Chadema yajenga nchi!Watoto Wa Freeman Mbowe Kisiasa!
Nadhani ni sahihi kusema pia Mbowe AHESHIMIWE.
- David Kafulila, RC
- Mwita Waitara, N/Waziri
- Joshua Nassari, DC
- Fakii Lulandala, DC
- Albert Msando, DC
- David Silinde, N/Waziri,
- Vincent Mashinji, DC
- Mwambe, MB
- P. Gekuli, N/Waziri
- Shonza, MB
- Katambi, N/Waziri
- LijuaLikali, DC
- Kitila Mkumbo /Waziri
Swali ni je, Mbowe ni nani katika Siasa za Tanzania?
View attachment 1826599
View attachment 1826600
He ain't a son. His ID suggests he is tranny.You better keep quite you son of harlot
KWA NINI WANAMKIMBIA KAMA NIMWALIMU MZURIIIII??? ACHENI WIVUUU. TANZANIA ITAJENGWA NA WATANZANIA WOTEE
😂He ain't a son. His ID suggests he is tranny.
Muuza face kazini.Utakumbuka shuka asubuhi.
WOTE HAO NIWATANZANIA. ACHENI WACHAPE KAZII.Hata yule Katambi afisa kipenyo alikuwa mwanafunzi wa Mbowe?
Hiyo ilikuwa baada au kabla ya kuwa afisa kipenyo?
WOTE HAO NIWATANZANIA. ACHENI WACHAPE KAZII.
It is obvious you don't walk the talk. In the above comments of yours, you were preaching truth, but you act and react differently.You better keep quite you son of harlot
Ilanimeona panapo onesha kuwashwa washwa kwa ufipa yote baaada ya mh raisi kuwapakazi watanzania wenye weredii mkubwa ili wawatumikie watanzania wenzao kwa maendeleo ya taifa zima na we we ukiwemo.Umeona paliposemekana wasichape kazi?
Ilanimeona panapo onesha kuwashwa washwa kwa ufipa yote baaada ya mh raisi kuwapakazi watanzania wenye weredii mkubwa ili wawatumikie watanzania wenzao kwa maendeleo ya taifa zima na we we ukiwemo.
Poza boli tuijenge inchi yetuItakuwa wasiwasi wako tu mkuu. Ukipenda mwulize hata yule mzee wa ku substantiate kule bungeni kama ufipa hata wana pressure naye.
Boli kupozwa wakati taifa linajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno pana ukakasi hapo.Poza boli tuijenge inchi yetu
Chapa kazi achakulialia.Boli kupozwa wakati taifa linajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno pana ukakasi hapo.
Sina shaka kuwa nina chapa kazi kuliko wewe.Chapa kazi achakulialia.
Wewe endelea kupambana hapa jf tuKWA NINI WANAMKIMBIA KAMA NIMWALIMU MZURIIIII??? ACHENI WIVUUU. TANZANIA ITAJENGWA NA WATANZANIA WOTEE
Nitawakabili nyie mnaowashwa washwa juu ya kazi nzuri za taifa letu mpaka mkimbie mitandaoniii. Kama ni cheo mimi ninacho kikubwa tu kwenye kundi lenu.
Kama ilivyokawaida ya ccm kuona dhahabu ilipo kutoka kwenye chuo kikuu cha wapishi wa viongozi Chadema wanasubiria hao vijana waive na kugraduate waje wawanunue kwa gharama kubwa na kuwahonga vyeo karibuni Mbowe Prof wa siasa anawapikia watu wenye kueleweka sio kina SABAYA