Mbowe na Lissu watafanyakazi pamoja dhidi ya CCM

Mbowe na Lissu watafanyakazi pamoja dhidi ya CCM

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Jana Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA Tundu Lissu, alikwenda kwa mara ya kwanza makao Makuu ya CHADEMA kama Mwenyekiti wa chama hicho.

Lakini tangu ashinde nafasi hiyo mambo mengi yamesemwa dhidi yake na pande mbili zilizokuwa kinyume chake.

Upande wa kwanza ni watu wa CCM. Na ingekuwa ajabu kama CCM wasingesema mabaya dhidi ya Lissu kama ambavyo wangesema mabaya dhidi ya Freeman Aikaeli Mbowe kama naye ndiye angeshinda.

CCM hawaitaki CHADEMA inayoongozwa na Lissu wala Mbowe. Ushahidi unaonesha CCM haikuwahi kuwa na wema Kwa CHADEMA enzi Mbowe akiwa Mwenyekiti na Wala haitakuwa na wema sasa hivi Lissu alivyo Mwenyekiti.

Lakini upande mwingine ni waliokuwa wafuasi wa Mbowe kwenye Kampeni za uchaguzi uliomweka Lissu madarakani. Hawa pia inaeleweka ni kwa nini kwa Sasa hawana furaha na ushindi wa Lissu.

Lakini wafuasi wa Mbowe hawatakiwi kumshambulia Lissu Kwa maneno ya uzushi kama wafanyavyo watu wa CCM.

Kwa mfano kusema kuwa Lissu alikuwa anamtukana Mbowe kwa ivo Mbowe asifanye kazi na Lissu. Haya maneno yanatakiwa yasemwe na CCM na siyo na wanachadema.

Kweli mtu anawezaje kusema Lissu kashinda kutokana na kumtukana Mbowe? Yaani mwachadema unawezaje kusema kuwa ushindi wa Lissu ulitokana na kumtukana Mbowe. Alimtukanaje?

Kwa nini mtu anajifanya ni mwanachadema lakini anashikilia kuwa "Mbowe hawezi kumsamehe Lissu". Yaani tunawezaje kuona maridhiano na CCM ni jambo linalowezekana lakini hatuoni kama Mbowe na Lissu wanaweza kufanya kazi kwa pamoja?

Kwa hakika Mbowe na Lissu ni wamoja.
 
Bado natafuta kama Kuna siku Lissu alimshambulia Mbowe kibinafsi zaidi ya kukosoa mambo ya maridhiano.

Lini Lissu kwa mfano alisema Mbowe ni mwizi?
Huyo Retired hawezi kukuelewa kwani yeye ana mahaba binafsi na Mbowe.
 
Jana Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA Tundu Lissu, alikwenda kwa mara ya kwanza makao Makuu ya CHADEMA kama Mwenyekiti wa chama hicho.

Lakini tangu ashinde nafasi hiyo mambo mengi yamesemwa dhidi yake na pande mbili zilizokuwa kinyume chake.

Upande wa kwanza ni watu wa CCM. Na ingekuwa ajabu kama CCM wasingesema mabaya dhidi ya Lissu kama ambavyo wangesema mabaya dhidi ya Freeman Aikaeli Mbowe kama naye ndiye angeshinda.

CCM hawaitaki CHADEMA inayoongozwa na Lissu wala Mbowe. Ushahidi unaonesha CCM haikuwahi kuwa na wema Kwa CHADEMA enzi Mbowe akiwa Mwenyekiti na Wala haitakuwa na wema sasa hivi Lissu alivyo Mwenyekiti.

Lakini upande mwingine ni waliokuwa wafuasi wa Mbowe kwenye Kampeni za uchaguzi uliomweka Lissu madarakani. Hawa pia inaeleweka ni kwa nini kwa Sasa hawana furaha na ushindi wa Lissu.

Lakini wafuasi wa Mbowe hawatakiwi kumshambulia Lissu Kwa maneno ya uzushi kama wafanyavyo watu wa CCM.

Kwa mfano kusema kuwa Lissu alikuwa anamtukana Mbowe kwa ivo Mbowe asifanye kazi na Lissu. Haya maneno yanatakiwa yasemwe na CCM na siyo na wanachadema.

Kweli mtu anawezaje kusema Lissu kashinda kutokana na kumtukana Mbowe? Yaani mwachadema unawezaje kusema kuwa ushindi wa Lissu ulitokana na kumtukana Mbowe. Alimtukanaje?

Kwa nini mtu anajifanya ni mwanachadema lakini anashikilia kuwa "Mbowe hawezi kumsamehe Lissu". Yaani tunawezaje kuona maridhiano na CCM ni jambo linalowezekana lakini hatuoni kama Mbowe na Lissu wanaweza kufanya kazi kwa pamoja?

