Mbowe na Lissu, Uwezo wao na Madhaifu yao

Mbowe na Lissu, Uwezo wao na Madhaifu yao

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Copy & Paste from Twitter.

MBOWE VS LISSU SIFA ZAO NA MAPUNGUFU YAO

SIFA ZA MBOWE

1. Ni Kiongozi mwenye uwezo wa kuunganisha palipo vunjika kwenye Jamii.

2. Ni Kiongozi ambaye ni Mtulivu

3. Ana uwezo wa kuwalea na kuwakuza vijana japo baadae wengi humgeuka na kukimbilia chama tawala.

4. Anajua kuzisaka Pesa ili chama kisonge mbele , Chama kuna muda kilikaa bila Ruzuku kwa miaka kadhaa Lakin shughuli zilikiwa zinasonga tu!

5. Ana uwezo wa kutokea peke yake kwa maslahi ya Wanamchi hata kama anakoenda ni Hatari

6. Anazijua siasa za Tanzania za awamu zote kuanzia Nyerere, Mwinyi,Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia.

7. Pamoja na misukosuko ameweza kujenga chama kikawa Imara kwa miaka kadhaa ambayo viongozi wengine wa Upinzani wameshindwa kabisa.

8. Mbowe si mtu wa kulipa visasi wala chuki dhidi ya mtu yeyote!

9. Mbowe alikuwa Tayari atumie Pesa yake ya Mfukoni kulinda heshima ya chama na chama kwa ujumla.

10. Mbowe ni mpinzani pekee alokubali kuharibiwa Mali zake nyingi kwa kukataa kuunga juhudi,

MADHAIFU YA MBOWE

1. Ameshindwa kulea nidhamu ndani ya CHADEMA, hana uwezo wa kukemea maovu

2. Amewaamini Sana wabaya wa chama na wabaya wake binafsi kupitiliza mfano Katambi.

3. Mheshimiwa Mbowe ni mtu anayeamini katika maridhiano hata ambapo si sehemu yake, si wa Umri wa ku risk Tena kwamba liwalo na liwe,

4. Mbowe ana nia njema ila Kuna muda anashindwa Kujua kwamba kwenye nia njema ya kukikopesha chama au kutafta Pesa chama kisife watu wanaaza kutilia mashaka.

5. Suala la Nani apangwe wapi nani awe na jukumu lipi ndani ya CHADEMA chini ya Uongozi wa Mwamba tumepwaya! Majina yanajirudia yale Yale miaka nenda rudi.

6. Ameshindwa kuwadhibiti vijana mitandaoni na wafuasi kadhaa kwamba sawa mnanipenda Ila tumia njia fulan kuwasilisha Hoja fulan.

SIFA ZA LISSU

1. Ni mtu aliyenyooka sana na hana uwezo wa kutunza siri ya maovu yeyote, Kama ni nyeupe ni nyeupe !

2. Ni mkataa Rushwa! Pesa hata kama inatakiwa atibiwe leo

3. Ana msimamo mkali dhidi ya anachokiamini

4. Lissu ni mtu wa kufuata sheria,

5.Lissu Ana ushawishi mkubwa sana kwenye hotuba zake na zimejaa facts.

7. Hana ukanda wala ukabila

8. Lissu anaweza tegemea misaada toka nje ya chama.

10. Uwezo wa Lissu kujieleza kwa Lugha ya Mabeberu ni Mkubwa sana.

11. Lissu anaonekana anaweza changanya Ubepari na Ujamaa

12. Lissu anaweza kushughulikia mafisadi kama Mwenyekiti kwenye chama

13. Uongozi wa Lissu huwezi Ona Mauza uza ya Mara Covid 19 Mara sijui katibu mkuu kasaini Mara hajasaini,

MADHAIFU

1. Ana hulka ya udikteta

2. Lissu ikitokea akapewa chama anaweza kupoteza muda mwingi kwenye kurekebisha mifumo ya sheria

3. Lissu anaweza kuja kuwa Mwenyekiti ambaye hatafuata ushauri wa washauri wake
4. Lissu anaonekana anaweza kuwashughulikia watu kwa hisia tu bila ushahidi wa kutosha

5 Lissu uwa haamini katika falsafa za mwanzilishi wa Taifa yaan Nyerere, Lakin uwa anamtumia kwenye reference

6. Miaka miwili ya mwanzo inaweza kumuwia ngumu kwenye uongozi Kwakuwa hajajua njia ya mwenyekiti aliyeko madarakani anapataje Pesa kuendesha chama!

