Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Kwa mujibu wa Raisi kacorona kanaenda kwisha wiki ijayo
Hivyo vifo mnavyovisikia ni matatizo ya Hofu tu
Shule zifunguliwe na Michezo irejee ili Watanzania waburudike

Nahisi ata tumechelewa kuanza maaana bundesliga ishaanza kitambo mechi zimechezeka weekend na mish yanaendelea
 
Ni minyoo kweli kama ID yako! Hamkubali takwimu za Serikali wakati huo huo hutaki kutoa takwimu zako zenye ushahidi, waficha za nini? Kwani vifo vinaweza kufichwa? Marehemu huwa ana ndugu, marafiki, jirani na hata washirika wenzake.
Acha ubwege wewe mbweha kitendo cha kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani ni kipimo tosha kuwa uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho, kwa ufala wako inalazimisha watu wakubali takwimu feki mnazotengeneza ?ushahidi wa vifo vya corona upo mwingi lakini wewe ni mbumbumbu ulishakariri zidumu fikra za wachakachuaji wa takwimu hata ukipewa ushahidi utakataa, bakia na ujinga wako mwenyewe lakini ujue watanzania siyo wajinga kama wewe.
 
Hivi unafikiri Ripoti hiyo utaisoma muda huo huo Rais anapoisoma? Rais anapata taarifa mapema sana hivyo kuhoji Ripoti imetoka au laah ni kukosa maarifa kwenyewe.

Je, uliambiwa upimaji usingefanyika kipindi wanafanya huo uchunguzi?

Siyo lazima kuambiwa, ni common sense tu, haiwezekani unachunguza ubovu wa kifaa at the same time kikaendelea kutumika.
 
hana lolote kasikia mabeberu wanaongelea kufungua na yeye anataka kufungua wakati hata mashine mbovu inayopima mapapai positive hajaibadirisha intubators hana na hata mpango mkakati w kitaifa wa kupambana na janga hana
Mkuu! Ulipotea sana humu kiasi kwamba nilihofu kuwa umebikiwa kesi utakatishaji fedha.
 
Mbona watu ninaokutana nao bado wanasema hali ni mbaya. Tumuamini yupi?.
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
WHO walitabiri hali yetu waafrika kuwa mbaya, Bill gates na Melinda gates wakatabiri tutakufa na kuzagaa mitaani.
Mungu ni mwema utabiri wao haujatimia, sikushangai mchawi kama wewe unayeiombea nchi mabaya utabiri wako Mungu atautupilia mbali kuleee.

Kuna mitanzania ya hovyo sana kutwa kutamani mabaya yatokee utadhani haina ndugu wala familia, unadhani yakitokea mabaya unamkomoa adui yako wa kisiasa pekee?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Uko sahihi kabisa, hakuna Mungu wa Tanzania pekee, hapa tumepelekwa chako.
Atoke basi Chato arudi Ikulu tuone.
Watoto wetu wanaenda kupata matatizo.
 
Kigwangwala kamdanganya Rais kuwa ndege zipo full booked mpaga August.
But in reality all planes are grounded na watu wanarudishiwa pesa zao.
Kuna wengine wamepostpone tour zao.

Kiufupi huyu Daktari wa binadamu hajui kabisa whats Tourism na hajui hao watalii wanapateje pesa za kuja huku, wanafanya booking lini.
Yaani ni tafrani.
We are doomed!
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Unajisikiaje sasa kiongozi? Amani imerudi? Umeamini kwamba Mungu ni zaidi ya kila intelijensia, itikaji ama filosofia?
 
Raia wa aina yako ndio laana ya nchi hii. Unaambiwa kuna tume inachunguza. Imemaliza kazi yake halafu unakuja kumshutumu mtu anayetaka tu kufahamu mambo yaliyojulikana! Unadhani utawahi kuhoji matumizi ya kodi unayolipa??

Umeambiwa vipimo ni feki. Ripoti ya tume ingeonesha ukweli au uongo wa hilo na tukajua kipi kinaendelea baada ya hapo. Toka tangazo la vipimo feki hata takwimu hakuna kwa sababu maabara ilifungwa kwa maelezo ya Ummy kuwa inafanyiwa ukarabati na wakati huo huo uchunguzi. Kweli kuhoji hili nalo ni jambo baya??

Raia wa hovyo sana wewe!!
Mkuu @NewOrder,ndio Watanzania kipenzi cha CCM. Bila aina hii ya binadamu kupungua sana au kuisha kabisa,basi Tanzania tusitegemee maendeleo. Mtaji wa CCM kuendelea kuongoza ni wajinga na ujinga wao.
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Watu wameshaugua corona wengi sana wamepona, wapo waliokufa, wapo ambao bado wanaumwa pia.

Jiulize katika tests 652 walipata wagojwa 480 je wangepima watu millioni ingekuwaje ?.

