Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ilifutwa kwa masharti gani?Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye
Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?
Jumaa Mubarak 😂
Hapo ndio kipengele