LGE2024 Mbowe na wenzake wamekiuka Kanuni ya 49 (k) ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, adhabu yake ni faini au jela mwaka au vyote viwili

LGE2024 Mbowe na wenzake wamekiuka Kanuni ya 49 (k) ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, adhabu yake ni faini au jela mwaka au vyote viwili

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Sidhani kama unajua sheria vizuri au kuzitafsiri hizo sheria. ACT wamewakaribisha CDM kwenye mkutano wao kama Watanzania wowote wanavyo weza kuudhuria mkutano wowote. sasa hapo kuna kosa gani, CCM nyie niwaoga, wapinzani wenyewe, viongozi wao mmewaengua karibu wote wamebaki 30% na bado mnahofia kweli nyie kiboko.
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Wamekamatwa wakifanya kampeni au wakiwa safarini kuelekea songwe?
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Upuuzi mtupu
 
Wamekwenda na maji hao, kifungo kitaisha baada ya uchaguzi wa 2025
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Nini tofauti ya kuwa behind (the) bar na jela?

Amandla...
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Kwenye hizo kampeni tunaona ccm inatumia raslimali za umma kama magari ya serekali nk, na hakuna hatua yoyote wanachukuliwa, sasa sujui ni sheria gani unaongelea.
 
CCM ndiyo genge la hatari zaidi nchini Tanzania
Ni genge la hatari kuliko lile la Pablo Escobar.
 
Wamekamatwa wakifanya kampeni au wakiwa safarini kuelekea songwe?
Hata kama walikuwa wanafanya kampeni kama watu walikuwa wanamakubaliano POLISI Hawakuwa na haki ya kuwakamata, Ingekuwa ni CCM wala wasingewafanyia hivyo walivyo wafanyia Cdm.
 
Ccm tupo juu sana. Tumejaza fomu kiuhakika, hatukiuki sheria, ndio watu pekee duniani tuanaofanya mambo kwa usahihi kwa 100%. Itabidi tuombe tuingie ktk vitabu vya historia
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Wewe ni wakiume au wakike?
 
Ccm tupo juu sana. Tumejaza fomu kiuhakika, hatukiuki sheria, ndio watu pekee duniani tuanaofanya mambo kwa usahihi kwa 100%. Itabidi tuombe tuingie ktk vitabu vya historia
Mtu anaye fanya kitu kwa usahihi wala hatumii nguvu nyingi kujinadi kuhusu usahihi wake. Mkiona hivyo mjue kuna walakini, kikubwa kinacho wabeba CCM mpaka sasa ni katiba na mfumo wa nchi, asilimia kubwa ya wafanyakazi serikalini ni CCM na vyombo vyote vya kusimamia maamuzi wakuu wa mikoa, wakurugezi wote ni CCM kwahiyo mfumo unawabeba. Sasa mngejitaidi kuboresha hali za wananchi ili msipate upinzani zaidi ila hamuwezi
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Nguvu kubwa inatumika kuliko kuokoa waganga wa kariakoo
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Mkuu wenye ratiba walilalamika??? ACT wazalendo wamelalamika kuingilia ratiba???
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika

Sawa mweshimiwa jaji, mbona mmewaachia sasa? Hawakuvunja tena? Au huruma tu?
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA

- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Wewe inafahamika akili zako zimechanganyika na haja kubwa nani atakupa mamlaka hayo?
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Wafungeni tu wakome
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
ACT Wazalendo waliwaruhusu Chadema watumie uwanja wao, ACT hawakulalamika na polisi imekosa mlalamikaji hivyo kushindwa kufungua kesi.
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni, miongozo nk, vyama vya siasa vilitakiwa kuwasilisha ratiba zao za kampeni na kule Songwe alikokamatwa Mbowe na genge ratiba ilikuwa inaonyesha kuwa ACT wangefanya mkutano, Mbowe kwenda kufanya mkutano kwenye ratiba ya ACT ilikuwa ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

Kanuni hiyo ya 49 (k) inapatikana ukurasa wa 28 wa kanuni za uchaguzi za serikali za mitaa inayohusu makosa na adhabu na inasema kuwa mtu yeyote atakuwa ametenda kosa la uchaguzi endapo atavuruga ratiba ya mikutano ya kampeni za uchaguzi au atavunja masharti ya kampeni za uchaguzi.

Na adhabu yake imetajwa katika kanuni 49 (2) kuwa ni faini isiyozidi shilingi 300,000 au jela isizidi mwaka au vyote kwa pamoja.

Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu na ningekuwa mimi ndio mamlaka lazima angekuwa behind the bar na jela kulivyokuwa na joto aisee.

PIA SOMA
- LGE2024 - Jeshi la Polisi wamkamata Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe sababu hazijafahamika
Nawewe soma hata maelezo ya wengine basi a Moja na kunukuu hizo kanuni pia Kuna makubalianao yaliyofanywa na pande zote mbili kati ya ACT na CDM a Moja na msimamizi wa uchaguzi wa eneo husika Sasa hivyo vifungu vyako vinafanyaje kazi maana wahusika walielewana na na hakukuwa na fujo iliyoripotiwa?
 
Back
Top Bottom