7. Lissu amekaa ki harakati zaidi
 
Hujasema madhaifu yake, moja Hana maarifa, pili hajaiva kiuongozi Tatu, hasomi alama za nyakati 4, anapenda sana sifa binafsi 5 anajiona yeye Ana akili sana kuliko yeyote Yule 6 mtu wa visasi 7 Hana maadili 8 Anaona wazungu ndio mwisho wa yote 9 Amekimbiza familia yake sweden 10 mbinafsi
 
Hujasema madhaifu yake, moja Hana maarifa, pili hajaiva kiuongozi Tatu, hasomi alama za nyakati 4, anapenda sana sifa binafsi 5 anajiona yeye Ana akili sana kuliko yeyote Yule 6 mtu wa visasi 7 Hana maadili 8 Anaona wazungu ndio mwisho wa yote 9 Amekimbiza familia yake sweden 10 mbinafsi
Sikubaliani na mengi ya haya. Kwa mfano fedha: Kiongozi mzuri ni yule anayeweka mfumo wa kupata fedha wa kuaminika wa chama. Kiongozi anayehenyea fedha kama kuku wa kienyeji hafai. Ina maana akiondoka eg kufa na chama kinakufa?
 
Copy &Paste from Twitter.

MBOWE VS LISSU SIFA ZAO NA MAPUNGUFU YAO

SIFA ZA MBOWE

1. Ni Kiongozi mwenye uwezo wa kuunganisha palipo vunjika kwenye Jamii,

2. Ni Kiongozi ambaye ni Mtulivu

3. Ana uwezo wa kuwalea na kuwakuza vijana japo baadae wengi humgeuka na kukimbilia chama tawala,

4. Anajua kuzisaka Pesa ili chama kisonge mbele , Chama kuna muda kilikaa bila Ruzuku kwa miaka kadhaa Lakin shughuli zilikiwa zinasonga tu!

5. Ana uwezo wa kutokea peke yake kwa maslahi ya Wanamchi hata kama anakoenda ni Hatari

6. Anazijua siasa za Tanzania za awamu zote kuanzia Nyerere, Mwinyi,Mkapa, Kikwete , Magufuli na Samia

7. Pamoja na misukosuko ameweza kujenga chama kikawa Imara kwa miaka kadhaa ambayo viongozi wengine wa Upinzani wameshindwa kabisa.

8. Mbowe si mtu wa kulipa visasi wala chuki dhidi ya mtu yeyote!

9. Mbowe alikuwa Tayari atumie Pesa yake ya Mfukoni kulinda heshima ya chama na chama kwa ujumla,

10. Mbowe ni mpinzani pekee alokubali kuharibiwa Mali zake nyingi kwa kukataa kuunga juhudi,

MADHAIFU YA MBOWE

1. Ameshindwa kulea nidhamu ndani ya CHADEMA, hana uwezo wa kukemea maovu

2. Amewaamini Sana wabaya wa chama na wabaya wake binafsi kupitiliza mfano Katambi.

3. Mheshimiwa Mbowe ni mtu anayeamini katika maridhiano hata ambapo si sehemu yake, si wa Umri wa ku risk Tena kwamba liwalo na liwe,

4. Mbowe ana nia njema ila Kuna muda anashindwa Kujua kwamba kwenye nia njema ya kukikopesha chama au kutafta Pesa chama kisife watu wanaaza kutilia mashaka.

5. Suala la Nani apangwe wapi nani awe na jukumu lipi ndani ya CHADEMA chini ya Uongozi wa Mwamba tumepwaya! Majina yanajirudia yale Yale miaka nenda rudi.

6. Ameshindwa kuwadhibiti vijana mitandaoni na wafuasi kadhaa kwamba sawa mnanipenda Ila tumia njia fulan kuwasilisha Hoja fulan.

SIFA ZA LISSU

1. Ni mtu aliyenyooka sana na hana uwezo wa kutunza siri ya maovu yeyote, Kama ni nyeupe ni nyeupe !

2. Ni mkataa Rushwa! Pesa hata kama inatakiwa atibiwe leo

3. Ana msimamo mkali dhidi ya anachokiamini

4. Lissu ni mtu wa kufuata sheria,

5.Lissu Ana ushawishi mkubwa sana kwenye hotuba zake na zimejaa facts.

