Mbowe: Nitaunda tume ya ukweli na upatanishi nikishinda Uenyekiti

Mbowe: Nitaunda tume ya ukweli na upatanishi nikishinda Uenyekiti

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho, ataunda tume ya ukweli na upatanishi.

Amesema katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho kuanzia ngazi za chini hadi wa taifa, utakaohitimishwa Jumanne ya Januari 21, 2025, kumetokea mnyukano mwingi unaohitaji kupata mapatano.

Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 17, 2025, katika mahojiano maalumu na wahariri na waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tabata, jijini Dar es Salaam.

"Tukimaliza uchaguzi, tutafuata utaratibu unaofanyika duniani kote kutengeneza mapatano na kutibu majeraha ya uchaguzi.

"Kutengeneza tume ya ukweli na upatanishi kwa sababu watu wamekanyagana sana. Watu wameumizana sana. Nikichaguliwa, tutaitana na kuzungumza kwani tunahitajiana wote," amesema Mbowe.
Snapinst.app_473712442_2076761916129955_2582643495025781016_n_1080.jpg
Pia, Soma:
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho, ataunda tume ya ukweli na upatanishi.

Amesema katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho kuanzia ngazi za chini hadi wa taifa, utakaohitimishwa Jumanne ya Januari 21, 2025, kumetokea mnyukano mwingi unaohitaji kupata mapatano.

Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 17, 2025, katika mahojiano maalumu na wahariri na waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tabata, jijini Dar es Salaam.

"Tukimaliza uchaguzi, tutafuata utaratibu unaofanyika duniani kote kutengeneza mapatano na kutibu majeraha ya uchaguzi.

"Kutengeneza tume ya ukweli na upatanishi kwa sababu watu wamekanyagana sana. Watu wameumizana sana. Nikichaguliwa, tutaitana na kuzungumza kwani tunahitajiana wote," amesema Mbowe.
Tume tume tume ya upatanishi. WTF
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho, ataunda tume ya ukweli na upatanishi.

Amesema katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho kuanzia ngazi za chini hadi wa taifa, utakaohitimishwa Jumanne ya Januari 21, 2025, kumetokea mnyukano mwingi unaohitaji kupata mapatano.

Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 17, 2025, katika mahojiano maalumu na wahariri na waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tabata, jijini Dar es Salaam.

"Tukimaliza uchaguzi, tutafuata utaratibu unaofanyika duniani kote kutengeneza mapatano na kutibu majeraha ya uchaguzi.

"Kutengeneza tume ya ukweli na upatanishi kwa sababu watu wamekanyagana sana. Watu wameumizana sana. Nikichaguliwa, tutaitana na kuzungumza kwani tunahitajiana wote," amesema Mbowe.
Mapato yapi utakayo pata tena maana km utabakia ww kitini nachana kadi ya chadema na sitatoa ada ya mwana chama
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho, ataunda tume ya ukweli na upatanishi.

Amesema katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho kuanzia ngazi za chini hadi wa taifa, utakaohitimishwa Jumanne ya Januari 21, 2025, kumetokea mnyukano mwingi unaohitaji kupata mapatano.

Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 17, 2025, katika mahojiano maalumu na wahariri na waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tabata, jijini Dar es Salaam.

"Tukimaliza uchaguzi, tutafuata utaratibu unaofanyika duniani kote kutengeneza mapatano na kutibu majeraha ya uchaguzi.

"Kutengeneza tume ya ukweli na upatanishi kwa sababu watu wamekanyagana sana. Watu wameumizana sana. Nikichaguliwa, tutaitana na kuzungumza kwani tunahitajiana wote," amesema Mbowe.
Pia, Soma:
Nani atamwamini?
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho, ataunda tume ya ukweli na upatanishi.

Amesema katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho kuanzia ngazi za chini hadi wa taifa, utakaohitimishwa Jumanne ya Januari 21, 2025, kumetokea mnyukano mwingi unaohitaji kupata mapatano.

Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 17, 2025, katika mahojiano maalumu na wahariri na waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tabata, jijini Dar es Salaam.

"Tukimaliza uchaguzi, tutafuata utaratibu unaofanyika duniani kote kutengeneza mapatano na kutibu majeraha ya uchaguzi.

"Kutengeneza tume ya ukweli na upatanishi kwa sababu watu wamekanyagana sana. Watu wameumizana sana. Nikichaguliwa, tutaitana na kuzungumza kwani tunahitajiana wote," amesema Mbowe.
Pia, Soma:
Miaka 21+ Bado tu? Upatanishi wa nini?apishe
 
Back
Top Bottom