Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Wanakwenda kuchukua maelekezo kutoka kwa wanasiasaHawa majaji wana tabia ya kuahirisha maamuzi hadi waipangie tena siku nyingine, sijui mantiki yake waga ni nini..!!
Hii picha imenihuzunisha sana
siku ya leo nimejisikia huzuni sana basi bana kuna Mungu over anything and everybody
Muhimu gaidi afungwe tuuMaamuzi yamejaa ushabiki na maelekezo zaidi kuliko sheria!
Anyway, Mungu ndie hakimu wa haki hawa wengine ni ubatili mtupu!
Mbowe ni gaidi. Uaji limekutwa na kesi. Muuza unga wa siku nyingi, kaharibu watoto wa watu. Na apigweeeeeeeeeeeee
wana hakuna bungeHakuna mahakama TZ
Ahaaa😩😩😩Hadi sasa Hakuna shahidi aliyeonyesha Mbowe anayo kesi ya kujibu
kwa hiyo kesi imekuwa ya kodi na masuala ya ajira na sio ugaidi?Mahakama iko sahihi kuna kesi ya kujibu kama hao makomandoo waliajiriwa kama walinzi wa mbowe au Lisu je taratibu za ajira zikizingatiwa? Wakkatwa Kofi ya mapato ya TRA na NSSF kipindi chote cha hiyo ajira yao iwe ya siku moja au wiki au nk sababu ukiajiri kibarua hata kwa Siku moja lazima ukate TRA na NSSF
Hao makomandoo waliajiriwa kwa mkataba UPI? It appears waliitwa kwa ajira IPI hiyo isiyotambuliwa sheria za ajira,NSSF na TRA? Kama siio ugaidi
kwani nilikwambia mm ni chademaShida ni kwamba mlikuwa mnaiendesha kesi kwenye mitandao.
Hii kesi mliichukulia rahis sana.
Niliwaambia mapema sana humu hi kesi NGUMU ila kea kuwa mna mahaba na mwenyekiti mkafunga macho na masikio
Kesi haina ugumu wowote uache ujinga, mapingamizi yote ya utetezi yalitupwa licha ya kina Kingai kutojua chochote kuhusu PGO, lengo ndio lilikuwa wawakute watuhumiwa na kesi ya kujibu ili mwishowe wawafunge gerezani kutimiza malengo ya bosi wao anayewapa vyeo.Shida ni kwamba mlikuwa mnaiendesha kesi kwenye mitandao.
Hii kesi mliichukulia rahis sana.
Niliwaambia mapema sana humu hi kesi NGUMU ila kea kuwa mna mahaba na mwenyekiti mkafunga macho na masikio
Unajua maana ya informal job??Mahakama iko sahihi kuna kesi ya kujibu kama hao makomandoo waliajiriwa kama walinzi wa mbowe au Lisu je taratibu za ajira zikizingatiwa? Wakkatwa Kofi ya mapato ya TRA na NSSF kipindi chote cha hiyo ajira yao iwe ya siku moja au wiki au nk sababu ukiajiri kibarua hata kwa Siku moja lazima ukate TRA na NSSF
Hao makomandoo waliajiriwa kwa mkataba UPI? It appears waliitwa kwa ajira IPI hiyo isiyotambuliwa sheria za ajira,NSSF na TRA? Kama siio ugaidi
kwani nilikwambia mm ni chadema
kwani nilikwambia mm nina undugu na mbowe
kinachoniuma ni value ya utu na ubinadamu nilionao kuona wanadamu wenzangu wanaonewa bila vivid explanation