Mbowe ndiye anayewafanya Wajinga na siyo Spika Tulia au CCM!

CDM mliwatumia watoto wa watu kina mdee kuitukana serekali ya ccm kwa kipind lirefu Leo mnakuja kuwataka kuwafukuza Kam mbwa hpn huo ndio uhun
Mdee kanyaga twende
 
watanzania eleweni huwezi kuongozwa na mwanamke li nchi kubwa namna hii mwanamke level yake ni familia tena watoto
ambao khawaja balehe
 
Heshima ya Bunge kwishnei. Wanamtesa mama wa watu anataka kuiweka nchi kwenye msitari
 
Wewe ni muhuni!.

Juzi mbowe alipokutana na mama simlikuwa mnashangilia?

Mkasema anaupiga mwingi" mpo kama watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…