Kwa hakika Mbowe na Lissu ni wamoja.
Lissu ameshashinda afukuze wala rushwa maana aliaminisha umma kuwa ndani ya chadema rushwa imetamalaki ni vipi atakaa meza moja katika kamati kuu na wala rushwa kinyume na hapo nae ni mla rushwa!
 
Lissu ameshashinda afukuze wala rushwa maana aliaminisha umma kuwa ndani ya chadema rushwa imetamalaki ni vipi atakaa meza moja katika kamati kuu na wala rushwa kinyume na hapo nae ni mla rushwa!
Hakusema ndani ya CHADEMA rushwa imetamalaki bali uchaguzi ulijaa rushwa.

Rushwa kutamalaki na uchaguzi wa CHADEMA kujaa rushwa ni mambo mawili tofauti.

Tangu ujiunge JF huu ni mwaka wa tisa sasa... Hicho kipara bado kipya tu?

😀😆😃
 
I am telling the facts! Siumii kwa lolote......................... hata mama yako amumia kuliko Mke wa Mbowe
Wewe ndo unaonekana umeumia sana na unaendelea kuumia kwa wivu mkubwa. Chadema ni kubwa. Usitake mtu aongoze sababu ya mahusiano yako binafsi na Mbowe. Yeye Mbowe alishakubali kushindwa. Kama kuna maneno mengine huwa anakuambia mkiwa faragha hayo sasa baki nayo. Umekonda sana kwa mawazo na kukosa furaha dogo. Maisha lazima yaendelee. Lissu sielewi alichokutenda nyie huwa mnaweka vitu rohoni. Wakati mwingine sisi wanaume tunasahau nyie mnatunza....lissu ndo mwenyekiti wa chadema. Imebaki hivyo. Usiendelee kuumia.
 
Hakusema ndani ya CHADEMA rushwa imetamalaki bali uchaguzi ulijaa rushwa.

Rushwa kutamalaki na uchaguzi wa CHADEMA kujaa rushwa ni mambo mawili tofauti.

Tangu ujiunge JF huu ni mwaka wa tisa sasa... Hicho kipara bado kipya tu?

😀😆😃
Huko ni kujizima data huo uchaguzi ulikuwa ni chama gani?
 
Jana Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA Tundu Lissu, alikwenda kwa mara ya kwanza makao Makuu ya CHADEMA kama Mwenyekiti wa chama hicho.

Lakini tangu ashinde nafasi hiyo mambo mengi yamesemwa dhidi yake na pande mbili zilizokuwa kinyume chake.

Upande wa kwanza ni watu wa CCM. Na ingekuwa ajabu kama CCM wasingesema mabaya dhidi ya Lissu kama ambavyo wangesema mabaya dhidi ya Freeman Aikaeli Mbowe kama naye ndiye angeshinda.

CCM hawaitaki CHADEMA inayoongozwa na Lissu wala Mbowe. Ushahidi unaonesha CCM haikuwahi kuwa na wema Kwa CHADEMA enzi Mbowe akiwa Mwenyekiti na Wala haitakuwa na wema sasa hivi Lissu alivyo Mwenyekiti.

Lakini upande mwingine ni waliokuwa wafuasi wa Mbowe kwenye Kampeni za uchaguzi uliomweka Lissu madarakani. Hawa pia inaeleweka ni kwa nini kwa Sasa hawana furaha na ushindi wa Lissu.

Lakini wafuasi wa Mbowe hawatakiwi kumshambulia Lissu Kwa maneno ya uzushi kama wafanyavyo watu wa CCM.

Kwa mfano kusema kuwa Lissu alikuwa anamtukana Mbowe kwa ivo Mbowe asifanye kazi na Lissu. Haya maneno yanatakiwa yasemwe na CCM na siyo na wanachadema.

Kweli mtu anawezaje kusema Lissu kashinda kutokana na kumtukana Mbowe? Yaani mwachadema unawezaje kusema kuwa ushindi wa Lissu ulitokana na kumtukana Mbowe. Alimtukanaje?

Kwa nini mtu anajifanya ni mwanachadema lakini anashikilia kuwa "Mbowe hawezi kumsamehe Lissu". Yaani tunawezaje kuona maridhiano na CCM ni jambo linalowezekana lakini hatuoni kama Mbowe na Lissu wanaweza kufanya kazi kwa pamoja?

Kwa hakika Mbowe na Lissu ni wamoja.
Jinsi ya kumtukana
1. Kalamba asali
2. Muongo na chama kakifanya familia yake
3. Mla rushwa
4. Mwizi
5. Kamtuma lema aandike kitabu cha kumkashifu Mbowe.
Unataka amvue nguo ndio uone kamtukana?
 
Jinsi ya kumtukana
1. Kalamba asali
2. Muongo na chama kakifanya familia yake
3. Mla rushwa
4. Mwizi
5. Kamtuma lema aandike kitabu cha kumkashifu Mbowe.
Unataka amvue nguo ndio uone kamtukana?
Hiki ndiyo nini Sasa?
 
Back
Top Bottom