Mbowe: Nilifuatwa na Maaskofu Watatu na Mufti Gerezani, wakaniambia Serikali inataka kufuta KESI Yako Rais ameomba aonane na Wewe. Mimi ningekataaje?

Mbowe: Nilifuatwa na Maaskofu Watatu na Mufti Gerezani, wakaniambia Serikali inataka kufuta KESI Yako Rais ameomba aonane na Wewe. Mimi ningekataaje?

Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye

Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?

Jumaa Mubarak 😂
Ilifutwa kwa masharti gani?
Hapo ndio kipengele
 
Hao ndio wenye watu
Wakristo wana madhehebu matatu yenye mamilioni ya waumini na wapiga kura

Madhehebu hayo ni katoliki ,protestant na walokole

Waislamu dhebu kubwa lenye mamilioni ya waumini ni Bakwata tu iliyo chini ya Mufti hao wengine wachache sana wakiwemi hai Answar suna ni wachache mno

Uongozi hasa ni majority ndio huweka serikali madarakani sio minority

Bakwata ni majority kwenye dini ya uislamu Tanzania hao wengine akina Answar Sunna wanajiita Baraza kuu hamna kitu na kiofisi chao uchwara pale magomeni ugaidi tu
Kwa nini kabla ya hapo huo ugaidi haukuwepo wala kuusoma umeibuka sahv..k
 
Watu wanaona jela pazuri eeh,mtu umejenga nyuma ina master bedroom halafu leo unaenda kuoga bafu na kutumia choo cha pamoja.Acheni kabisa utani na jela lile eneo hata kwa kuangalia linatisha.Hata mimi ningebadili mwelekeo
 
Mnajiona mpo wengi mnaenda makanisani mnajazana wanawake kwa watoto...basi hapo mnajiona mpo mamilioni
Hapo waislam wanaenda kwa wingi wanaume bila ya wingi ya watoto wala wanawake huoni au unajifanya hulijui hilo?
 
Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye

Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?

Jumaa Mubarak 😂
Kibaraka Lisu alikimbia Ubalozini badala ya aende jela 😁😁
 
Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye

Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?

Jumaa Mubarak 😂
Hata ningekuwa Mimi nikatae wito wa Rais wangu, weeh thubutu ! !
 
Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye

Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?

Jumaa Mubarak
 
Uko Nje ya mada

Kisheria Mwamba ni Gaidi au Siyo Gaidi? 😂😂😂
Niko ndani kabisa yeye si anadai Mbowe wa jela nk tofauti na aliyetoka?

Mbona yeye alikimbilia Kwa mume wake Amsterdam alipotaka Kukamatwa aende jela na Shujaa wako uchwara? Kwa nini asingewnda Ili atoke jela alikuwa Lisu yule yule badala yake kageuka kuwa kibaraka?
 
Back
Top Bottom