Pre GE2025 Mbowe: Nimeanzisha CHADEMA nikiwa kijana mdogo wa miaka 30

Pre GE2025 Mbowe: Nimeanzisha CHADEMA nikiwa kijana mdogo wa miaka 30

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Clouds na Matangazo ni BAM BAM..wqtafute namna nzuri ya kuweka hayo Matangazo pasipo kuathiri MAJADILIANO
 
Kwa jinsi ilivyo huyu jamaa hata akishindwa kwenye sanduku la kura sidhani kama ataachia madaraka,chadema wajiandae kisaiklojia
 
Mbowe naona anakosea kabisa, akili yake imevurugwa sana, Lissu kweli kiboko, ingawa Lissu hawezi pata Uenyekiti.

Kwanza Mbowe sio mmojawapo wa waasisi au waanzilishi wa CHADEMA, pili hata angekuwa mmojawapo wa waanzilishi wa Chdema asingetakiwa kusema sbb inaonyesha kakaa muda mrefuuuu sana huo ni udikteta au tamaa ya madaraka iliyo pitiliza..!! Kajivuruga kabisa kusema hivyo.
 
Ukomo wa madaraka, mbowe anasema kawa wengi wanataka kiongozi aendelee na wachache hawataki, wengi hupewa
 
miaka 30 siyo kijana mdogo ni mtu mzima, kumbuka kuna pengo la miaka 10 kati ya miaka 20 na 30, alifanya nini hiyo miaka 10 yote? mtu wa miaka 30 ana familia na watoto ambao wanakaribia ujana atakuwaje kijana mdogo?
Africa miaka 30 ni kijana mdogo au niseme Tanzania labda
 
Sorry guys; hivi Clouds wameisha wahi kumuhoji kiongozi yeyote wa Chadema kabla ya hu mvurugano unao endelea? I want to connect some dots here.

Mmiliki wa Clouds media na Mbowe wamekua kwenye game zinazo fanana enzi za ujana wao; wakati Kusaga akipiga disco kwa jina la MAWINGU those days za break dancer za kina Michael Jackson nk, Mbowe alikua akitamba na Pearl Club, Bilcanaz nk but sina kumbukumbu kumuona Mbowe akiwa na interview na Clouds hata mara moja, why now?
 
Kwahiyo? Anaongea vitu havina substance

Ulianzisha Chadema ukiwa kijana peke yako, so what?
Baba yangu alikuwa rafiki yake Nyerere, so what?

Anasema vingi sana ila mpaka sasa sijaona akitangaza hoja zilizomsukuma kugombea
 
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA, amesema alikuwa miongoni mwa waanzilishi wa chama hicho akiwa na umri wa miaka 30. Akizungumza kupitia Clouds FM, amesema;

"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.


"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3197111
Soma, Pia:

Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Ezekia Wenje: Msimshangae Mbowe, mbona Nyerere alikaa Madarakani muda mrefu zaidi

Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa'
Sympathy votes, mzee wangu mbowe, mbona unadhidi kujidhalisha,! Sawa ulishiriki kuanzisha chama, lakini haikupi hati miriki ya chama, hiyo sio kampuni binafsi!
Kuna watu kama Museveni, dikiteta wa, Uganda, aliongoza Vita kuikomboa Uganda, je ni haki yake kukaa madarakani mpaka ateue mtoto wake, mke wake, kuongoza nchi kama kampuni binafsi?
Mzee mbona kama umechizi?
Kuanzisha chama sio kigezo cha kukaa kama mwenyekiti milele!
Bro tupo karne 21! Democracy ndio mfumo! Every time you speak, you sound stupid!!
 
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA, amesema alikuwa miongoni mwa waanzilishi wa chama hicho akiwa na umri wa miaka 30. Akizungumza kupitia Clouds FM, amesema;

"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.


"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3197111
Soma, Pia:

Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Ezekia Wenje: Msimshangae Mbowe, mbona Nyerere alikaa Madarakani muda mrefu zaidi

Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa'
Kwahio kuanzisha ndio hati Miliki au anataka kusema nini hasa huyu kinyambengo
 
Actualy si mwanzilishi wala muasisi, so asijipe umuhimu sana. Waasisi na waanzilishi wapo na wamekaa kimya
Anatumia kila mbinu na hata kama awe mwanzilishi kwani hawezi kukosea yeye nani..? Afu mtu kama huyu hafai hata kumpa uomgozi wowote tena king'ang'anizi. Watu wanaweza kukuachia chama chako na wakaenda kwingine na wakashine
 
Kwahiyo? Anaongea vitu havina substance

Ulianzisha Chadema ukiwa kijana peke yako, so what?
Baba yangu alikuwa rafiki yake Nyerere, so what?

Anasema vingi sana ila mpaka sasa sijaona akitangaza hoja zilizomsukuma kugombea
Si anataka huruma na utakatifu na u ayatollah. Hakuna mbinu yeyote ataleta kuiondoa ccm ikiwa ana lambishwa asali
 

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA, amesema alikuwa miongoni mwa waanzilishi wa chama hicho akiwa na umri wa miaka 30. Akizungumza kupitia Clouds FM, amesema;

"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.


"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
Soma, Pia:
Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Ezekia Wenje: Msimshangae Mbowe, mbona Nyerere alikaa Madarakani muda mrefu zaidi
Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa'

So what? Hata Nyerere alianzisha CCM lakini aliwaachia na wengine waendeleze pale alipoishia yeye.
 
Kumbe mim bado kijana mdogo....safi Mh kwa kutukumbusha
 
Back
Top Bottom