Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

ninawafahamu madaktari 5 walioambukizwa corona kutokana na vifaa duni wanavyotumia wanapowahudumia wagonjwa wa corona , wawili wako kwenye oxygen hivi ninavyoandika hapa
 
Hivi Mbowe hana washauri wamshauri kwamba hili la corona raia wamesimama na rais Magu?

Au nyie chadema mambo yenu mnafanyia utafiti wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana sisi chadema hatujui,pia inawezekana wawemba(wazambia)hawajui,pia inawezekana,wajaluo na wakamba(wakenya)pia inawezekana,wa turuki wanaohamisha raia zao hawajui,pia inawezekana hata balozi ya marekani iliyowaasa raia wake waliopo tz wajichunge haijui,pia hata wataalamu wa WHO nao hawajui,si hao tu pia hata wataalamu wetu wa maabara na msd waliosimamishwa hawajui,si hao tu ha aliyekuwa naibu waziri wa afya aliyepinga kujifukiza kitaalamu hajui (wakati mtoto wa rais kapona)bali wapambe wachache wa lumumba ndio wanajua,,ok wanaojua na wasiojua wote tu wahanga wa hili janga,muda unaosema utaendelea kusema

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umerudi lini kutoka Geita ?
 
Kwa hiyo kila mtu atoe takwimu za ukoo wake sio?!
Sasa nini maana ya kuwa na Serikali
 
Kwa kweli wametuacha dilemma, halafu wafanya mambo kimya kimya sasa hivi nasikia wanataka kufungua mashule.

Hapo ndio unashindwa hata kuelewa.
Wanatuambia wagonjwa wamepungua ila takwimu wamezikalia. Wanachoficha ni nini hasa?!
 
Hivi Mbowe hana washauri wamshauri kwamba hili la corona raia wamesimama na rais Magu?

Au nyie chadema mambo yenu mnafanyia utafiti wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wananchi Sena wewe na wenzio, ila kanifutahisha katoa data kwenye koti za wagonjwa! Wanapungua japo upimaji hamna! Hahaha sasa hapo sijui tuseme wanapungua au?
 
 
Nia ya huyu mtu kwa nchi yetu may be TISS na Majeshi yetu wanaijua Ila kwa akili ya kawaida tu,Kuna shida somewhere
Kama alifuga wasiojulikana nadhani litakuwa linaona limepata cheap labour aitwaye kovid 19
 
Ndugu yangu mimi nimesoma ud nimemaliza 2006 lecture theatre hua tunajaa kuliko darsa la form one. Nakumbuka wakati mwengine ukichelewa ht kuingia huez.

Pili katika hostel zero distancing is equal to zero. Jamani tuwe na utu na tufikirie wengine pia
 
Wiki kesho tunaweza kufungua vyuo na shule, wewe unatuleta corona tena wakati INAISHIA! Kila mmoja ataguswa kwa wakati wake
nyie mtaongea sana aisee ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Toka mwezi uliopitia huo ndiyo wimbo kwa hiyo hata hii ndoto yako ni sawa na ya alinacha.Endelea kuota bado giza.
Pole kwa kukutana na hawa watu wasiojali uhai wa watu. Corona imeonesha jinsi watanzania wengi walivyo na fikra za kienyeji kuanzia mkuu hadi hawa wafia-jiwe. Tunapaswa kuweka uhai mbele na sio ushabiki wa kisiasa.
 
Wiki kesho tunaweza kufungua vyuo na shule, wewe unatuleta corona tena wakati INAISHIA! Kila mmoja ataguswa kwa wakati wake
Dada kule chato kanigwa na kaugonjwa.
 
Pole kwa kukutana na hawa watu wasiojali uhai wa watu. Corona imeonesha jinsi watanzania wengi walivyo na fikra za kienyeji kuanzia mkuu hadi hawa wafia-jiwe. Tunapaswa kuweka uhai mbele na sio ushabiki wa kisiasa.
Kaugonjwa kamembeba dada huko chato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…