Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
ππππππJambo la kwanza analotakiwa kufanya Mbowe iwapo atashinda uenyekiti ni KUJIUZULU UENYEKITI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππJambo la kwanza analotakiwa kufanya Mbowe iwapo atashinda uenyekiti ni KUJIUZULU UENYEKITI
Hilo dingi zushiYa zamani ilikuwa ya uwongoπ€£
Ameongea kinyonge sana. Mambo ya kula mwenyewe hayo mwisho wake huwa mbaya sana πHilo dingi zushi
Anatapatapa tu sasa.. Lisu akamatie hapo hapoAmeongea kinyonge sana. Mambo ya kula mwenyewe hayo mwisho wake huwa mbaya sana π
Lissu atamlaza na viatuAnatapatapa tu sasa.. Lisu akamatie hapo hapo
Ahaminiki? π³π³π³Mbowe ahaminiki tena
Mbowe akiweza kufanya forgery na kubaki kuwa mwenyekiti basi CHADEMA itabaki kuwa yake na Fundi Mchundo . Umma (asilimia 85) hawamtaki. Na mbaya zaidi hiyo asilimia 15 wanayomtaka Mbowe wengin ni wana CCM. Miaka 20 inatosha na akibaki CHADEMA itaandaa presedent mbaya mno kwa siasa za Tanzania.Ahaminiki?
Amandla...
Anavusha wanawake wa bavicha, kama alivyowavusha akina covid 19 kwenda bingeni usiku anakutana nao kula bataβMwamba tu uacheβ - Yupo busy anavusha familia yake!!!!
Hata wewe huaminiki ndio maana unatumia jina bandia JF.Mbowe ahaminiki tena
Ahaminiki?Mbowe akiweza kufanya forgery na kubaki kuwa mwenyekiti basi CHADEMA itabaki kuwa yake na Fundi Mchundo . Umma (asilimia 85) hawamtaki. Na mbaya zaidi hiyo asilimia 15 wanayomtaka Mbowe wengin ni wana CCM. Miaka 20 inatosha na akibaki CHADEMA itaandaa presedent mbaya mno kwa siasa za Tanzania.
Ume bugi step mazee. Mimi hata siku moja siyo kilaza wa kuandika maneno rahisi ya kiswahili.Ahaminiki?
Amandla...
Ahaminiki?Ume bugi step mazee. Mimi hata siku moja siyo kilaza wa kuandika maneno rahisi ya kiswahili.
Presedent?Mbowe akiweza kufanya forgery na kubaki kuwa mwenyekiti basi CHADEMA itabaki kuwa yake na Fundi Mchundo . Umma (asilimia 85) hawamtaki. Na mbaya zaidi hiyo asilimia 15 wanayomtaka Mbowe wengin ni wana CCM. Miaka 20 inatosha na akibaki CHADEMA itaandaa presedent mbaya mno kwa siasa za Tanzania.
πππJambo la kwanza analotakiwa kufanya Mbowe iwapo atashinda uenyekiti ni KUJIUZULU UENYEKITI
Hakika umeishiwa. Typo inakuwa issue! PrecedentPresedent?
Amandla...
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho, ataunda tume ya ukweli na upatanishi.
Amesema katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho kuanzia ngazi za chini hadi wa taifa, utakaohitimishwa Jumanne ya Januari 21, 2025, kumetokea mnyukano mwingi unaohitaji kupata mapatano.
Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 17, 2025, katika mahojiano maalumu na wahariri na waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tabata, jijini Dar es Salaam.
"Tukimaliza uchaguzi, tutafuata utaratibu unaofanyika duniani kote kutengeneza mapatano na kutibu majeraha ya uchaguzi.
"Kutengeneza tume ya ukweli na upatanishi kwa sababu watu wamekanyagana sana. Watu wameumizana sana. Nikichaguliwa, tutaitana na kuzungumza kwani tunahitajiana wote," amesema Mbowe.
Pia, Soma: