Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Hakika Chama cha mapinduzi kimefaulu kuwekeza katika ujinga.
Anyway, kama mtu unatengwa na kudharauliwa na majirani zako na bado hujitambui basi hakuna jinsi Ila kusubiri ufe tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema kimewekeza kufuga misukule haina ufahamu haijielewi inaburuzwa tu na DJ imejaa humu jf haina kazi wao ni kupinga kila kitu na ilivyo kosa ufahamu mmiliki wao dj hata akijamba inasifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe mbabaishaji sana, aliwatoa Wabunge wa Chadema Bungeni eti wanafanya Self Isolation ya siku 14. Siku hizo 14 zimeisha wanarudi Bungeni, kwani Corona imeisha? Ushauri wangu, waendelee na isolation tu hadi Corona itoweke kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nimezungumza kwa mktadha wa nchi yetu.. sijui kuhusu marekani zaidi ya kusikia na kusoma magazetini. Je ni kweli kwamba korona inasumbua sana nchini kama vyombo vya habari vinavoripoti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mashabiki wa corona FC
Tatzo hampendi uhalisia
We jiulize hv ni kwa nn taarifa za wagonjwa wapya hazitolewi...?je n kwamba hakuna wagonjwa wapya.
na hao wagonjwa wanaopona wanapimwa kwa kipimo gani ikiwa hvyo vpimo vlivyokuwa vinatoa positive results vilikuwa haviaminiki kwa nn viaminike kwa waginjwa wanaopona tu
ok sio mbaya tukiendelea kujitekenya na kucheka sie wenyewe
 
Hao wenzetu probably wanaelewa anachokifanya ,acha tusubirie tuone.Ila mie kwa huyu mtu akili yangu imegoma
Hulazimishwi kumfuata jomba..na Wala huna haha ya kutuambia..we fuata utaratibu unaoujua baasi..Wala haina haja ya kugombana na mtu
 
Labda tuambie ukishapewa taarifa za wagonjwa wapya kwa upande wako unachosaidia ni Nini..tuanzie hapo..je unachukua tahadhari zote za kujikinga kulingana na na maelekeo ya wizara ya afya
 
Hulazimishwi kumfuata jomba..na Wala huna haha ya kutuambia..we fuata utaratibu unaoujua baasi..Wala haina haja ya kugombana na mtu
Sasa mkuu,Kama watu wengi wakiwa Kama Mimi then wakaenda kwa utaratibu huu unaoshauri hapa huoni hatari iliyoko mbele?
 
Za ukimwi zinatolewa?madaktari ndo hawaaminiki vipimo vinaendelea
 
Wenye akili timamu siku hizi wanamsikiliza sana Rais JPM(Chuma cha Pua).Hilo BANDAVICHAA siku hatulisikilizi hata kidogo. Hilo jitu utadhani Baba yake ni Corona, Mama yake ni Corona na Babu na Bibi zake ni Corona.
JPM akiongea Dunia inazizima, na hao Mabwana zake BANDAVICHAA wanahara. JPM ni Moto wa Karne. Si mchezo hata kidogo.
 
Nakupata changamoto huache kuzingatia ushauri wa Serikali wa kujikinga dhidi ya maambukizi ufuate wa yule unayemwamini. Lakini naamini unazingatia na ndiyo maana bado uko hai na familia yako kiasi cha kuwa jeuri ya kuporomosha matusi.

AIBU, jitathmini utu wako.
 
Sasa mkuu,Kama watu wengi wakiwa Kama Mimi then wakaenda kwa utaratibu huu unaoshauri hapa huoni hatari iliyoko mbele?
Hao watakuwa wamechagua kifo wenyewe..Kila kitu lipo wazi jomba, wale usihangaike
 
Nikikumbuka haya maneno ya mbowe, na leo hii tupo kwenye kampeni watu wanajazana kwa lissu, nabaki mdomo wazi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…