aisee!Mbona naona unaandika vitu havielewek au anakuandikia mtoto wako
Tatzo mnadai Katiba huku Katiba ya Chadema ukomo wa mwenyekiti haujadiliwi....naona sahz mpo kimya🤣🤣nyie jamaa ni matapeli SanaWewe pumb.avu ulifanya juhudi gani kudai hiyo Katiba mpya?! Kafie mbele.
Hadi wafia legacy?! Shenzi.Siku Mbowe ameondoka uenyekiti kuna maelfu watamiminika kujiunga Chadema.
Mbowe haendi kokote ,mpaka pale wanachama wakiamua period , hakuna sababu ya kuwashwa na chadema ,chama kipo na taratibu zake ,leo nitaanzaje sema mwenyekiti ccm must go wakati ,hata wengine hatujui taratibu za chama husikaKipindi hiki kuelekea uchaguzi kuna mambo mengi tutaona. Leo nimesikia sauti ya watanzania wakihamasishana ili kumshinikiza Mbowe aachie ngazi.
Mara kadhaa Dr Slaa ametoa tahadhari kuwa kitendo chochote cha kumtaka Mbowe aachie ngazi hususani kipindi hiki cha uhasama wa akina Msigwa na CCM ni cha kuangalia kwa jicho pevu kwa vile hii ni mbinu inayoweza kutumika na maadui na wahasimu wake wa kisiasa kumwondoa kwa nguvu na kwa vyovyote vile haitakiacha chama salama.
Katiba ya Chama ipo,taratibu zipo, sasa hiyo movement ya Mbowe must go kwa sasa ina kusudio gani? hapa lazima kufanya utafiti na kukusanya taarifa za kiintelejensia madhara na faida zake ni zipi vinginevyo wote wanashinikiza hilo wamekula fedha za upande wa pili. Ni kazi ya deep state.
Dr Slaa ni mtu makini ni vugumu kumburuta kama wanavyotaka hao wanafiki.Acheni utaratibu wa utawala bora ufanye kazi. kwa nini isiwe kwa Mwenyekiti wa CCM ambaye ana uwajibikaji wa kinchi, kwa nini siyo Lipumba wa CUF,CHAUMA,UDP nk kama tuko serious kweli. kuna viongozi wanazungumzia kushinda kwa kuiba kura. vipi hao, Sauti ya Watanzania isitumike kulinda upande wa pili. Picha tunaanza kuipata vizuri jinsi tunaposogea uchaguzi. Tafakuri makini kwa hili
Mbowe haendi kokote ,mpaka pale wanachama wakiamua period , hakuna sababu ya kuwashwa na chadema ,chama kipo na taratibu zake ,leo nitaanzaje sema mwenyekiti ccm must go wakati ,hata wengine hatujui taratibu za chama husika
Haya ni maneno ya waliopiungukiwa hakiri , nasema kama taifa limezalisha watu wa ajabu sana, na hii ndo shida kubwa , hivi wakina mzee Butiku walikua hivi enzi zao , stupidMbowe ndiyo mungu wa nyumbu?
Hakiri!Haya ni maneno ya waliopiungukiwa hakiri , nasema kama taifa limezalisha watu wa ajabu sana, na hii ndo shida kubwa , hivi wakina mzee Butiku walikua hivi enzi zao , stupid
UtajijuHakiri!
Dr Slaa leo si msaliti tena kama mlivyodanganywa hapo nyuma! Siasa za bongo kizunguzungu.Dr Slaa ni mtu makini ni vugumu kumburuta kama wanavyotaka hao wanafiki.
Sio siasa za bongo tu , mbona Trump ameshambuliwa na risasi ,je yuko bongoDr Slaa leo si msaliti tena kama mlivyodanganywa hapo nyuma! Siasa za bongo kizunguzungu.
Wahuni hao ,Mbowe haondoki mbwai mbwai,uzuri lile javari sana katika ulingo wa kisiasa za tz periodKipindi hiki kuelekea uchaguzi kuna mambo mengi tutaona. Leo nimesikia sauti ya watanzania wakihamasishana ili kumshinikiza Mbowe aachie ngazi.
Mara kadhaa Dr Slaa ametoa tahadhari kuwa kitendo chochote cha kumtaka Mbowe aachie ngazi hususani kipindi hiki cha uhasama wa akina Msigwa na CCM ni cha kuangalia kwa jicho pevu kwa vile hii ni mbinu inayoweza kutumika na maadui na wahasimu wake wa kisiasa kumwondoa kwa nguvu na kwa vyovyote vile haitakiacha chama salama.
Katiba ya Chama ipo,taratibu zipo, sasa hiyo movement ya Mbowe must go kwa sasa ina kusudio gani? hapa lazima kufanya utafiti na kukusanya taarifa za kiintelejensia madhara na faida zake ni zipi vinginevyo wote wanashinikiza hilo wamekula fedha za upande wa pili. Ni kazi ya deep state.
Dr Slaa ni mtu makini ni vugumu kumburuta kama wanavyotaka hao wanafiki.Acheni utaratibu wa utawala bora ufanye kazi. kwa nini isiwe kwa Mwenyekiti wa CCM ambaye ana uwajibikaji wa kinchi, kwa nini siyo Lipumba wa CUF,CHAUMA,UDP nk kama tuko serious kweli. kuna viongozi wanazungumzia kushinda kwa kuiba kura. vipi hao, Sauti ya Watanzania isitumike kulinda upande wa pili. Picha tunaanza kuipata vizuri jinsi tunaposogea uchaguzi. Tafakuri makini kwa hili