Hotuba ya Mbowe mengi kasema ya msingi sana!
Yanatakiwa kutekelezwa.
Lakini pamoja na uzuri wa hotuba.
Kachomekea udalali wa chanjo ya Corona AstraZeneca.
Tena kaipamba kwamba hata yeye kachoma hiyo kwahiyo anatushawishi tuikubali hiyo! Huu ni udalali wa waziwazi.
Kulikuwa na haja gani kuitaja aina ya chanjo? Katika free market yeye ni nani kwenye Zeneca?
Mataifa mangapi wameikataa Zeneca kwa ubovu, iweje yeye ainadi kwetu?
Inchi ngapi wamesitisha hiyo chanjo ya Zeneca, kwanini yeye aipigie upatu?
Siamini kama mbowe alitamka hayo kwa bahati mbaya Bali alikusudia kuipigia chapuo.
Yamkini hata hakuchoma Zeneca lakini kwa vile kampuni ya Zeneca inatafta wateja huenda mbowe kakubali kuwa dalali kwa faida zake.
Zipo chanjo nzuri nyingi tu lakini siyo Zeneca!
Kuna Mordena, Pfizer etc!
Zeneca ya Mbowe ni uchafu hautakiwi hata kuwekwa kwenye mapendekezo.
Udalali wa mbowe Takukuru Chunguzeni tutapigwa na mchaga huyu.
Hana tofauti na yule Meku anaedalalia majeneza pale mhimbili!