Nasisitiza Hotuba ya mbowe ni nzuri lakini hapo kwenye chanjo kachemka" kuna usemi unasema hivi!
"Hata kama watu wanavutiwa na makalio yako lakini ukiyatikisa sana mwisho wake chupi huzama mtaroni"
Mbowe kazamisha chupi kwenye mwendo unaovutia!
wewe na mbowe hamna tofautiHotuba ya Mbowe mengi kasema ya msingi sana!
Yanatakiwa kutekelezwa.
Lakini pamoja na uzuri wa hotuba.
Kachomekea udalali wa chanjo ya Corona AstraZeneca.
Tena kaipamba kwamba hata yeye kachoma hiyo kwahiyo anatushawishi tuikubali hiyo! Huu ni udalali wa waziwazi.
Kulikuwa na haja gani kuitaja aina ya chanjo? Katika free market yeye ni nani kwenye Zeneca?
Mataifa mangapi wameikataa Zeneca kwa ubovu, iweje yeye ainadi kwetu?
Inchi ngapi wamesitisha hiyo chanjo ya Zeneca, kwanini yeye aipigie upatu?
Siamini kama mbowe alitamka hayo kwa bahati mbaya Bali alikusudia kuipigia chapuo.
Yamkini hata hakuchoma Zeneca lakini kwa vile kampuni ya Zeneca inatafta wateja huenda mbowe kakubali kuwa dalali kwa faida zake.
Zipo chanjo nzuri nyingi tu lakini siyo Zeneca!
Kuna Mordena, Pfizer etc!
Zeneca ya Mbowe ni uchafu hautakiwi hata kuwekwa kwenye mapendekezo.
Udalali wa mbowe Takukuru Chunguzeni tutapigwa na mchaga huyu.
Hana tofauti na yule Meku anaedalalia majeneza pale mhimbili!
Astra zeneca naona ndiyo inaongoza kwa kulalamikiwaHotuba ya Mbowe mengi kasema ya msingi sana.
Yanatakiwa kutekelezwa.
Lakini pamoja na uzuri wa hotuba.
Kachomekea udalali wa chanjo ya Corona AstraZeneca.
Tena kaipamba kwamba hata yeye kachoma hiyo kwahiyo anatushawishi tuikubali hiyo! Huu ni udalali wa waziwazi.
Kulikuwa na haja gani kuitaja aina ya chanjo? Katika free market yeye ni nani kwenye Zeneca?
Mataifa mangapi wameikataa Zeneca kwa ubovu, iweje yeye ainadi kwetu?
Inchi ngapi wamesitisha hiyo chanjo ya Zeneca, kwanini yeye aipigie upatu?
Siamini kama mbowe alitamka hayo kwa bahati mbaya Bali alikusudia kuipigia chapuo.
Yamkini hata hakuchoma Zeneca lakini kwa vile kampuni ya Zeneca inatafta wateja huenda mbowe kakubali kuwa dalali kwa faida zake.
Zipo chanjo nzuri nyingi tu lakini siyo Zeneca!
Kuna Mordena, Pfizer etc!
Zeneca ya Mbowe ni uchafu hautakiwi hata kuwekwa kwenye mapendekezo.
Udalali wa mbowe Takukuru Chunguzeni tutapigwa na mchaga huyu.
Hana tofauti na yule Meku anaedalalia majeneza pale mhimbili!
MASALIA YA JIWE, afya ni suala la mtu binafsi, iweje leo umpangie mtu afya?Hotuba ya Mbowe mengi kasema ya msingi sana.
Yanatakiwa kutekelezwa.
Lakini pamoja na uzuri wa hotuba.
Kachomekea udalali wa chanjo ya Corona AstraZeneca.
Tena kaipamba kwamba hata yeye kachoma hiyo kwahiyo anatushawishi tuikubali hiyo! Huu ni udalali wa waziwazi.
Kulikuwa na haja gani kuitaja aina ya chanjo? Katika free market yeye ni nani kwenye Zeneca?
