Mbowe ndiye anayewafanya Wajinga na siyo Spika Tulia au CCM!

Wanasiasa (kasoro Nyerere na Magufuli) wapo pale kwa masilahi yao binafsi, siyo ya wananchi.
Aliyewapeleka hao matapeli 19 bungeni Ni Nani kama siyo Maguguli? Aliwapeleka kwa maslahi ya nani?
 
ni kawaida kwa ccm kukumbatia mafisadi na wezi kinachoendelea bungeni ni wizi wa kodi zetu.
 
Wanasiasa (kasoro Nyerere na Magufuli) wapo pale kwa masilahi yao binafsi, siyo ya wananchi.
Nenda Chato ukaone mahotel ya Magufuli yalivyobakia kuwa mapango.
 
Mnataka Mheshimiwa Rais aingilie Mhimili mwingine, and you still call yourselves democratic!
Usisahau upo ulio jichimbia chini zaidi. Kifupi mhimili ni mmoja tu, mingine ni ghost.
 
Mbowe ana enda kupewa taarifa ya nini kina endelea. Chadema kwa ujumla wake imemaliza ngwe yake kwa swala la hawa wabunge, japo viongozi wa juu inaonekana wanafahamu fika nini kinaendelea.
 
Wakipeleka orodha mpya tayari wameutambua uchaguzi wa 2020. Wabunge wakitoka misaada itakatwa. Suruhisho: peleka case mahakamani, ipigwe kalenda mpaka 2025.
 
Mbowe anajua sana, na yupo kwa hilo. CCM ni chama dola, kinajua michezo yote.
 
Mbowe alifuata nini Ikulu tena peke yake na yakiwa yamebaki masaa machache kikao kilichowafukuza kina Mdee kufanyika?!

Ni kweli Mbowe hana maslahi ya uwepo wa kina Mdee huko Bungeni?!
Nina uhakika Mbowe ni Master mind wa haya maigizo yanayo endelea,,Muda utaongea. Anajua kila kitu, lakini anataka kuwafanya misukule wanachama wake.
 
😀kwani si Mbowe ndiye alituaminisha kuwa LOWASA fisadi.. sasa kwanini aliibuka naye kikaoni kuwa ndiye mgombea urais wa CHADEMA? Huu ni mfano rahisi, amkeni enyi wanachama wa CHADEMA
 
Tuthibitishie
Hela ya nchi ilitumikaje kuwalipa along the way wakati CDM iliwafukuza uanachama right away kipindi hicho hicho?
Magu alikuwa anajifanya kuchukua ufisadi huku akiruhusu kodi ya wananchi kutumiwa vibaya na hao wabunge batili.
 
wew unaamini kwamba bunge linaendeshwa kwa weledi au unaandika tu kwasababu upo kwenye viunga vya lumumba hapo ukijichokoa na kunusa mwenyewe?
jibu maswali haya
sofia simba alipofukuzwa ubunge na lile dubwasha sasa marehemu nini kilifuatia hapo bungeni?
wabunge kina riziki ngwali na wenzake walipofukuzwa ubunge nini kilifuatia hapo bungeni?
mtu akiwana rufaa kama yule mpuuzi SABAYA anapaswa kuwa wapi?
wanaposema hawajasikilizwa ni kweli hawakusikilizwa pale mlimani city?
acha kutufanya wajinga kama wewe mwehu mkubwa wewe?
unatuwekea picha ya lowasa ili kiwe nn wakati lowasa na mtoto wake wapo ccm tena walipokelewa kwa shangwe kubwa
 
😀kwani si Mbowe ndiye alituaminisha kuwa LOWASA fisadi.. sasa kwanini aliibuka naye kikaoni kuwa ndiye mgombea urais wa CHADEMA? Huu ni mfano rahisi, amkeni enyi wanachama wa CHADEMA
umesahau kwamba lowasa alipelekwa lumumba na rostam azizi na akapokelewa kwa vifijo na nderemo na lile chizi lililokufa kibudu? kama unaamini kwamba lilikuwa linachukia ufisadi wa lowasa kwann halikumkamata?
 
covid 19 wanahitajika kwa sababu mbili..ule msaada wa european union WA EUROS ZA KUTOSHA BUNGENI unaohitaji idadi fulani ya wapinzani kwenye kamati zabunge wakati huo kuna watu waliiiba kupitiliza
Pili inadhaniwa kwamba hii situation italeta mgawanyiko chadema kumbe IMEWAGEUZA WATU WENYE"HESHIMA ZAO" KUWA VITUKO
 
Naona mnaogopa kutaka kujua ni nani aliyapeleka majina 19 ndani ya CDM.
 
😀kwani si Mbowe ndiye alituaminisha kuwa LOWASA fisadi.. sasa kwanini aliibuka naye kikaoni kuwa ndiye mgombea urais wa CHADEMA? Huu ni mfano rahisi, amkeni enyi wanachama wa CHADEMA
CCm wamekuaminisha mangapi na yanakuwa si kweli? umeamka au bado waisujudia CCM! na mwisho uelewe sio kila anaye support issue inayohusiana na chadema basi ni mwanachama wa Chadema! wengine sisi ni concerned citizens!
 
Kwani "STOP ORDER" huko kwenye Sheria maana yake nini?
 
Wanasiasa (kasoro Nyerere na Magufuli) wapo pale kwa masilahi yao binafsi, siyo ya wananchi.
Magufuli anahusika vipi hapa?? Kama hana maslahi binafsi kwa nini aibe uchaguzi?
Mfateni kaburini aliko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…