Upinzani upo sasa Kama chama tawala hakiwezi kutumia vijana wake ambao ndio wenye tabia za kina sabaya inabidi wanunue VIJANA wazuri walioivishwa na mwamba mbowe nae hana uwezo wa kuwazuia wanatafuta maslahiProf wa siasa zipi? iweje awaandale wapinzani wake viongozi? Kama ni hivyo ina maana hatuna upinzani wa kweli. Sema hao vijana wenyewe si waaminifu kwa chama chao
^There is no success without a successor.^ ~ Peter DruckerProf wa siasa zipi? iweje awaandale wapinzani wake viongozi? Kama ni hivyo ina maana hatuna upinzani wa kweli. Sema hao vijana wenyewe si waaminifu kwa chama chao
Kamanda hujitambui na hutumii akiliMuuza face kazini.
When you provoke we reactIt is obvious you don't walk the talk. In the above comments of yours, you were preaching truth, but you act and react differently.
Jiwe alitukabili kwa utekaji na bunduki na hatukutetereka hadi akatwaliwa , ndio ututishe wewe kapuku ?Nitawakabili nyie mnaowashwa washwa juu ya kazi nzuri za taifa letu mpaka mkimbie mitandaoniii. Kama ni cheo mimi ninacho kikubwa tu kwenye kundi lenu.
Yes. React accordingly but not corrodinglyWhen you provoke we react
Nyumbu pekee wataendelea kubaki kwenye hiyo saccos ya Mbowe.Watoto Wa Freeman Mbowe Kisiasa!
Nadhani ni sahihi kusema pia Mbowe AHESHIMIWE.
- David Kafulila, RC
- Mwita Waitara, N/Waziri
- Joshua Nassari, DC
- Fakii Lulandala, DC
- Albert Msando, DC
- David Silinde, N/Waziri,
- Vincent Mashinji, DC
- Mwambe, MB
- P. Gekuli, N/Waziri
- Shonza, MB
- Katambi, N/Waziri
- LijuaLikali, DC
- Kitila Mkumbo /Waziri
Swali ni je, Mbowe ni nani katika Siasa za Tanzania?
View attachment 1826599
View attachment 1826600
Tulizeni kuwashwa washwaaaJiwe alitukabili kwa utekaji na bunduki na hatukutetereka hadi akatwaliwa , ndio ututishe wewe kapuku ?
Dingi akoShoga tayari umeanza kuwashwa
Vilaza wa UVCCM kaeni hapo Lumumba na kupewa buku 7 wanaotoka cdm mnashinda mkiwatukana wanakuja kuwa mabosi wenu mjue vichwa vyenu sio sahihiAnawapika ili waje kupakuliwa?