Mbowe: Nitaunda tume ya ukweli na upatanishi nikishinda Uenyekiti

Utakuwa na tofauti na na four ARAS au ndio yale yale hadi leo wapo waliotelekezwa njia panda?
 
Tume ya upatanishi ya nn we Mzee? Acha kutufanya mafala, umeshindwa kupambana tupate tume huru ya uchaguzi unatuambia tume ya upatanishi! Itusaidie nn sisi wananchi wa chini? Tooooka
 
Tume ya upatanishi ya nn we Mzee? Acha kutufanya mafala, umeshindwa kupambana tupate tume huru ya uchaguzi unatuambia tume ya upatanishi! Itusaidie nn sisi wananchi wa chini? Tooooka
Nakutoka kwenywe ni kwa ushirika na wamachukua chako mapema
 
"Kutengeneza tume ya ukweli na upatanishi kwa sababu watu wamekanyagana sana. Watu wameumizana sana. Nikichaguliwa, tutaitana na kuzungumza kwani tunahitajiana wote," amesema Mbowe.
Na asipochaguliwa je?
 
Sijasoma yote lakini mambo ya kuunda tume ni ya kijinga sana maana binafsi sijawahi ona faida ya hayo matume labda ile ya kina Harrison Mwakyembe kipindi kile cha Richmond.
 
Huyu janja janja nyingi hapo anatafuta sympathy votes..miaka21 kipi hujafanya hadi uongezwe 5 mingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…