7. Hana ukanda wala ukabila

8. Lissu anaweza tegemea misaada toka nje ya chama.

10. Uwezo wa Lissu kujieleza kwa Lugha ya Mabeberu ni Mkubwa sana.

11. Lissu anaonekana anaweza changanya Ubepari na Ujamaa

12. Lissu anaweza kushughulikia mafisadi kama Mwenyekiti kwenye chama

13. Uongozi wa Lissu huwezi Ona Mauza uza ya Mara Covid 19 Mara sijui katibu mkuu kasaini Mara hajasaini,

MADHAIFU

1. Ana hulka ya udikteta

2. Lissu ikitokea akapewa chama anaweza kupoteza muda mwingi kwenye kurekebisha mifumo ya sheria

3. Lissu anaweza kuja kuwa Mwenyekiti ambaye hatafuata ushauri wa washauri wake
4. Lissu anaonekana anaweza kuwashughulikia watu kwa hisia tu bila ushahidi wa kutosha

5 Lissu uwa haamini katika falsafa za mwanzilishi wa Taifa yaan Nyerere, Lakin uwa anamtumia kwenye reference

6. Miaka miwili ya mwanzo inaweza kumuwia ngumu kwenye uongozi Kwakuwa hajajua njia ya mwenyekiti aliyeko madarakani anapataje Pesa kuendesha chama!

7. Lissu amekaa ki harakati zaidi
Lakini fahamu they are all human beings...

Hata wewe hapo una strengths & weaknesses zako. Lakini hiyo haikufanyi usiwe kiongozi bora...

Na siku zote tujue, kuwa, kiongozi hukamilishwa katika madhaifu yake. Mungu hamsaidii mtu ambaye tayari ni mkamilifu...

Freeman Mbowe pamoja na madhaifu bado amefanya kazi kubwa na nzuri sana kuongoza wenzake kujenga na kuimarisha chama hadi katika hatua hii kilipo Sasa..

Tundu Lissu pamoja na udhaifu wake, atatimiza kusudi lake kwa majira na nyakati hizi za kuibuka siasa za ajabu na aina yake Tanganyika....

All in all, kumbuka, kuwa, unapokuwa kiongozi hauwi peke yako. Una walio pembeni yako kukushauri ktk kila hatua mnayotaka kupiga kwenda mbele....

As far as I know Tundu Lissu ni mtu anayesikiliza ushauri sana unless ushauri wa anayeshauri uwe wa kijinga na kipumbavu unaomtoa ktk misingi ya haki na taratibu. Hapo hamtaelewana na Tundu Lissu mchana kweupe kabisa...!

Therefore, tunaamini ktk nguvu ya mtu lakini wakati huohuo tukiwa very carefully kushughulika na madhaifu yake...

Kwenye ishu ya pesa, hilo sidhani kama unaweza kumpa credit Freeman Mbowe badala ya wanachama na wapenzi wa chama hiki ndani na nje ya nchi...

Kwenye ishu ya maovu, rushwa ndani ya chama, hujuma kwa chama kiongozi hapaswi kuwa mvumilivu hata kidogo...

Ukitenda haya utasikilizwa lakini ni lazima ukae pembeni...

Kiongozi ni lazima awe kioo cha wengine kujitazama...

Huwezi kusema unatafuta pesa hata kama unalengeshewa za adui zako Ili mradi wakunase kwenye mtego wao...

Ndivyo alivyonasa Freeman Mbowe...
 
SIFA ZA LISSU

1. Ni mtu aliyenyooka sana na hana uwezo wa kutunza siri ya maovu yeyote, Kama ni nyeupe ni nyeupe !
Hata kwenye sifa kaamua kuilezea kwa namna ya mapungufu.
3. Ana msimamo mkali dhidi ya anachokiamini
Msimamo mkali dhidi ya anachokiamini? Huyu mwandishi mbona ni kama either analazimisha mapungufu au haijui lugha ya Kiswahili. Yaani Lissu anakiamini kitu halafu anakuwa na msimamo mkali dhidi ya hicho kitu?
4. Lissu ni mtu wa kufuata sheria,
Sawa
8. Lissu anaweza tegemea misaada toka nje ya chama.
Kwanini uweke hiyo kama sifa? Kwa kugezo kipi maana mwandishi kaishia ku speculate kwamba 'anaweza tegemea' halafu haja set any grounds.
12. Lissu anaweza kushughulikia mafisadi kama Mwenyekiti kwenye chama
Hili amekuwa akilifanya hata akiwa nje ya hiyo nafasi
13. Uongozi wa Lissu huwezi Ona Mauza uza ya Mara Covid 19 Mara sijui katibu mkuu kasaini Mara hajasaini,

