Mbowe: Nitaunda tume ya ukweli na upatanishi nikishinda Uenyekiti

Mbowe: Nitaunda tume ya ukweli na upatanishi nikishinda Uenyekiti

Vichekesho ni vingi nchi hii.

Hakupatana na wote waliotishia uenyekiti wake huko nyuma,Leo ndo aridhiane na hawa wanaomvua nguo kiasi hiki!
 
Mbona hayo maridhiano alivofanya hatukuona matunda yake.
Zaidi zaidi baada ya maridhiano tulishuhudia watu wakitekwa na kuuwawa wakina Ally Kibao, Soka na Sativa

Je Kuna haja gani yakuja na sera ya maridhiano kwa mara ya pili ilihali maridhiano ya Kwanza matunda yake watu waliuawa na kutekwa?
 
Ahaminiki?

Amandla...
Mbowe akiweza kufanya forgery na kubaki kuwa mwenyekiti basi CHADEMA itabaki kuwa yake na Fundi Mchundo . Umma (asilimia 85) hawamtaki. Na mbaya zaidi hiyo asilimia 15 wanayomtaka Mbowe wengin ni wana CCM. Miaka 20 inatosha na akibaki CHADEMA itaandaa presedent mbaya mno kwa siasa za Tanzania.
 
Mbowe akiweza kufanya forgery na kubaki kuwa mwenyekiti basi CHADEMA itabaki kuwa yake na Fundi Mchundo . Umma (asilimia 85) hawamtaki. Na mbaya zaidi hiyo asilimia 15 wanayomtaka Mbowe wengin ni wana CCM. Miaka 20 inatosha na akibaki CHADEMA itaandaa presedent mbaya mno kwa siasa za Tanzania.
Ahaminiki?

Amandla...
 
Mbowe akiweza kufanya forgery na kubaki kuwa mwenyekiti basi CHADEMA itabaki kuwa yake na Fundi Mchundo . Umma (asilimia 85) hawamtaki. Na mbaya zaidi hiyo asilimia 15 wanayomtaka Mbowe wengin ni wana CCM. Miaka 20 inatosha na akibaki CHADEMA itaandaa presedent mbaya mno kwa siasa za Tanzania.
Presedent?

Amandla...
 
Dikteta Mbowe katika mbili ta
TatuπŸ˜‚
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho, ataunda tume ya ukweli na upatanishi.

Amesema katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho kuanzia ngazi za chini hadi wa taifa, utakaohitimishwa Jumanne ya Januari 21, 2025, kumetokea mnyukano mwingi unaohitaji kupata mapatano.

Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 17, 2025, katika mahojiano maalumu na wahariri na waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tabata, jijini Dar es Salaam.

"Tukimaliza uchaguzi, tutafuata utaratibu unaofanyika duniani kote kutengeneza mapatano na kutibu majeraha ya uchaguzi.

"Kutengeneza tume ya ukweli na upatanishi kwa sababu watu wamekanyagana sana. Watu wameumizana sana. Nikichaguliwa, tutaitana na kuzungumza kwani tunahitajiana wote," amesema Mbowe.
Pia, Soma:
 
Back
Top Bottom