Mbowe ndiye anayewafanya Wajinga na siyo Spika Tulia au CCM!

Mbowe ndiye anayewafanya Wajinga na siyo Spika Tulia au CCM!

CDM mliwatumia watoto wa watu kina mdee kuitukana serekali ya ccm kwa kipind lirefu Leo mnakuja kuwataka kuwafukuza Kam mbwa hpn huo ndio uhun
Mdee kanyaga twende
 
watanzania eleweni huwezi kuongozwa na mwanamke li nchi kubwa namna hii mwanamke level yake ni familia tena watoto
ambao khawaja balehe
 
Kile kitendo cha kubadili ule msimamo wao mkali wa kutojihusisha na kuchangamana na wabunge au viongozi waliopatikana kutokana na uchaguzi 2020 ambao waliutambua kama batili, na ile ya mbowe kusema hawezi kwenda ikulu pekeake kama anakwenda kuchumbia kisha ghalfa akaenda huku akitabasamu, ilipaswa kuwashitua kwenye usingizi wao mzito.

Hili sakata la wabunge litawasumbua hivihivi mpaka huu mhula wa kiuongozi unaisha.
Heshima ya Bunge kwishnei. Wanamtesa mama wa watu anataka kuiweka nchi kwenye msitari
 
Hizi pilika zote za namna ya kuwalinda hao wasaliti ,Rais Samia ameshakuwa informed, Rais Samia hataki maridhiano, Rais Samia hajiamini na ni muoga sana akiifikiria 2025.

So, CDM wala wasihangaike tena na huyo Mama ni mnafiki na ni mtu anayepelekeshwa pelekeshwa na wenye system.

Hakuna mahala maridhiano na shetani yakafanikiwa, NEVER.!
Wewe ni muhuni!.

Juzi mbowe alipokutana na mama simlikuwa mnashangilia?

Mkasema anaupiga mwingi" mpo kama watoto.
 
Back
Top Bottom