Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Siku hizi hadi maandazi mnayolisha watoto nyumbani ni kwa fadhili za rais.Hahahaaa...... Ungekuwa wewe ungekataa ofa ya Rais ili uongoze Ufipa?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi hadi maandazi mnayolisha watoto nyumbani ni kwa fadhili za rais.Hahahaaa...... Ungekuwa wewe ungekataa ofa ya Rais ili uongoze Ufipa?!
Paulin nCecil ni mwanamme..........Cecilia ni mwanamke!
Kama Joseph na Josephina!
Paulin na PaulinaKama Modest na Modester
Hapa hoja ya msingi ya kujadiliwa ni kuwa jimbo LA masasi halina maendeleo kwa kuwa mwambe yuko chadema.Mbowe sasa ana nafasi kubwa ya kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA baada ya mshindani wake Mh Mwambe kutamaniwa na CCM.
Leo kwa mara ya pili Rais Magufuli amesema CCM ilifanya makosa kumuengua Mwambe na matokeo yake wananchi wa Masasi wamekosa maendeleo.
Rais Magufuli amesema moyo wa Cecil Mwambe bado uko CCM na anaweza kuhamia chama tawala hivyo wahafidhina wa chama wasije kumbughuzi kama walivyomfanyia 2015.
Chanzo: TBC
My take: Freeman Mbowe ana bahati ya mtende!
Cheki hapo*148*02#
Chagua namba 1 kisha bonyeza OK
Chagua namba 2 kisha bonyeza Ok
Chagua namba 3.Mwezi bonyeza Ok
Chagua namba 5 Mwezi 95,000 bonyeza Ok
Rudia mara nyingi uwezavyo kisha bonyeza *102*00#
Utakuja nishukuru hapa ni kwa wa teja wa GOTI tu ni REBU
Makachero wabobezi wa chadema walisha mkata miguu kabla, magu na ccm yake wapo karne moja nyuma ya CDMMbowe sasa ana nafasi kubwa ya kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA baada ya mshindani wake Mh Mwambe kutamaniwa na CCM.
Leo kwa mara ya pili Rais Magufuli amesema CCM ilifanya makosa kumuengua Mwambe na matokeo yake wananchi wa Masasi wamekosa maendeleo.
Rais Magufuli amesema moyo wa Cecil Mwambe bado uko CCM na anaweza kuhamia chama tawala hivyo wahafidhina wa chama wasije kumbughuzi kama walivyomfanyia 2015.
Chanzo: TBC
My take: Freeman Mbowe ana bahati ya mtende!
Kuna yule mtawala wa Rhodesia kipindi kileeee akiitwa CECIL RHODES ivi alikuwa "Me" au "Ke"Cecil linanipa shida kujua km ni mwanaume au mwanamke
cecy sio cecilMwananke kwa huku Ntwara
Je maendeleo hayana chama?Mbowe sasa ana nafasi kubwa ya kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA baada ya mshindani wake Mh Mwambe kutamaniwa na CCM.
Leo kwa mara ya pili Rais Magufuli amesema CCM ilifanya makosa kumuengua Mwambe na matokeo yake wananchi wa Masasi wamekosa maendeleo.
Rais Magufuli amesema moyo wa Cecil Mwambe bado uko CCM na anaweza kuhamia chama tawala hivyo wahafidhina wa chama wasije kumbughuzi kama walivyomfanyia 2015.
Chanzo: TBC
My take: Freeman Mbowe ana bahati ya mtende?
Cecil linanipa shida kujua km ni mwanaume au mwanamke
Je una huzuni au furaha? FafanuaMbowe sasa ana nafasi kubwa ya kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA baada ya mshindani wake Mh Mwambe kutamaniwa na CCM.
Leo kwa mara ya pili Rais Magufuli amesema CCM ilifanya makosa kumuengua Mwambe na matokeo yake wananchi wa Masasi wamekosa maendeleo.
Rais Magufuli amesema moyo wa Cecil Mwambe bado uko CCM na anaweza kuhamia chama tawala hivyo wahafidhina wa chama wasije kumbughuzi kama walivyomfanyia 2015.
Chanzo: TBC
My take: Freeman Mbowe ana bahati ya mtende!
Furaha!Je una huzuni au furaha? Fafanua
Huyu alitumwa na ccm kuja kuvuruga uchaguz, bora akae na jiweMbowe sasa ana nafasi kubwa ya kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA baada ya mshindani wake Mh Mwambe kutamaniwa na CCM.
Leo kwa mara ya pili Rais Magufuli amesema CCM ilifanya makosa kumuengua Mwambe na matokeo yake wananchi wa Masasi wamekosa maendeleo.
Rais Magufuli amesema moyo wa Cecil Mwambe bado uko CCM na anaweza kuhamia chama tawala hivyo wahafidhina wa chama wasije kumbughuzi kama walivyomfanyia 2015.
Chanzo: TBC
My take: Freeman Mbowe ana bahati ya mtende!
siku hizi mmejanjarukaKumbe wewe ni kilaza hivyo,hivi unafikiri sisi wana Chadema tungemchagua mtu aliyekuja baada ya kutemwa CCM aiongoze Chadema?
Jiwe ziara za serikali anafanya siasa, okay atavuna, Mungu ni wa wote.Mbowe sasa ana nafasi kubwa ya kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA baada ya mshindani wake Mh Mwambe kutamaniwa na CCM.
Leo kwa mara ya pili Rais Magufuli amesema CCM ilifanya makosa kumuengua Mwambe na matokeo yake wananchi wa Masasi wamekosa maendeleo.
Rais Magufuli amesema moyo wa Cecil Mwambe bado uko CCM na anaweza kuhamia chama tawala hivyo wahafidhina wa chama wasije kumbughuzi kama walivyomfanyia 2015.
Chanzo: TBC
My take: Freeman Mbowe ana bahati ya mtende!
Wewe ulitaka afanye nini badala ya siasa!Jiwe ziara za serikali anafanya siasa, okay atavuna, Mungu ni wa wote.
aisee ndio hvo hata sikujuaKama mliweza kumteua mtu agombee urais itashindikana vipi kwa nafasi ndogo ya uenyekiti?
Siku zote naamini wafuasi wa chadema mna uwezo mdogo sana wa kufikiri
Ndio maana mnapinduliwa pinduliwa tu kama chapati
*148*02#
Chagua namba 1 kisha bonyeza OK
Chagua namba 2 kisha bonyeza Ok
Chagua namba 3.Mwezi bonyeza Ok
Chagua namba 5 Mwezi 95,000 bonyeza Ok
Rudia mara nyingi uwezavyo kisha bonyeza *102*00#
Utakuja nishukuru hapa ni kwa wa teja wa GOTI tu ni REBU