Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
ndhani wanao teseka na kugawanyika zaidi juu ya uenyekiti wa MBOWE ni Chadema wenyewe 🐒CCM na ACT mbona jamaa anawatesa sn?
Viongozi uchaguliwa katika chaguzi ndani ya chama. Mbowe kama mwanachama anayo haki sawa na wanachama wenzie. Kama chama kinaona anafaa kuendelea kukiongoza nyie inawahuma nini? Nini kilichopo nyuma ya pazia kwa campaign zetu dhidi ya uenyeketi wa Mbowe?Ni kitu gani ambacho bado Mbowe hajakamilisha kinacho muweka kwenye kiti cha uenyekiti hadi sasa ? Naomba nitajiwe.
Upi mbadala wa Mbowe katika kiti cha uenyekiti wa chama?
Uenyekiti wa Mbowe wa kipindi kirefu una faidi zipi na hasara zipi katika demokrasia na ukuaji wake?
View attachment 2927926
wewe inakuhusu nini?ndhani wanao teseka na kugawanyika zaidi juu ya uenyekiti wa MBOWE ni Chadema wenyewe 🐒
hajulikani wanasonga, wamestack au wako off track 🐒
inanihusu huruma tu 🐒wewe inakuhusu nini?
Ni kitu gani ambacho bado Mbowe hajakamilisha kinacho muweka kwenye kiti cha uenyekiti hadi sasa ? Naomba nitajiwe.
Upi mbadala wa Mbowe katika kiti cha uenyekiti wa chama?
Uenyekiti wa Mbowe wa kipindi kirefu una faidi zipi na hasara zipi katika demokrasia na ukuaji wake?
View attachment 2927926
KWANI CCM NI KIPI BADO HAIJAKAMILISHA KWA MIAKA 62 MADARAKANI? TUANZIE HAPO MKUUNi kitu gani ambacho bado Mbowe hajakamilisha kinacho muweka kwenye kiti cha uenyekiti hadi sasa ? Naomba nitajiwe.
Upi mbadala wa Mbowe katika kiti cha uenyekiti wa chama?
Uenyekiti wa Mbowe wa kipindi kirefu una faidi zipi na hasara zipi katika demokrasia na ukuaji wake?
View attachment 2927926
Mtateseka sana na uenyekiti wa Mbowe. Kawashika pabaya. Chadema bado inamuitaji aendelee kuwa m/kiti. Wanaoweweseka ni watu tofauti na wanachadema, hii inawaongezea nguvu na imani kwa kiongozi wao..... Chadema itisheni uchaguzi ndani ya chama Mbowe apewe mitano tena iwaume vizuri.unamuogopaje au kuteseka na mtu asie na madhara kwa lolote kwa asali kidogo tu na labda konyagi kubwa moja anatulia vizuri aise [emoji205]
nguvu kubwa anaitumia puppet na kundi lake, sema mwamba ukaskazini unamsaidia kumlinda [emoji205]
Yes ni Kweli,Mtateseka sana na uenyekiti wa Mbowe. Kawashika pabaya. Chadema bado inamuitaji aendelee kuwa m/kiti. Wanaoweweseka ni watu tofauti na wanachadema, hii inawaongezea nguvu na imani kwa kiongozi wao..... Chadema itisheni uchaguzi ndani ya chama Mbowe apewe mitano tena iwaume vizuri.
Demokrasia ndani ya chama cha siasa ni nini?Ni kitu gani ambacho bado Mbowe hajakamilisha kinacho muweka kwenye kiti cha uenyekiti hadi sasa ? Naomba nitajiwe.
Upi mbadala wa Mbowe katika kiti cha uenyekiti wa chama?
Uenyekiti wa Mbowe wa kipindi kirefu una faidi zipi na hasara zipi katika demokrasia na ukuaji wake?
View attachment 2927926
Pingu jinsi unavyoiletea jeuri yenyewe ndivyo inavyozidi kukaza, the same apply to CCM dhidi ya CHADEMA. The way mnavyohangaika kupambana Mbowe aondoke ndivyo wanachama tunazidi kumtaka aendelee na mi5 mingine tena!CHADEMA haijawahi kuwa na DEMOKRASIA ndani mwake kww sababu za udikteta wa Mbowe, na hivyo Wananchi wasitegeee CHADEMA kudumisha DEMOKRASIA pindi watakapo pata madaraka.
Sio hivyo tu, CHADEMA inategemea kupata madaraka kwa njia za fujo.
Na hizo fujo keshatangaza Mbowe na ameanza Kutengeneza njia hizo tayarai kwa kuanza kampeni na propaganda kuwa CCM imeanza mchakato wa kuiba kura 2024-2025
Hivi sasa CHADEMA kazi yake iliyobaki nayo ni kutukana Wananchi kama utakavyoona pindi wakiingia hapa kuja kumtetea nak usambaza uongo kuwa Kura zitaibiwa kwenye uchaguzi mkuu..
Wanachadema wapi hao?ndhani wanao teseka na kugawanyika zaidi juu ya uenyekiti wa MBOWE ni Chadema wenyewe [emoji205]
hajulikani wanasonga, wamestack au wako off track [emoji205]
Unateseka na mbowe ukiwa ofisi ya Act wazalendo ????Ni kitu gani ambacho bado Mbowe hajakamilisha kinacho muweka kwenye kiti cha uenyekiti hadi sasa? Naomba nitajiwe.
Upi mbadala wa Mbowe katika kiti cha uenyekiti wa chama?
Uenyekiti wa Mbowe wa kipindi kirefu una faidi zipi na hasara zipi katika demokrasia na ukuaji wake?
diaspora na apo singidani 🐒Wanachadema wapi hao?