Mbowe sasa aamua kutufungia maombi ya siku moja tuliomkataa

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Tumefungiwa maombi ya siku moja turudi kwa baba.
Kwa niaba ya tuliomkataa Mbowe nasema kwamba huyu mchungaji anapoteza muda wake bure.

Mbowe tulimkataa, tunamkataa na tutamkataa katu hatutarudi kwake kama ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Chama baada ya huu uchaguzi mkuu wa Chama.

Sababu za kumkataa tunazo, nia ya kumkataa tunayo na nguvu kubwa sana ya kumkataa ambayo haitayeyushwa na kitu chochote kile tunayo.

Sisi tujitoe muhanga ili machawa wake na yeye wafaidi? Tumemjua Mbowe baada ya upasuaji aliofanyiwa. Katu hatutarudi nyuma. Pona ya Chadema ni Mbowe ashindwe uchaguzi! Kama kuna watu wanahisi tunatania basi wanachezea moto.
 
Dah 🤣🤣🤣🤣
 
Hili litangazo lina ukweli?
 
Huyu Nabii kaamua kupita na Upepo ili ajulikane.

Kazi kwelikweli.
 
Wanufaikaji wa Kikoba wanamlilia Mugabe
 
Lucas Mwashambwa naona mwamba huku anakimbilia Kanisani, na Nyinyi Wapambe mmeshindwa kumpigania.

Mheshimiwa sana Tlaatlaah naona TAL anamtia adabu Mwenyekiti.

Naona umepunguza sana hoja za kumpambania FAM
Statesman,
Freeman Aikaeli Mbowe, mwamba wa kaskazini ndie kiongozi na mwenyekiti wa Chadema Taifa 2024-2029, atathibitishwa rasmi na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa mapema Jan.21, 2025 katika ukumbi wa mlimani City jijini Dar es salaam.

Halafu,
hili mbona liko wazi sana my friends, ladies and gentlemen?🐒
 
Kweli kabisa. Uhai wa Lissu baada ya kushambuliwa ulipatikana kwa maombi. Na tumeendelea kumwombea. Na HAKUNA wa kushindana na Lissu. Maana ameinuliwa na Mungu baada ya kupita kwenye moto.
Unaelewa maana ya kuinuliwa? Kweli Wafuasi wa lissu mna umbumbumbu mkubwa sana.
 
Bora achukue pesa awafungie wanachama kwenye magodauni na kuwalisha🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…