Aliyewapeleka hao matapeli 19 bungeni Ni Nani kama siyo Maguguli? Aliwapeleka kwa maslahi ya nani?Wanasiasa (kasoro Nyerere na Magufuli) wapo pale kwa masilahi yao binafsi, siyo ya wananchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyewapeleka hao matapeli 19 bungeni Ni Nani kama siyo Maguguli? Aliwapeleka kwa maslahi ya nani?Wanasiasa (kasoro Nyerere na Magufuli) wapo pale kwa masilahi yao binafsi, siyo ya wananchi.
TuthibitishieAliyewapeleka hao matapeli 19 bungeni Ni Nani kama siyo Maguguli? Aliwapeleka kwa maslahi ya nani?
ni kawaida kwa ccm kukumbatia mafisadi na wezi kinachoendelea bungeni ni wizi wa kodi zetu.Sijui ni kitu gani kinawafanya muone Mbowe jinsi mnavyomuona kwamba ni Malaika, sasa mnaamini kabisa ule Mkutano Mlimani ulikuwa real ? Kwa nini hamuulizi maswali ?
Iweje waliofukuzwa Ubunge warudi Bungeni wakati Mbowe yuko karibu sana na Raisi Samia na hata anakwenda kumtembelea muda wowote Ikulu akiamua?
Kama ni kweli Mbowe au sijui ni baraza la chadema alinuia kuwafukuza akina Halima Mdee kwa nini warudi Bungeni bila consequences zozote ?
Aidha Mbowe amewaloga na mnashindwa kuona lolote baya analowafanyia ?
View attachment 2222595
Nenda Chato ukaone mahotel ya Magufuli yalivyobakia kuwa mapango.Wanasiasa (kasoro Nyerere na Magufuli) wapo pale kwa masilahi yao binafsi, siyo ya wananchi.
Umesahau mhusika mkuu wa wabunge wa COVID-19 ni magufuli? Sio vizuri kumsema marehemu, lakini !Eti na MAGUFULI...AISEE WE JAMAA DAAH,
Usisahau upo ulio jichimbia chini zaidi. Kifupi mhimili ni mmoja tu, mingine ni ghost.Mnataka Mheshimiwa Rais aingilie Mhimili mwingine, and you still call yourselves democratic!
Mbowe ana enda kupewa taarifa ya nini kina endelea. Chadema kwa ujumla wake imemaliza ngwe yake kwa swala la hawa wabunge, japo viongozi wa juu inaonekana wanafahamu fika nini kinaendelea.Ajabu sana, Spika anasema wakina Mdee wameenda mahakamani kudai uanachama wao waliofukuzwa Chadema.
Sasa kama Spika anakiri wakina Mdee hawana chama wanachokiwakilisha bungeni, kule bungeni wapo wanafanya nini?
Hapa ni wazi kuna mchezo unaochezwa kati ya CCM na hizi taasisi zake, nasisitiza Mbowe ajitafakari na chama chake kuhusu umuhimu wa vile vikao vya maridhiano wanavyofanya ikulu.
Binafsi sioni umuhimu wa kukutana na watu wanaoendelea kuvunja sheria mbele ya macho yenu, hizi ni dharau.
Wakipeleka orodha mpya tayari wameutambua uchaguzi wa 2020. Wabunge wakitoka misaada itakatwa. Suruhisho: peleka case mahakamani, ipigwe kalenda mpaka 2025.Kinacholeta ugumu hapo ni kua wakiwatoa covid 19, bunge litabaki halina upinzani litakua bunge la chama kimoja, tutakosa misaada ya wahisani, hapo ndo mtaona kua uchaguzi wa 2020 jiwe lilifanya mambo ya kijinga bila kujifikilia,
cha msingi hapo chadema wakubali kama wanawatoa covid 19 basi walete majina mengine ili walau bungeni kuwemo na vyama viwili
Mbowe anajua sana, na yupo kwa hilo. CCM ni chama dola, kinajua michezo yote.Mbowe na wenzie wasijidanganye kuwa watapewa katiba na tume mpya kwa njia za amani. Hili halijawezekana tangu 1992 mfumo wa chama kimoja ulipoanza. Halitawezekana hadi mwisho. CCM wanajua wanavyo "shinda" chaguzi. Hawawezi kukubali mfumo wa haki. Inabidi walazimishwe. Mbowe bado hajalijua hilo. Atasubiri sana hadi atastaafu siasa.