MADHAIFU

1. Ana hulka ya udikteta
Sikumbuki ni wakati gani Lissu ali dictate jambo. Kutokubali kuonewa hiyo haimfanyi mtu kuwa dictator. Lisu hata sheria ikiwa ni ya kiuonezi, huiheshimu sababu mdiyo sheria iliyopo.
2. Lissu ikitokea akapewa chama anaweza kupoteza muda mwingi kwenye kurekebisha mifumo ya sheria
kwa hiyo huyu Mwandishi anataka mifumo kama ni mibovu iachwe tu sababu itapoteza muda kuirekebisha? Sasa una faida gani kuipigia kelele kurekebisha mifumo na sheria kama tunaona ni vitu vinavyopoteza muda? Lissu ni muumini ambayo ni productive na hivyo Lissu ni muumini wa team work. Hiyo mifumo itarekebishwa kwa utaratibu wa kitimu. Siyo kwamba atajifungia ofisini amalizi hii mwenyewe halafu ahamie kwingine.
3. Lissu anaweza kuja kuwa Mwenyekiti ambaye hatafuata ushauri wa washauri wake
Hili si kweli, Lissu anashaurika vizuri sana pale anapopewa ushauri wenye mashiko. Ndiyo maana hata kwenye kesi zake huwa anaweka wanasheria na pia ana washauri katika mambo mbalimbali ikiwemo ya kiuchumi, ya kijamii, ya kiroho, kisiasa , kisheria n.k
4. Lissu anaonekana anaweza kuwashughulikia watu kwa hisia tu bila ushahidi wa kutosha.
Unaonekana wewe ni mzuri sana kutumia hisia. Hapa unasema 'Lissu anaonekana', hiyo tayari ni hisia, maana huna ushahidi wala hukumbuki tukio lolote la aina hiyo. Tayari wewe umemhukumu kwa hisia zako.
5 Lissu uwa haamini katika falsafa za mwanzilishi wa Taifa yaan Nyerere, Lakin uwa anamtumia kwenye reference
kuna shida gani kutoamini katika falsafa fulani za muanzilishi w taifa, na kuna shida gani, akifanya reference ya yale anayokubaliana naye? Huyu mwandishi ni Mwana CCM, Mwana 'zidumu fikra za Mwenyekiti'.
6. Miaka miwili ya mwanzo inaweza kumuwia ngumu kwenye uongozi Kwakuwa hajajua njia ya mwenyekiti aliyeko madarakani anapataje Pesa kuendesha chama!
kwani lazima njia za kupata pesa ziwe zilezile? Sasa kama Chama kitategemea fikra na mbinu za mtu mmja hicho kitakuwa Chama kweli? Narudia tena, aliyeandika andiko hili ni 'Mwana zidumu fikra za Mwenyekiti'. Mifumo ya upatikanaje Fedha ni lazima iwe wazi na rasmi.
7. Lissu amekaa ki harakati zaidi
Ulitaka akaeje? Kimapinduzi? Rudi ukajifunze maana ya harakati. Halafu urudi kusoma andiko lako
 
Tanzania kwenye kiujumla inahitaji mtu mwenye sifa za lisu zaidi , mimi namwona lisu ni magufuli alie rekebisha madhaifu yake🤔
Lissu na Magufuli hawafanani hata kwa kukaribiana.
Magufuli alikuwa ni mvunja sheria na akiona sheria ni kali sana atapeleka bungeni ibadilishwe ili apite.
Ukali na msimamo wa Lissu unabebwa na legal and moral facts wakati ukali na msimamo wa Magufuli hauzingatii mal wala legal facts bali misuli ymajeshi.
Watu wanawaringanisha hawa wawili kimakosa sana
 
Lissu na Magufuli hawafanani hata kwa kukaribiana.
Magufuli alikuwa ni mvunja sheria na akiona sheria ni kali sana atapeleka bungeni ibadilishwe ili apite.
Ukali na msimamo wa Lissu unabebwa na legal and moral facts wakati ukali na msimamo wa Magufuli hauzingatii mal wala legal facts bali misuli ymajeshi.
Watu wanawaringanisha hawa wawili kimakosa sana
Ndio maana nikasema mfano magu angerekebisha makosa mkuu🤔
 
Copy &Paste from Twitter.

MBOWE VS LISSU SIFA ZAO NA MAPUNGUFU YAO

SIFA ZA MBOWE

1. Ni Kiongozi mwenye uwezo wa kuunganisha palipo vunjika kwenye Jamii,

2. Ni Kiongozi ambaye ni Mtulivu

3. Ana uwezo wa kuwalea na kuwakuza vijana japo baadae wengi humgeuka na kukimbilia chama tawala,

4. Anajua kuzisaka Pesa ili chama kisonge mbele , Chama kuna muda kilikaa bila Ruzuku kwa miaka kadhaa Lakin shughuli zilikiwa zinasonga tu!

