Mbowe na Wapinzani wengine walikosea sana, Watanzania sio wakupiganiwa, ni kuwaacha kama walivyo

Mbowe na Wapinzani wengine walikosea sana, Watanzania sio wakupiganiwa, ni kuwaacha kama walivyo

SSH anapigania maslai ya wanyonge?
Nasema hivi, ukimtoa Nyerere, Abeid Karume na Sokoine hakuna mwanasiasa mungine wa Tanzania anaepigania masilahi ya watanzania. It's clear kwamba wanasiasa wote wameingia kwenye siasa baada ya kugundua kuwa watanzania ni wepesi sana kutumiwa kwa ajili ya masilahi ya kisiasa. Na ndo kinachofanyika siku zote.
 
Nashauri Mbowe na wengine wakae kimya waangalie maisha yao na Familia zao, Watanzania sio watu wa kutetete kamwe, bora kutetea hata wale Mbwa wanao zurura mitaani wasipigwe ila sio kutetea Watanzania.

Huwezi pigania watu wasio jitambua, Watanzania hatuajijitambua na hakuna uwezekano wa kujitambua hivi karibuni, hivyo hawa Wapianzani wanao watetea ni sawa na kupigia Mbuzi gitaaa tu.

Tunapaswa kuachwa tulivyo na wano tutetea wanapoteza nguvu na muda, sisi sio watu wa kupiganiwa kabisa.

 
Nashauri Mbowe na wengine wakae kimya waangalie maisha yao na Familia zao, Watanzania sio watu wa kutetete kamwe, bora kutetea hata wale Mbwa wanao zurura mitaani wasipigwe ila sio kutetea Watanzania.

Huwezi pigania watu wasio jitambua, Watanzania hatuajijitambua na hakuna uwezekano wa kujitambua hivi karibuni, hivyo hawa Wapianzani wanao watetea ni sawa na kupigia Mbuzi gitaaa tu.

Tunapaswa kuachwa tulivyo na wano tutetea wanapoteza nguvu na muda, sisi sio watu wa kupiganiwa kabisa.

Changamoto ni pale Mbowe na wapinzani wengine shughuli Yao ya kuwaingizia pesa ni "kuwatetea watanzani"😂😂😂😂
 
Mkuuu nimekukubali saaana Leo .kumtetea mtanzania ni kupoteza muda nguvu na akili mazuzu WENGI saaana
 
Huu ni uongo, Mr.Mbowe amekaa jela more than 200days, bila ya kuwa na wapendwa wake,biashara gani za kwake binafsi alikua anapigania?tukubali tuna mazuzu wengi nchi hii,pigana na usitegemee mtu akupiganie

Uzuzu ni kukubaliwa kutumiwa na wanasiasa (kwa namna yoyote ile) kwa maslahi ya wanasiasa. Watetezi wa kweli wa wananchi huwa hawahitaji kushika dola. Martin Luther King, Jr. na wapigania haki wenzake hawakuwahi kutafuta support ya wananchi ili washike dola kwa ajili ya kuendelea kuwapigania! After all, watawala hawana track record ya kupigania haki za wanaowatawala.
 
Back
Top Bottom