Mbowe na Wenzake 3 wakutwa na kesi ya kujibu. Kesi imeahirishwa hadi Machi 04, 2022 watuhumiwa kuanza kujitetea

Jaji: Kosa la Sita Mshtakiwa Namba Moja ndiye anayeshakiwa Peke yake, Ambapo Mshtakiwa Namba Moja alikutwa anamiliki pair Nne za Suruali za JWTZ, pair Nne za Suruali za JKT, pair Moja la Shati la JWTZ, pair Moja ya Shati la JKT[emoji15][emoji3064]
 
Jaji: Washtakiwa Wote Waliposimamishwa Mbele ya Mahakama Walikana Makosa, Mbele lya Kaka Yangu Jaji Siyani (Jaji Kiongozi Walikana Mashtaka yao, Walikubali Tu Maelezo Yao ya Particulars). Walikubali Kuwa Waliwahi Kufanya Kazi Katika Kambi ya Ngerengere.
 
Kwahiyo wewe ndiye mtabiri au wawakilishi wa hao watesi wa mh Mbowe?
 
Yaani ninavyoombea maamuzi ya jaji yawe tu hawana kesi ya kujibu kwa wote yaani, ili tu tutoke hapa tumekaa muda mrefu kwa ishu hii hali haina faida wala kusingekuwa na madhara yanayotajwa kwao.
 
Hapa jamaa wana kesi ya kujibu
 
Hao jamaa wana kesi ya kujibu wote..ngoja tuone..maana ukiangalia hoja za wakina Kidando zilikua zimesimama haswa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…