Pre GE2025 Mbowe: Nimeanzisha CHADEMA nikiwa kijana mdogo wa miaka 30

Pre GE2025 Mbowe: Nimeanzisha CHADEMA nikiwa kijana mdogo wa miaka 30

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA, amesema alikuwa miongoni mwa waanzilishi wa chama hicho akiwa na umri wa miaka 30. Akizungumza kupitia Clouds FM, amesema;

"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.


"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
IMG_2432.jpeg


FREEMAN MBOWE: ACHA INYESHE TUJUE PANAPOVUJA
Akizungumza katika mahojiano na Clouds FM, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuelekea Uchaguzi wa Chama hicho amesema “Watoto wa Mjini wanasema acha inyeshe tujue panapovuja”

Soma, Pia:
Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Ezekia Wenje: Msimshangae Mbowe, mbona Nyerere alikaa Madarakani muda mrefu zaidi
Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa'
 
miaka 30 ni kijana mdogo? hivi kwa nini watanzagiza wanapenda sana kujiita vijana hata kama ni watu wazima? kijana mwisho miaka 19 hapo ndiyo u teeneger unaisha na kuanzia hapo ni mtu mzima ambaye anakuwa held responsible for his actions …
 
"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.

"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3197111
Ni sahihi kabisa lakini mwamba huu ni wakati wa kupumzika na kuwapisha wengine
 
"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.

"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3197111
Mwanzilishi wa Chadema anagombea cheo chake.
Team Lissu ànzisheni Chadema yenu.
 
"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.

"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3197111
Soma, Pia: Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Miaka 30 tena wa enzi zile ni mdogo? Is he serious?
 
"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.

"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3197111
Soma, Pia: Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
1. Kwa biyo kama nimuasisisi alianzisha chama cha familia?
2. Je chadema sio taasisi?
3. Hajataja aina ya biashara?

Na sisi tunajivunia Mugabe wetu.
 
Miaka 30 ni kijana mdogo aisee..OK sawa waachie wengine waongoze kuanzisha chama cha siasa haimaanishi kuwa ni mali yako..
 
"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.

"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3197111
Soma, Pia:

Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Ezekia Wenje: Msimshangae Mbowe, mbona Nyerere alikaa Madarakani muda mrefu zaidi

Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa'
Kwahiyo anataka kumaanisha kwamba ni chama chake binafsi?
 
Back
Top Bottom