johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe amesema amekuwa Kiongozi kwa miaka 30 na Sasa ni Kiongozi mkuu wa chama kwa miaka 20 hajakurupuka
Mbowe amesema kashfa ndogo ndogo haziwezi kumtoa kwenye Reli
Source: Crown media
Mbowe amesema kashfa ndogo ndogo haziwezi kumtoa kwenye Reli
Source: Crown media