MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Sasa si mfurahi kuwa mmepata mpinzani dhaifu? Mbona CCM ndo nyie mnataka mwamba aondoke? Ili iwe nini labda?unamuogopaje au kuteseka na mtu asie na madhara kwa lolote kwa asali kidogo tu na labda konyagi kubwa moja anatulia vizuri aise [emoji205]
nguvu kubwa anaitumia puppet na kundi lake, sema mwamba ukaskazini unamsaidia kumlinda [emoji205]
mie sidhani kama kuna mtu ana shida sana na huyo muungwana MBOWE๐Sasa si mfurahi kuwa mmepata mpinzani dhaifu? Mbona CCM ndo nyie mnataka mwamba aondoke? Ili iwe nini labda?
Unatia huruma sana.CHADEMA haijawahi kuwa na DEMOKRASIA ndani mwake kww sababu za udikteta wa Mbowe, na hivyo Wananchi wasitegeee CHADEMA kudumisha DEMOKRASIA pindi watakapo pata madaraka.
Sio hivyo tu, CHADEMA inategemea kupata madaraka kwa njia za fujo.
Na hizo fujo keshatangaza Mbowe na ameanza Kutengeneza njia hizo tayarai kwa kuanza kampeni na propaganda kuwa CCM imeanza mchakato wa kuiba kura 2024-2025
Hivi sasa CHADEMA kazi yake iliyobaki nayo ni kutukana Wananchi kama utakavyoona pindi wakiingia hapa kuja kumtetea nak usambaza uongo kuwa Kura zitaibiwa kwenye uchaguzi mkuu..
Unatia huruma sana
Hachaguliki. sambamba Kweli akili imemrudi sasa amekubali kulikuwa na Uchaguzi na kesha pokea 2.7billionLakini Muda utafika tuu akili itarudi
Abakusanyq mtaji baada ya ya kukamilisha ujenzi wa kasri lake kule machame.Utashangaa wale misukule watakuwmbia Mzee mbowe ni milionea ,hivi kweli milionea anajenga nyumba yake ya kusihi ukiwa na zaidi ya miaka sitini?Ni kitu gani ambacho bado Mbowe hajakamilisha kinacho muweka kwenye kiti cha uenyekiti hadi sasa? Naomba nitajiwe.
Upi mbadala wa Mbowe katika kiti cha uenyekiti wa chama?
Uenyekiti wa Mbowe wa kipindi kirefu una faidi zipi na hasara zipi katika demokrasia na ukuaji wake?
Anataka kuandika historia ya mwenyekiti wa kwanza Chadema kufia madarakaniNi kitu gani ambacho bado Mbowe hajakamilisha kinacho muweka kwenye kiti cha uenyekiti hadi sasa? Naomba nitajiwe.
Upi mbadala wa Mbowe katika kiti cha uenyekiti wa chama?
Uenyekiti wa Mbowe wa kipindi kirefu una faidi zipi na hasara zipi katika demokrasia na ukuaji wake?
Wenyewe mnaumia ila mnaogopa tuu kumwambiaHivi kuwa mwenyekiti au inakukera nini!
Tuachie sie CHADEMA wewe nenda ktk li-chama lako la shetani!
Nape kathibitisha jinsi ccm inavyoiba kura na yeye akiwa engineer wa huo wiziCHADEMA haijawahi kuwa na DEMOKRASIA ndani mwake kww sababu za udikteta wa Mbowe, na hivyo Wananchi wasitegeee CHADEMA kudumisha DEMOKRASIA pindi watakapo pata madaraka.
Sio hivyo tu, CHADEMA inategemea kupata madaraka kwa njia za fujo.
Na hizo fujo keshatangaza Mbowe na ameanza Kutengeneza njia hizo tayarai kwa kuanza kampeni na propaganda kuwa CCM imeanza mchakato wa kuiba kura 2024-2025
Hivi sasa CHADEMA kazi yake iliyobaki nayo ni kutukana Wananchi kama utakavyoona pindi wakiingia hapa kuja kumtetea nak usambaza uongo kuwa Kura zitaibiwa kwenye uchaguzi mkuu..