Mbowe ni kipi ambacho hajakamilisha, kwanini bado Mwenyekiti?

Mbowe ni kipi ambacho hajakamilisha, kwanini bado Mwenyekiti?

unamuogopaje au kuteseka na mtu asie na madhara kwa lolote kwa asali kidogo tu na labda konyagi kubwa moja anatulia vizuri aise [emoji205]

nguvu kubwa anaitumia puppet na kundi lake, sema mwamba ukaskazini unamsaidia kumlinda [emoji205]
Sasa si mfurahi kuwa mmepata mpinzani dhaifu? Mbona CCM ndo nyie mnataka mwamba aondoke? Ili iwe nini labda?
 
Sasa si mfurahi kuwa mmepata mpinzani dhaifu? Mbona CCM ndo nyie mnataka mwamba aondoke? Ili iwe nini labda?
mie sidhani kama kuna mtu ana shida sana na huyo muungwana MBOWE🐒

kwasabb yeye ni ka mutu kamoja tu kasiko na madhara yeyote, ispokua kudhoofisha demokrasia anayoibubiri kutwa kuchwa na yeye anaikanyaga, hiyo, ni hatari kwa ustawi wa Taasisi imara yenye malengo na inayoweza kujitegemea 🐒

watu wanapenda Damokrasia ni sio kitu ingine ya porojo na mastori ya town ambayo ni useless 🐒
 
CHADEMA haijawahi kuwa na DEMOKRASIA ndani mwake kww sababu za udikteta wa Mbowe, na hivyo Wananchi wasitegeee CHADEMA kudumisha DEMOKRASIA pindi watakapo pata madaraka.



Sio hivyo tu, CHADEMA inategemea kupata madaraka kwa njia za fujo.

Na hizo fujo keshatangaza Mbowe na ameanza Kutengeneza njia hizo tayarai kwa kuanza kampeni na propaganda kuwa CCM imeanza mchakato wa kuiba kura 2024-2025


Hivi sasa CHADEMA kazi yake iliyobaki nayo ni kutukana Wananchi kama utakavyoona pindi wakiingia hapa kuja kumtetea nak usambaza uongo kuwa Kura zitaibiwa kwenye uchaguzi mkuu..
Unatia huruma sana.
Lakini Muda utafika tuu akili itarudi
 
Unatia huruma sana

Save your pity.And try to be more creative
maxresdefault.jpg


Lakini Muda utafika tuu akili itarudi
Hachaguliki. sambamba Kweli akili imemrudi sasa amekubali kulikuwa na Uchaguzi na kesha pokea 2.7billion
 
Ni kitu gani ambacho bado Mbowe hajakamilisha kinacho muweka kwenye kiti cha uenyekiti hadi sasa? Naomba nitajiwe.

Upi mbadala wa Mbowe katika kiti cha uenyekiti wa chama?

Uenyekiti wa Mbowe wa kipindi kirefu una faidi zipi na hasara zipi katika demokrasia na ukuaji wake?

Abakusanyq mtaji baada ya ya kukamilisha ujenzi wa kasri lake kule machame.Utashangaa wale misukule watakuwmbia Mzee mbowe ni milionea ,hivi kweli milionea anajenga nyumba yake ya kusihi ukiwa na zaidi ya miaka sitini?
 
Mwenyekiti wa Chama chochote kikubwa ni lazima awe na nguvu zote including Pesa !
Ndio maana unaona Chama tawala Mwenyekiti wake ni Mkuu wa Nchi !
😅🙏🙏🙏
Tangu zamani na siku zote iko vile 🙏🙏
 
Hivi kuwa mwenyekiti au inakukera nini!
Tuachie sie CHADEMA wewe nenda ktk li-chama lako la shetani!
 
Ni kitu gani ambacho bado Mbowe hajakamilisha kinacho muweka kwenye kiti cha uenyekiti hadi sasa? Naomba nitajiwe.

Upi mbadala wa Mbowe katika kiti cha uenyekiti wa chama?

Uenyekiti wa Mbowe wa kipindi kirefu una faidi zipi na hasara zipi katika demokrasia na ukuaji wake?

Anataka kuandika historia ya mwenyekiti wa kwanza Chadema kufia madarakani
 
CHADEMA haijawahi kuwa na DEMOKRASIA ndani mwake kww sababu za udikteta wa Mbowe, na hivyo Wananchi wasitegeee CHADEMA kudumisha DEMOKRASIA pindi watakapo pata madaraka.



Sio hivyo tu, CHADEMA inategemea kupata madaraka kwa njia za fujo.

Na hizo fujo keshatangaza Mbowe na ameanza Kutengeneza njia hizo tayarai kwa kuanza kampeni na propaganda kuwa CCM imeanza mchakato wa kuiba kura 2024-2025


Hivi sasa CHADEMA kazi yake iliyobaki nayo ni kutukana Wananchi kama utakavyoona pindi wakiingia hapa kuja kumtetea nak usambaza uongo kuwa Kura zitaibiwa kwenye uchaguzi mkuu..
Nape kathibitisha jinsi ccm inavyoiba kura na yeye akiwa engineer wa huo wizi
So acha kumsingizia mbowe
 
Back
Top Bottom