Nina uhakika Mbowe ni Master mind wa haya maigizo yanayo endelea,,Muda utaongea. Anajua kila kitu, lakini anataka kuwafanya misukule wanachama wake.Mbowe alifuata nini Ikulu tena peke yake na yakiwa yamebaki masaa machache kikao kilichowafukuza kina Mdee kufanyika?!
Ni kweli Mbowe hana maslahi ya uwepo wa kina Mdee huko Bungeni?!
😀kwani si Mbowe ndiye alituaminisha kuwa LOWASA fisadi.. sasa kwanini aliibuka naye kikaoni kuwa ndiye mgombea urais wa CHADEMA? Huu ni mfano rahisi, amkeni enyi wanachama wa CHADEMAKama chadema wameisha peleka barua rasmi bungeni juu ya maamuzi yao ya kuwafukuza wale wabunge 19 uanachama...basi ni SPIKA ndie anawafanya Watanzania WAJINGA sio Mbowe....nguvu ya Mbowe na Chadema kuwazuia wale wabunge wasitinge Bungeni iliishia pale Mlimani City kwenye baraza kuu...na ilichobaki ni Kiongozi wa bunge kutimiza wajibu wake pindi tu akipokea taarifa rasmi ya uamuzi ule...lakini kama taarifa ya kufukuzwa uanachama haijamfikia basi wale bado ni wabunge na niwajibu wa Spika kulinda Ubunge wao...
Hela ya nchi ilitumikaje kuwalipa along the way wakati CDM iliwafukuza uanachama right away kipindi hicho hicho?Tuthibitishie
wew unaamini kwamba bunge linaendeshwa kwa weledi au unaandika tu kwasababu upo kwenye viunga vya lumumba hapo ukijichokoa na kunusa mwenyewe?Sijui ni kitu gani kinawafanya muone Mbowe jinsi mnavyomuona kwamba ni Malaika, sasa mnaamini kabisa ule Mkutano Mlimani ulikuwa real ? Kwa nini hamuulizi maswali ?
Iweje waliofukuzwa Ubunge warudi Bungeni wakati Mbowe yuko karibu sana na Raisi Samia na hata anakwenda kumtembelea muda wowote Ikulu akiamua?
Kama ni kweli Mbowe au sijui ni baraza la chadema alinuia kuwafukuza akina Halima Mdee kwa nini warudi Bungeni bila consequences zozote ?
Aidha Mbowe amewaloga na mnashindwa kuona lolote baya analowafanyia ?
View attachment 2222595
umesahau kwamba lowasa alipelekwa lumumba na rostam azizi na akapokelewa kwa vifijo na nderemo na lile chizi lililokufa kibudu? kama unaamini kwamba lilikuwa linachukia ufisadi wa lowasa kwann halikumkamata?😀kwani si Mbowe ndiye alituaminisha kuwa LOWASA fisadi.. sasa kwanini aliibuka naye kikaoni kuwa ndiye mgombea urais wa CHADEMA? Huu ni mfano rahisi, amkeni enyi wanachama wa CHADEMA
CCm wamekuaminisha mangapi na yanakuwa si kweli? umeamka au bado waisujudia CCM! na mwisho uelewe sio kila anaye support issue inayohusiana na chadema basi ni mwanachama wa Chadema! wengine sisi ni concerned citizens!😀kwani si Mbowe ndiye alituaminisha kuwa LOWASA fisadi.. sasa kwanini aliibuka naye kikaoni kuwa ndiye mgombea urais wa CHADEMA? Huu ni mfano rahisi, amkeni enyi wanachama wa CHADEMA
Kwani "STOP ORDER" huko kwenye Sheria maana yake nini?Hapa sio suala la kuingilia mhimili mwingine. ni kuangalia sheria zilizopo zinasema nini kuhusu wakina Mdee na wenzake mpaka muda huu.
Katiba inatamka wazi, kifungu cha 67 (1) (b) wabunge lazima wawe wanatokana na chama cha siasa ili wahalalishe uwepo wao bungeni, tofauti na wale wanaoteuliwa na Rais.
Wale kina Mdee wamefukuzwa uanachama, maana yake kule bungeni mpaka muda huu hawatokani na chama chochote, hawa wanavunja sheria kwa uwepo wao bungeni.
Spika Tulia ni mwanasheria, ina maana haoni huu uvunjifu wa sheria anaousimamia tena akiwa kama kiongozi wa chombo cha kutunga sheria? hizi ni dharau kwa watanzania.
Magufuli anahusika vipi hapa?? Kama hana maslahi binafsi kwa nini aibe uchaguzi?Wanasiasa (kasoro Nyerere na Magufuli) wapo pale kwa masilahi yao binafsi, siyo ya wananchi.