LGE2024 Mbowe na wenzake wamekiuka Kanuni ya 49 (k) ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, adhabu yake ni faini au jela mwaka au vyote viwili

LGE2024 Mbowe na wenzake wamekiuka Kanuni ya 49 (k) ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, adhabu yake ni faini au jela mwaka au vyote viwili

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Mambo ya hovyo ndo unaanzisha uzi?
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika

Upuuzi wa fikra ni zaidi ya umaskini
Kavuluga mkutano wa nani??? ACT wamemkaribisha kwa mikono miwili au Polisi nao walikuwa na mkutano eneo hilo???
CCM achanane i na mambo ya mbeleko za kitoto
 
alafu mimi ningeshauri mambo ya elimu yaani mgombea uenyekiti na ujumbe kigezo cha elimu lazima kuanzia form six na diploma na kuendelea. Hivi sasa nchi yetu ina wasomi wengi sana...kuendelea kuongozwa na wasiosoma "mambumbumbu" haifai tena. Mtu hajajenga yaani mpangaji eti anapewa nafasi ya kugombea uenyekiti au ujumbe, mtu hajaoa wala hajaolewa eti mnampa nafasi ya kugombea ujumbe na uenyekiti, jitu linajiuza "mwili wake" mnampitisha agombee ujumbe...vyama vya siasa vya hovyo sana. CCM wametuchoka wananchi kwa kutuwekea wagombea vilaza..yaani mimi nikadhani kwakuwa wanaiba kura basi watuwekee watu makini wa kugombea.....hakuna kitu!!. Bora vyama vya upinzani wanajitambua kiasi kikubwa...watu wao wanajipambanua sana na kudadavua mambo..watoa matumaini...ila hawa ndugu zangu mavazi ya rangi ya mimea shida tupu!!. nimekeleka sana mitaani kwetu wamepitisha mijitu haijasoma haijaoa haijaolewa yoote ni mipangaji haijui kujieleza mingine inajiuza tunaifahamu kabisa..wametuletea tuwapigie kura, wamekata watu makini.

Vyama vya upinzani endeleeni kupambana, kuna watu wamewachoka wananchi wao huku
 
Mbowe na genge lake wamekosea sana kuvuruga ratiba ya mikutano. Walikuwa wanajua ila kwa ukaidi wakaamua kuvunja sheria. Kilichotokea leo ni utoto sana kufanywa na CHADEMA.
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
ni muhimu sana haki ikatendeka makaidi hao wa sheria, endapo wakithibitika ni vema wakaenda kutumikia adhabu zote mbili ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizo 🐒
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Hata mbowe angefungwa miaka mia chadema sio mtu ni taasis
 
Ccm chukua hii ,ila hamlazimishwi mnaenda pata pigo ambalo mtaulizana kwenye corido msijue nini kimetokea , Mungu ananena kwa sauti kubwa , Tunzeni hii , mtapigwa butwaa , leo Tarehe 22 , tunza hii ndani ya siku 87 zijazo mtaelewa nasema nini.

Mmekua waonevu, mmekua na majivuno ,Mungu anasema atawapukutisha kama mchanga ,thanks
 
anuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu

Unakamata watu katika msitu mbali na eneo la mkutano kisha unasema wamevunja kanuni.

Kwanini msingesubiri wafike mkutanoni na kisha m'washushe kutoka jukwaa kesi ikawa kama mnavyowaza .
 
Back
Top Bottom