Mataifa mangapi wameikataa Zeneca kwa ubovu, iweje yeye ainadi kwetu?
Inchi ngapi wamesitisha hiyo chanjo ya Zeneca, kwanini yeye aipigie upatu?
Siamini kama mbowe alitamka hayo kwa bahati mbaya Bali alikusudia kuipigia chapuo.
Yamkini hata hakuchoma Zeneca lakini kwa vile kampuni ya Zeneca inatafta wateja huenda mbowe kakubali kuwa dalali kwa faida zake.
Zipo chanjo nzuri nyingi tu lakini siyo Zeneca!
Kuna Mordena, Pfizer etc!
Zeneca ya Mbowe ni uchafu hautakiwi hata kuwekwa kwenye mapendekezo.
Udalali wa mbowe Takukuru Chunguzeni tutapigwa na mchaga huyu.
Hana tofauti na yule Meku anaedalalia majeneza pale mhimbili!
Ukiamua kutembea na mtu usiyemjua, una uamuzi wa kutumia kinga au kutotumia. Hakuna anaekulazimisha. Hivyo hivyo kwa chanjo. Kama wewe hautaki usiwazuie wengine wasichanjwe hata kama wangependa kuchanjwa. Huo ni upuuzi na ukatili uliopitiliza.HILO LA Chanjo sisi hatutaki kabisa...Astra Zeneca huko Inaua watu mpaka wao wamesitisha isitumike..Tunashukuru umechanjwa nadhani umewakilisha inatosha.
HILI LA Corona Kwa Hapa Kwetu twende Na approach ya kwetu sio kukimbilia huko.Na Mjue Hata Kenya wamekopa sana huko IMF na Bank ya Dunia.Mkimshinikiza Mama Kuhusu Machanjo akienda kukopa msilaumu mana Budget ya CHANJO HATUNAAAÀ...
MICHANJO HATUTAKI SISI..
Leo nimeenda kula restaurant kwa mara ya kwanza baada ya miezi 13 ya kutoweza kujichanganya.Chanjo iletwe kama mbowe kathibitasha ni salama hatuna mashaka tena at kuilipia tutalipia tu
HILO LA Chanjo sisi hatutaki kabisa...Astra Zeneca huko Inaua watu mpaka wao wamesitisha isitumike..Tunashukuru umechanjwa nadhani umewakilisha inatosha.
HILI LA Corona Kwa Hapa Kwetu twende Na approach ya kwetu sio kukimbilia huko.Na Mjue Hata Kenya wamekopa sana huko IMF na Bank ya Dunia.Mkimshinikiza Mama Kuhusu Machanjo akienda kukopa msilaumu mana Budget ya CHANJO HATUNAAAÀ...
MICHANJO HATUTAKI SISI..
Mbowe kashasema ni lazma.. Jiwe lilikuwa linataka kujitenga na dunia nani kasema... Chanjo ni lazmaLazima kasema nani?
Ni vizuri sana hapa tz sijui tuandamane chanjo iletweLeo nimeenda kula restaurant kwa mara ya kwanza baada ya miezi 13 ya kutoweza kujichanganya.
Kwa uhuru nilioupata baada ya kumaliza wiki mbili toka kuchanjwa chanjo ya pili ya Pfizer.
Magu aliharibu sana vichwa vya watu mzee.. Aliwa brainwash vya kutoshaAstraZeneca ni chanjo ambayo kusafirisha na kuitunza kwake ni rahisi zaidi.
Haupo ushahidi wa moja kwa moja kuwa ina madhara.
Hata inayosemekana kuwa ni madhara, ni kwa kiwango kipi?
Tunapatiwa ikiwamo chanjo hii bure kupitia COVAX.
Udalali wa Mbowe hapo uko wapi?
Kwa hiyo ndugu kupata chanjo ya Corona imekuwa ni jambo la kujisifia tena?Labda wewe ndiyo hujachanjwa lkn binafsi nimepata chanjo hapo Kenya.
Wewe ndelea kubinua makalio shauri zako.