Mbowe na Wapinzani wengine walikosea sana, Watanzania sio wakupiganiwa, ni kuwaacha kama walivyo

Mbowe na Wapinzani wengine walikosea sana, Watanzania sio wakupiganiwa, ni kuwaacha kama walivyo

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Nashauri Mbowe na wengine wakae kimya waangalie maisha yao na Familia zao, Watanzania sio watu wa kutetete kamwe, bora kutetea hata wale Mbwa wanao zurura mitaani wasipigwe ila sio kutetea Watanzania.

Huwezi pigania watu wasio jitambua, Watanzania hatuajijitambua na hakuna uwezekano wa kujitambua hivi karibuni, hivyo hawa Wapianzani wanao watetea ni sawa na kupigia Mbuzi gitaaa tu.

Tunapaswa kuachwa tulivyo na wano tutetea wanapoteza nguvu na muda, sisi sio watu wa kupiganiwa kabisa.

FB_IMG_1659375126587.jpg
 
Ni mjinga pekee haswa yule alieshikiwa akili na wanasiasa ndio anaweza kuamini kuwa Mbowe na wanasiasa wengine wanapigania masilahi ya watanzania. Ila kwa tunaojitambua tunafahamu fika kuwa hao wanasiasa uchwara uliowataja hapa wote wanapigania matumbo yao na masilahi ya watoto zao. Ndio maana wakishaenda Ikulu kuhakikishiwa kuwa masilahi yao hayatoguswa, hugeuka bubu kuwatetea wengine.
 
Sisi tunasusa, hatuingii barabarani tuvunjwe miguu na kuuawa.
Kama huduma huwezi, unaiacha. Hata kusafiri, tutapunguza.
 
Tangu lini hao wapinzani uchwara wakawa watetezi wa wananchi?

Usitudanganye.
 
Mbowe na yeye anatetea biashara zake na maslahi
Bora tu atetee hizo biashara zake zitamfaidisha kuliko kutetea watu waliolala kiasi hiki.

Kiongozi wa upinzani kuliko kuendelea na harakati za kumpigania mtanzania asiyejitambua, naona ni bora hata ukatumia hiyo nguvu kutetea maiti wahifadhiwe vizuri angalao upate thawabu toka kwa M/Mungu.
 
Back
Top Bottom