Mra Eliphas
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 264
- 234
Mpotoshaji mkuu humjui?Hatutaki upotoshaji wa Mbowe
Mikusanyiko hairusiwi la sivyo ataenda lala selo
Dah.
Tumekutuma wewe pombe, usijiteue.Hatutaki upotoshaji wa Mbowe
Mikusanyiko hairusiwi la sivyo ataenda lala selo
Aisee, kipigo cha Police ndo kipigo cha Mungu?tapeli wa taifa, muongo muongo na mnafiki. Inaonekana jinsi alivyoshindwa kumudu uenyekiti wake. Dkt Magufuli si wa kumpinga, ukimpinga tegemea kupata kipigo toka kwa Mungu.
Niliuliza hapa polisi wamemruhusu?Isijekuwa teyari ostabei
Anaongea na vyombo vya habari haongei na Watanzania, kwani yeye nani?
Leo ni siku njema. Kusikia pande zote mbili. Safi sana! Anayechukia alambe sumu.Afadhali tusikie uhalisia wa nchi,tumechoka na uropokaji wa Mzee wa Vichakani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ruhusa ya polisi inahitajika?Niliuliza hapa polisi wamemruhusu?
Kwa kusisitiza wafanyabiashara wa utalii wasaidiwe!? Huoni hapo anapigia debe Protea Hotel?Ila kama division zero ndo zinaleta akili hivi bora mwanangu afeli tu!!mbowe ana comoosure utafikiri ana PhD ya siasa very calm and systematic anayema madini utafikiri yeye ndo comforter in chief!!no wonder anasakamwa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekuwa msemaji wa watanzania Sasa? Tulimchagua tunaona kazi yake na tutamchagua Tena kwa kishindoKunawakati muwe mnafikiria wanaccm kabla ya kucomment toka 2015 watanzania tunalia hali ngumu ya maisha, biashara zimekufa, watu wameumizwa, hakuna ajira wala nyongeza ya mishahara na wakulima ambao ndo wanyonge kila zao limekuwa shida tupu wakulima wanateseka hali ya maisha yao imekuwa duni sana. Yaani sijui huwa mnawaza kwa kutumia nini?
Ni kuulize tu huyo MBOWE anasaka Nini? Kama sio cheoHuyo magufuli ni tumaini la wasaka vyeo na watu kutoka Jamhuri ya watu wa chato lkn wakulima, wafanyakazi, wafanyabiashara na wanafunzi wote wamepotezwa mazima miaka yote 5 ya awamu hii
Huyo magufuli ni tumaini la wasaka vyeo na watu kutoka Jamhuri ya watu wa chato lkn wakulima, wafanyakazi, wafanyabiashara na wanafunzi wote wamepotezwa mazima miaka yote 5 ya awamu hii