Mimi mwenyewe ndiyo kwanza nina siku tatu nikiwa nimepona.

Nilivoipata corona ni vichekesho tu lakini Mungu mkubwa haikuniathiri sana cause niliendelea kufanya kazi kama kawaida.


Mpaka kufikia sasa ugonjwa hautakuwa na athari kubwa sana kwa watu kwani tayari umeshazoeleka kwa watu.

Kubwa kuliko zote ni hizi athari za uchumi huu ugonjwa umeleta ni babkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Wapi ambako mashine zimezuia vifo? Sweden wana lockdown? Au unaamka tu unaanza kuwaza swala ambalo wala huna control nalo. Fuata maagizo ya wataalamu kujilinda wewe na watu wako wa karibu. Ukianza kuwaza mambo ya wa tz wote, na sasa una shaka hata na watalii. Strange.
 
Nchi haiendeshwi kama wewe unavyofikiria. Corona ni dhaifu.

Tangu corona imeingia sijavaa barakoa, sijafunga biashara zangu nahudumia wateja kama kawaida.

Wananishangaa kwanini sivai barakoa.

Dawa ya kujikinga nafanya mazoezi kila siku 5 za wiki, nakimbia kilometa 5, nakunywa maji mengi kila siku.

Corona ni dhaifu. Shughuli zifunguliwe tutengeneze pesa. Rais yupo sawa.
Mkuu

Huko Nyumbani Kwenu kuna wazee??? Je kuna wenye kisukari na pressure?? Wenye magonjwa ya Moyo je??? Je Huna Hata Jirani au mteja wako walau Mwenye obesity????...
Yumkini ww ni kijana ambae Haupo kwenye hatari kubwa Sana Ya kupoteza Maisha endapo utapatwa na corona lkn Vipi kuhusu hayo makundi niliyokutajia hapo juu???

Nakushauri uvae barakoa Mkuu walau uwalinde hao Wateja zako.. Kuvaa barakoa haimaanishi kuwa unajilinda wew peke yako lkn pia unawalinda wanao kuzunguka

Mazoezi ni vema wote tukafanya lkn hiyo Siyo guarantee kwamba corona ikija hatokutikisa..

Je mara ya mwisho Kupima Afya yako kwa magonjwa yote ni Lini??? Wengi hatuna uwezo wa kumudu Malipo ya kuchek Afya kwa ujumla na pia hatuna tendency ya kuchek Afya mara kwa mara.. Hivyo ni ngumu kujua kama una gonjwa nyemelezi mpaka pale litakapo jionyesha wazi.. Hivyo hupaswi kujiamini kiasi hicho Mkuu

Nikuombe Mkuu Jilinde ww na uwalinde uwapendao kwa kufuata taratibu zilizowekwa na wizara husika na WHO



Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
We umeelewa kuwa wataruhusu tu wanafunzi na michezo kwa pupa!!! Yawezekana wakaanza na wale wa juu wa chuo,hawa madogo wakasubiri kwanza...Michezo pia yaweza chezwa bila spectators kama walivyofanya Bundesliga. ..Mtu msomi kufikiria kuwa kufungulia michezo kipindi hiki basi tutaona mashabiki wamejaa uwanjani ni......* ...basi ngoja nikuache tu.
Yote uliyosema ni wishful thinking tu.

Mtoa mada anapiga ramli na wewe vile vile unatoa majibu kwa kupiga ramli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hawaruhusu kama unavyofikiria wewe kuna utaratibu maalum utakao zingatiwa wa kitaalam utakaofatwa.
corona haishi leo wala kesho ni lazima maisha yaendelee huku kukiwa na tahadhari kubwa.

magufuli anaanzisha ila hamini nakwambia kuna nchi nyingi tu zita fuata,


Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli lazima precaution zichukuliwe. Lazima kunawa na sabuni na kujipaka sanitizer iendelee kama kawaida huwezi kuacha. Ndo maana mku wa nchi alikataa kufungia watu ndani. Hakuna cha Lockdown just because huyu Corona huwezi jua ataondoka lini sio mgeni wakupangia siku ya kuondoka.
 
We umeelewa kuwa wataruhusu tu wanafunzi na michezo kwa pupa!!! Yawezekana wakaanza na wale wa juu wa chuo,hawa madogo wakasubiri kwanza...Michezo pia yaweza chezwa bila spectators kama walivyofanya Bundesliga. ..Mtu msomi kufikiria kuwa kufungulia michezo kipindi hiki basi tutaona mashabiki wamejaa uwanjani ni......* ...basi ngoja nikuache tu.
Pamoja na kwamba ugonjwa bado upo lakini umeshapungua kasi.

Leo ni siku ya 7 hapa dar ving'ora vya ambulance vimepungua sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom