Mbowe na CHADEMA mnawaharibu vijana na uukuzi wao wa kitaaluma kwa kuwadanganya siasa ni taaluma

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Halima Mdee ananiuma kwa sababu nyingi.Halima nimemtoa chuo kikuu akiwa msichana. Nimempika kwa gharama sana. Ndiyo maana nilitumia juhudi zangu zote hata kuwaita wazazi wake, wamshawishi aachane na ubunge wa damu wa Magufuli, anaharibu career yake, hakunielewa”
 
Huyu ni mtu aliye kubuhu kwa kutumia wenzake kama misukuke. Ndio maana ya hii kauli ya kuonesha kuumia kwamba ilifika mahali Halima Mdee alijiongeza akasema hunitumii tena. Fikiri Lissu yuko Ubeligiji kama mkimbizi huku kesha anza safari za Ikulu.
 
Akakae ACT kuna mfaa sana
 
Huyu ni mtu aliye kubuhu kwa kutumia wenzake kama misukuke. Ndio maana ya hii kauli ya kuonesha kuumia kwamba ilifika mahali Halima Mdee alijiongeza akasema hunitumii tena. Fikiri Lissu yuko Ubeligiji kama mkimbizi huku kesha anza safari za Ikulu.
Rubbish
 

..mlinganishe halima mdee na wenzake waliohitimu mwaka mmoja kitivo cha sheria udsm.

..hudhani kwamba halima ame-achieve zaidi kisiasa na kijamii kulinganisha na wahitimu wenzake?

..waliomharibia halima career yake sio chadema, bali ni hao waliomrubuni kwenda bungeni kwa kugushi.
 
Hapa Tanzania kuna wanasiasa wameamua kuifanya siasa kuwa ni career ni makosa makubwa.

Siasa ni mbinu tu za ushawishi wa sera.

Ila kuna watu wanafanya kama ajira ya kudumu ndio maana tunapata misemo mbali mbali kama chawa na wengineo.
 
Tunaongelea ukuzi wa kitaaluma- wewe mtu akishinda bahati nasibu unamuona ni mfanyabishara mzuri siyo kwa akili yako- mkuu nenda hatua kidogo juu ya mfumo wako wa fahamu.
Kama kuna mtu alimaliza na Mdee na leo ni wakili yuko bora zaidi ya Halima
 
Hapa Tanzania kuna wanasiasa wameamua kuifanya siasa kuwa ni career ni makosa makubwa.

Siasa ni mbinu tu za ushawishi wa sera.

Ila kuna watu wanafanya kama ajira ya kudumu ndio maana tunapata misemo mbali mbali kama chawa na wengineo.
Mkuu agiza K vant mshahara ukitoka ulipie
 
Tunaongelea ukuzi wa kitaaluma- wewe mtu akishinda bahati nasibu unamuona ni mfanyabishara mzuri siyo kwa akili yako- mkuu nenda hatua kidogo juu ya mfumo wako wa fahamu.
Kama kuna mtu alimaliza na Mdee na leo ni wakili yuko bora zaidi ya Halima

..amefanikiwa kiasi gani kama wakili, na uwakili wake una impact kiasi gani ktk jamii?
 
..amefanikiwa kiasi gani kama wakili, na uwakili wake una impact kiasi gani ktk jamii?
Mkuu rudisha akili zako kutoka kwa uliyemkopesha azitumie. Hivi kwa akili yako Ubunge ni taaluma? K-BET ni taaluma? Hapa tunaongelea taaluma- hivi leo Mdee anaweza kuomba ajira wapi? na siyo hao hata Mbowe mwenyewe? Hongera kwa kuwa muwakilishi wa kizazi cha hovyo
 
Kaka, kwani we ndo Halima ?
 
Huyu ni mtu aliye kubuhu kwa kutumia wenzake kama misukuke. Ndio maana ya hii kauli ya kuonesha kuumia kwamba ilifika mahali Halima Mdee alijiongeza akasema hunitumii tena. Fikiri Lissu yuko Ubeligiji kama mkimbizi huku kesha anza safari za Ikulu.
babako alivyokuwa anawatumia akina sabaya kuteka, kutesa, kuua na kubaka wake za watu hiyo haukuwa umsukule?
 
Huyu ni mtu aliye kubuhu kwa kutumia wenzake kama misukuke. Ndio maana ya hii kauli ya kuonesha kuumia kwamba ilifika mahali Halima Mdee alijiongeza akasema hunitumii tena. Fikiri Lissu yuko Ubeligiji kama mkimbizi huku kesha anza safari za Ikulu.
Huyu ni mtu anayechukiwa mno mno kwa sababu ya misimamo yake

Hua hayumbi na hanunuliki
 

..kwanini unaamini mbunge ni mtu asiye na heshima ktk jamii au miongoni mwa wanataaluma?

..Na unapozungumzia ajira una maana gani?

..Halima ni mwanasheria na amepata kuwa mbunge, hiyo ni combination ya elimu na uzoefu ambayo inaweza kutumika mahali pengi kujipatia kipato.

..Kwa mfano, Halima anaweza kuajiriwa ktk research center inayojishughulisha na utafiti wa sera na sheria na impacts zake kwa jamii.

..Halima anaweza kuajiriwa na chombo cha habari kama mchambuzi wa masuala ya siasa, sheria, na bunge.

..Halima anaweza kuwa mhadhiri ktk vyuo vikuu kwasababu ana uzoefu wa kushiriki ktk kutunga / kuandika sheria akiwa mbunge. Pale Udsm waalimu wengi wa sheria wanauzoefu wa uwakili wa mahakamani kama watafsiri sheria, lakini hawana uzoefu wa kibunge kama watunga sheria.

..Again, kuna maeneo mengi ambapo wanasiasa wenye elimu na taaluma wanaweza kupata ujira kwa kutumia uzoefu wao ktk siasa na ktk bunge.

Cc Masanja
 
Huyu ni mtu aliye kubuhu kwa kutumia wenzake kama misukuke. Ndio maana ya hii kauli ya kuonesha kuumia kwamba ilifika mahali Halima Mdee alijiongeza akasema hunitumii tena. Fikiri Lissu yuko Ubeligiji kama mkimbizi huku kesha anza safari za Ikulu.
Upuuzi wenu CCM.
 
Huyu ni mtu anayechukiwa mno mno kwa sababu ya misimamo yake

Hua hayumbi na hanunuliki

Anachukiwa ama anahadaa wenzake. Wenye misimamo isiyo yumba hata kama ni ya kukengeuka wako Ubeligiji na Canada au wamezikwa kama Wangwe. Na tukiomba wachunguzi wa lugha wafanye tafiti kuhusina na haya unaweza kushangaa wakaja na conclusion statement ya utafiti wa ikisema, Kinacho ila CDM kiko ndani ya CDM." Mwisho wa statement mwisho wa uchunguzi.

Ungekuwa na akili kidogo tu ungejiongeza na kauli yake ni kiwa gerezani nilimwita Halima lakini akawa anakuja na Ester. Hata Escoba akiwa gerezani asinge sema hiyo kauli.
 
Umeshakula au umeliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…