Pre GE2025 Mbowe: Nimeanzisha CHADEMA nikiwa kijana mdogo wa miaka 30

Pre GE2025 Mbowe: Nimeanzisha CHADEMA nikiwa kijana mdogo wa miaka 30

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA, amesema alikuwa miongoni mwa waanzilishi wa chama hicho akiwa na umri wa miaka 30. Akizungumza kupitia Clouds FM, amesema;

"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.


"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
Soma, Pia:
Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Ezekia Wenje: Msimshangae Mbowe, mbona Nyerere alikaa Madarakani muda mrefu zaidi
Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa'

So what? Achia ngazi tu mzee mbowe, umeshachokwa
 
Africa miaka 30 ni kijana mdogo au niseme Tanzania labda

siyo kweli, embu nenda kijijini halafu tafuta mtu wa miaka 30 uone kama utamuweka kwenye hilo kundi la huo “ukijana mdogo”, labda useme watanzagiza (wanaume) ni immature kwa maana ya kwamba hawa act their age, ndiyo maana siku zote hujiita watoto au vijana ili kukimbia majukumu, lkn miaka 30 ni a full grown matured man …
 

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA, amesema alikuwa miongoni mwa waanzilishi wa chama hicho akiwa na umri wa miaka 30. Akizungumza kupitia Clouds FM, amesema;

"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.


"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA

FREEMAN MBOWE: ACHA INYESHE TUJUE PANAPOVUJA
Akizungumza katika mahojiano na Clouds FM, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuelekea Uchaguzi wa Chama hicho amesema “Watoto wa Mjini wanasema acha inyeshe tujue panapovuja”

Soma, Pia:
Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Ezekia Wenje: Msimshangae Mbowe, mbona Nyerere alikaa Madarakani muda mrefu zaidi
Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa'

Muongo huyu sasa
 
🤣🤣😂😂 Ukiwa huna akili ukawasikiliza watu hapa, utadhani wao ndio wapiga kura🤣🤣😂.
Wapiga kura wapo wametulia wanajua nani atapita au mnadhani kutakuwa na online voting???
 
Yajayo yanafurahisha!
  1. Mbowe hataki kuacha chama, kwa sababu anahisi chama ni mali yake binafsi na hivyo hakuna mwenye haki ya kumnyng'anya labda apange yeye nani wa kumpa na lini? Kwa hili yuko radhi kumwaga 'mboga' hata chama kife haina shida kwake1
  2. Lissu anaona anacheleweshwa muda unaenda! Anataka ku-negotiate dela la kwake kwa sababu hakupata mgao wa maana kwenye deal la Mbowe!
  3. Vijana wamebaki njia panda, wale waliokuwa wanashabikia kiharakati sasa hivi ni watu wazima wana familia za hudumia hawawezi kuendelea ku-mark time wanataka uhakika wa "ajira'!
Subiri upepo uvume, tuone makalio ya kuku!
 

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA, amesema alikuwa miongoni mwa waanzilishi wa chama hicho akiwa na umri wa miaka 30. Akizungumza kupitia Clouds FM, amesema;

"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.


"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA

FREEMAN MBOWE: ACHA INYESHE TUJUE PANAPOVUJA
Akizungumza katika mahojiano na Clouds FM, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuelekea Uchaguzi wa Chama hicho amesema “Watoto wa Mjini wanasema acha inyeshe tujue panapovuja”

Soma, Pia:
Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Ezekia Wenje: Msimshangae Mbowe, mbona Nyerere alikaa Madarakani muda mrefu zaidi
Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa'

Tai nyekundu ishara ya madaraka, FAM yupo kazini bado.
 

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA, amesema alikuwa miongoni mwa waanzilishi wa chama hicho akiwa na umri wa miaka 30. Akizungumza kupitia Clouds FM, amesema;

"Mimi nilikuwa miongoni kwa waanzilishi wa CHADEMA. Kipindi hicho nilikuwa mdogo sana kati ya watu 10 tulioanzisha Chama hiki. Nilikuwa na umri wa miaka 30.

"Nilikuwa nafanya biashara na familia yetu ilikuwa ya Wafanyabiashara na Mzee wangu baada ya vuguvugu la Uhuru alikuwa kwenye siasa aligombea ubunge 1965 alikuwa rafiki wa karibu na Mwl Julius Nyerere. Sisi familia yetu ilikuwa ikifanya biashara kabla ya uhuru wa nchi yetu.


"Niliingia kwenye siasa nikawa nafanya vyote, siasa na Biashara" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA

FREEMAN MBOWE: ACHA INYESHE TUJUE PANAPOVUJA
Akizungumza katika mahojiano na Clouds FM, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuelekea Uchaguzi wa Chama hicho amesema “Watoto wa Mjini wanasema acha inyeshe tujue panapovuja”

Soma, Pia:
Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Ezekia Wenje: Msimshangae Mbowe, mbona Nyerere alikaa Madarakani muda mrefu zaidi
Lissu ataka Ukomo wa Madaraka kwenye nafasi za uongozi CHADEMA. Asema itapunguza 'Uchawa'

Harafu akabishi chama Kwa wahuni wa diaspora na wanaharakati uchwara.
 
Back
Top Bottom