5. Ana uwezo wa kutokea peke yake kwa maslahi ya Wanamchi hata kama anakoenda ni Hatari

6. Anazijua siasa za Tanzania za awamu zote kuanzia Nyerere, Mwinyi,Mkapa, Kikwete , Magufuli na Samia

7. Pamoja na misukosuko ameweza kujenga chama kikawa Imara kwa miaka kadhaa ambayo viongozi wengine wa Upinzani wameshindwa kabisa.

8. Mbowe si mtu wa kulipa visasi wala chuki dhidi ya mtu yeyote!

9. Mbowe alikuwa Tayari atumie Pesa yake ya Mfukoni kulinda heshima ya chama na chama kwa ujumla,

10. Mbowe ni mpinzani pekee alokubali kuharibiwa Mali zake nyingi kwa kukataa kuunga juhudi,

MADHAIFU YA MBOWE

1. Ameshindwa kulea nidhamu ndani ya CHADEMA, hana uwezo wa kukemea maovu

2. Amewaamini Sana wabaya wa chama na wabaya wake binafsi kupitiliza mfano Katambi.

3. Mheshimiwa Mbowe ni mtu anayeamini katika maridhiano hata ambapo si sehemu yake, si wa Umri wa ku risk Tena kwamba liwalo na liwe,

4. Mbowe ana nia njema ila Kuna muda anashindwa Kujua kwamba kwenye nia njema ya kukikopesha chama au kutafta Pesa chama kisife watu wanaaza kutilia mashaka.

5. Suala la Nani apangwe wapi nani awe na jukumu lipi ndani ya CHADEMA chini ya Uongozi wa Mwamba tumepwaya! Majina yanajirudia yale Yale miaka nenda rudi.

6. Ameshindwa kuwadhibiti vijana mitandaoni na wafuasi kadhaa kwamba sawa mnanipenda Ila tumia njia fulan kuwasilisha Hoja fulan.

SIFA ZA LISSU

1. Ni mtu aliyenyooka sana na hana uwezo wa kutunza siri ya maovu yeyote, Kama ni nyeupe ni nyeupe !

2. Ni mkataa Rushwa! Pesa hata kama inatakiwa atibiwe leo

3. Ana msimamo mkali dhidi ya anachokiamini

4. Lissu ni mtu wa kufuata sheria,

5.Lissu Ana ushawishi mkubwa sana kwenye hotuba zake na zimejaa facts.

7. Hana ukanda wala ukabila

8. Lissu anaweza tegemea misaada toka nje ya chama.

10. Uwezo wa Lissu kujieleza kwa Lugha ya Mabeberu ni Mkubwa sana.

11. Lissu anaonekana anaweza changanya Ubepari na Ujamaa

12. Lissu anaweza kushughulikia mafisadi kama Mwenyekiti kwenye chama

13. Uongozi wa Lissu huwezi Ona Mauza uza ya Mara Covid 19 Mara sijui katibu mkuu kasaini Mara hajasaini,

MADHAIFU

1. Ana hulka ya udikteta

2. Lissu ikitokea akapewa chama anaweza kupoteza muda mwingi kwenye kurekebisha mifumo ya sheria

3. Lissu anaweza kuja kuwa Mwenyekiti ambaye hatafuata ushauri wa washauri wake
4. Lissu anaonekana anaweza kuwashughulikia watu kwa hisia tu bila ushahidi wa kutosha

5 Lissu uwa haamini katika falsafa za mwanzilishi wa Taifa yaan Nyerere, Lakin uwa anamtumia kwenye reference

6. Miaka miwili ya mwanzo inaweza kumuwia ngumu kwenye uongozi Kwakuwa hajajua njia ya mwenyekiti aliyeko madarakani anapataje Pesa kuendesha chama!

7. Lissu amekaa ki harakati zaidi
Madhaifu na mazuri yao yakifanyiwa mixer nzuri ni atomic bomb kwa chama chawala
 
Sio kua mwenyekiti nchi ya Tanzania inaitaji mtu kama Lissu awe kiongozi wa Nchi ni mtu serious haysiependa ujinga ujinga uchawa utakufa Lissu ni mtu kweli kweli sema ndo ivyo
 
haya ni majira ya ushindi kwa tundu lisu
na kupitia majira haya ndio yanamfanya akubalike kwenye kinyang'anyiro hiki cha nafasi ya uenyekiti
majira yako yakifika hakuna kinachoweza kukuzuia.
sisi wengine tunasubiri uchaguzi tu kwa mujibu wa katiba.
 
muwe mnatunza maneno mtakuja kulia na hamtapewa leso!
 
Back
Top Bottom