Pre GE2025 Mbowe: Nikiona chama changu kinaenda kuzamishwa, Kamanda naingia mzigoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wana haki ya kusema kuwa sisi ni Saccos ya mtu fulani au Jamii fulani na wana HOJA.
 
Sasa hivi watakaobaki na CHADEMA ni wale ambao wana Maslahi nayo, Sikiliza Speech ya Boniphace Jacob mbele ya Mbowe, Hapo ndipo utaona sura halisi ya CHADEMA, Kisha mtazame tena Kigaila!
na wale nyumbu walioenda nyumba nyumbani kwake kumshawishi agombee nao atabaki nao kwenye hiyo mbowe succos party
 
Akiona chama chake kinazamishwa kamanda anaingia mzigoni, hiyo kauli inaashiria atagombea tena
Haahaa wasiomjua ndo hivo, mzee anaamini yeye kazaliwa kuwa mwenyekiti, Siku lipumba, mbowe, cheyo, mzee wa ubwabwa watakapokaa pembeni, upinzania utakuwa umefufuka
 
Haahaa wasiomjua ndo hivo, mzee anaamini yeye kazaliwa kuwa mwenyekiti, Siku lipumba, mbowe, cheyo, mzee wa ubwabwa watakapokaa pembeni, upinzania utakuwa umefufuka
hawa ni kuwaadhibu vibaya kwenye sanduku la kura kwa kuipa ccm kura nyingi ipate ushindi mnono, ushindi wa kimbunga na mafuriko. Wapinzani tuwasahau, wakajifunze na washike adabu kwa wananchi waliowaamini halafu wao wanaleta ushenzi, hii haikubaliki
 
hawa ni kuwaadhibu vibaya kwenye sanduku la kura kwa kuipa ccm kura nyingi ipate ushindi mnono, ushindi wa kimbunga na mafuriko. Wapinzani tuwasahau, wakajifunze na washike adabu kwa wananchi waliowaamini halafu wao wanaleta ushenzi, hii haikubaliki
Ccm nayo ni mapumbavu tu hayana maana ila bora yatuletee tu mgombea wa urais mwanaume mwakani, Chadema huenda isiwe na matumaini tena kama haitalimaliza suala la uchaguzi wa mwenyekiti kwa busara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…