Nasema hivi, ukimtoa Nyerere, Abeid Karume na Sokoine hakuna mwanasiasa mungine wa Tanzania anaepigania masilahi ya watanzania. It's clear kwamba wanasiasa wote wameingia kwenye siasa baada ya kugundua kuwa watanzania ni wepesi sana kutumiwa kwa ajili ya masilahi ya kisiasa. Na ndo kinachofanyika siku zote.SSH anapigania maslai ya wanyonge?
Nashauri Mbowe na wengine wakae kimya waangalie maisha yao na Familia zao, Watanzania sio watu wa kutetete kamwe, bora kutetea hata wale Mbwa wanao zurura mitaani wasipigwe ila sio kutetea Watanzania.
Huwezi pigania watu wasio jitambua, Watanzania hatuajijitambua na hakuna uwezekano wa kujitambua hivi karibuni, hivyo hawa Wapianzani wanao watetea ni sawa na kupigia Mbuzi gitaaa tu.
Tunapaswa kuachwa tulivyo na wano tutetea wanapoteza nguvu na muda, sisi sio watu wa kupiganiwa kabisa.
Changamoto ni pale Mbowe na wapinzani wengine shughuli Yao ya kuwaingizia pesa ni "kuwatetea watanzani"ππππNashauri Mbowe na wengine wakae kimya waangalie maisha yao na Familia zao, Watanzania sio watu wa kutetete kamwe, bora kutetea hata wale Mbwa wanao zurura mitaani wasipigwe ila sio kutetea Watanzania.
Huwezi pigania watu wasio jitambua, Watanzania hatuajijitambua na hakuna uwezekano wa kujitambua hivi karibuni, hivyo hawa Wapianzani wanao watetea ni sawa na kupigia Mbuzi gitaaa tu.
Tunapaswa kuachwa tulivyo na wano tutetea wanapoteza nguvu na muda, sisi sio watu wa kupiganiwa kabisa.
Huu ni uongo, Mr.Mbowe amekaa jela more than 200days, bila ya kuwa na wapendwa wake,biashara gani za kwake binafsi alikua anapigania?tukubali tuna mazuzu wengi nchi hii,pigana na usitegemee mtu akupiganie
Mawazo yako yanafanana na ya bwana mdogo fulani.Akili kibaba