Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Hii nchi ni ngumu sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mchungaji ni mnufaika wa michezo ya Mbowe?Tumefungiwa maombi ya siku moja turudi kwa baba.
Kwa niaba ya tuliomkataa Mbowe nasema kwamba huyu mchungaji anapoteza muda wake bure.
Mbowe tulimkataa, tunamkataa na tutamkataa katu hatutarudi kwake kama ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Chama baada ya huu uchaguzi mkuu wa Chama.
Sababu za kumkataa tunazo, nia ya kumkataa tunayo na nguvu kubwa sana ya kumkataa ambayo haitayeyushwa na kitu chochote kile tunayo.
Sisi tujitoe muhanga ili machawa wake na yeye wafaidi? Tumemjua Mbowe baada ya upasuaji aliofanyiwa. Katu hatutarudi nyuma. Pona ya Chadema ni Mbowe ashindwe uchaguzi! Kama kuna watu wanahisi tunatania basi wanachezea moto.
View attachment 3204631
Tumefungiwa maombi ya siku moja turudi kwa baba.
Kwa niaba ya tuliomkataa Mbowe nasema kwamba huyu mchungaji anapoteza muda wake bure.
Mbowe tulimkataa, tunamkataa na tutamkataa katu hatutarudi kwake kama ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Chama baada ya huu uchaguzi mkuu wa Chama.
Sababu za kumkataa tunazo, nia ya kumkataa tunayo na nguvu kubwa sana ya kumkataa ambayo haitayeyushwa na kitu chochote kile tunayo.
Sisi tujitoe muhanga ili machawa wake na yeye wafaidi? Tumemjua Mbowe baada ya upasuaji aliofanyiwa. Katu hatutarudi nyuma. Pona ya Chadema ni Mbowe ashindwe uchaguzi! Kama kuna watu wanahisi tunatania basi wanachezea moto.
View attachment 3204631
Unaelewa maana ya kuinuliwa? Kweli Wafuasi wa lissu mna umbumbumbu mkubwa sana.
Wewe unadhani kibali alichonacho Lissu ni cha kawaida?Huko ndiko kuinuliwa. Sasa anaenda kubwa m/kiti wa CHADEMA taifa kutoka kwenye umakamu mwenyekiti. Je, huko siyo kuinuliwa?Unaelewa maana ya kuinuliwa? Kweli Wafuasi wa lissu mna umbumbumbu mkubwa sana.