Ilifutwa kwa masharti gani?Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye
Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?
Jumaa Mubarak π
Ana udhaifu Alikua anajificha kwenye neno busara, kumbe kichwani mwepesiAnavyo zidi kujieleza ndio anazidi kuonekana kumbe ni mwepesi kichwani.
It seems there is something wrong with your brainLissu hajawahi kuishi gerezani hata nusu saa.
Kwa hiyo, hajui machungu ya gerezani.
Leo Slaa kadakwa usiku,Lissu ,kakimbia hajulikani aliko,sebuse gerezani?
Mufti anawakilisha waislamu wote, kila askofu anawakilisha dhehebu lake.Kwanini maaskofu wawe watatu na Mufti awe peke yake ?
Nje ya mada. Hivi hawa watunza sabatho huwa wanawekwa kundi gani haswa?Madhehebu hayo ni katoliki ,protestant na walokole
CCTNje ya mada. Hivi hawa watunza sabatho huwa wanawekwa kundi gani haswa?
Je ni protestant, pentecoste, methodist au kundi gani haswa? Ongeza na wale JW(Wazee wa majarida ya amkeni!)
Wakati mwingine ni bora kunyamaza, kuliko kuandika upupu unaowasha wasomaji.Lissu hajawahi kuishi gerezani hata nusu saa.
Kwa hiyo, hajui machungu ya gerezani.
Leo Slaa kadakwa usiku,Lissu ,kakimbia hajulikani aliko,sebuse gerezani?
Huo ugaidi wao walikufanyia huko makalioni kwako? Wewe kafiri chuki yako kwa uislamu inakutesa sana Pimbi wewe.Answar Sunna wanajiita Baraza kuu hamna kitu na kiofisi chao uchwara pale magomeni ugaidi tu
Ni fala tu angekataaMwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye
Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?
Jumaa Mubarak π
Ila kupigwa risasi nyingi kwa kutetea maslahi ya taifa ndio sifa ?Kuishi gerezani siyo sifa ππ
Ni kweli kufutiwa KESI ya ugaidi wakati Mahakama imekuona una KESI ya kujibu siyo jambo dogo πΌNi fala tu angekataa
Kwa nini kabla ya hapo huo ugaidi haukuwepo wala kuusoma umeibuka sahv..kHao ndio wenye watu
Wakristo wana madhehebu matatu yenye mamilioni ya waumini na wapiga kura
Madhehebu hayo ni katoliki ,protestant na walokole
Waislamu dhebu kubwa lenye mamilioni ya waumini ni Bakwata tu iliyo chini ya Mufti hao wengine wachache sana wakiwemi hai Answar suna ni wachache mno
Uongozi hasa ni majority ndio huweka serikali madarakani sio minority
Bakwata ni majority kwenye dini ya uislamu Tanzania hao wengine akina Answar Sunna wanajiita Baraza kuu hamna kitu na kiofisi chao uchwara pale magomeni ugaidi tu
Kibaraka Lisu alikimbia Ubalozini badala ya aende jela ππMwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye
Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?
Jumaa Mubarak π
Uko Nje ya madaKibaraka Lisu alikimbia Ubalozini badala ya aende jela ππ
Hata ningekuwa Mimi nikatae wito wa Rais wangu, weeh thubutu ! !Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye
Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?
Jumaa Mubarak π
Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye
Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?
Jumaa Mubarak
Niko ndani kabisa yeye si anadai Mbowe wa jela nk tofauti na aliyetoka?Uko Nje ya mada
Kisheria Mwamba ni Gaidi au Siyo Gaidi? πππ