Mbowe: Septemba 24, Tutakaa na Viongozi wengine na tutatoa tamko kama tutataendelea na maandamano au laah!

Mbowe: Septemba 24, Tutakaa na Viongozi wengine na tutatoa tamko kama tutataendelea na maandamano au laah!

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, ameachiwa kwa dhamana usiku huu katika kituo cha Polisi Oysterbay ambapo alikuwa akishikiliwa na Polisi.

Mbowe akiongea nje ya Kituo cha Polisi amesema ifikapo siku ya jumanne ya september 24, 2024 watakaa na Viongozi wengine na watatoa tamko kama wataendelea na maandamano au laah

Soma Pia:
 
Sijui kama kuna njia mbadala ya kuendelea.
Serikali wamedharau; hata kule kujibu tu waTanzania waliotekwa na kupotezwa wapo wapi; sasa nyinyi kama chama mtaweza vipi kujiondoa kwenye swala kama hilo?

Ni njia ipi nyingine ambayo mtapewa majibu na hiyo serikali inayo wadharau nyinyi na waTanzania wote!
 
Hawa dawa yao kwa hii kesi yao ya ukaidi wa maagizo ya serekali basi ni vyema kesi zao zikasikilizwa katika mahakama mbalimbali, mfano, lissu - Kigoma, mbowe - mtwara, lema - Rukwa, kesi zikawa zinapelekwa kila baada ya siku moja,mahakamani.
Jitambue kijana, serikali ni wewe unayeiunda na inabidi ifanye kazi kwa misingi ya haki. Kutii au kutokutii siyo lazima kila mtu aone ufanyalo wewe sawa. Kutofautiana ni kawaida. Ila kukiwa na uchoyo wa madaraka kama CCM wanvyofanya hapo ndipo nchi inashindwa kutawalika. Mwenye uwezo apewe ridhaa na wananchi siyo nguvu za polisi
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, ameachiwa kwa dhamana usiku huu katika kituo cha Polisi Oysterbay ambapo alikuwa akishikiliwa na Polisi.

Mbowe akiongea nje ya Kituo cha Polisi amesema ifikapo siku ya jumanne ya september 24, 2024 watakaa na Viongozi wengine na watatoa tamko kama wataendelea na maandamano au laah

Soma Pia:
Mapambano bado yanaendelea heko mashujaa wetu mmeonesha kuwa mnasimamia kile mbachosema.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, ameachiwa kwa dhamana usiku huu katika kituo cha Polisi Oysterbay ambapo alikuwa akishikiliwa na Polisi.

Mbowe akiongea nje ya Kituo cha Polisi amesema ifikapo siku ya jumanne ya september 24, 2024 watakaa na Viongozi wengine na watatoa tamko kama wataendelea na maandamano au laah

Soma Pia:
Playing with timebomb is a very terrifying game...!!!
 
Mimi ningekuwa Mbowe ningeacha kuwapigania watanzania ambao wanapiga porojo mitandaoni ila field nakamatwa nikiwa peke yangu! Leo kapata majibu watu wanachapa kazi kutafutia ugali familia, hiyo nguvu ya kubebea mabango na kusumbuana na mapolisi wanatoa wapi?
 
Jitambue kijana, serikali ni wewe unayeiunda na inabidi ifanye kazi kwa misingi ya haki. Kutii au kutokutii siyo lazima kila mtu aone ufanyalo wewe sawa. Kutofautiana ni kawaida. Ila kukiwa na uchoyo wa madaraka kama CCM wanvyofanya hapo ndipo nchi inashindwa kutawalika. Mwenye uwezo apewe ridhaa na wananchi siyo nguvu za polisi
Haki ya maandamano haipo
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, ameachiwa kwa dhamana usiku huu katika kituo cha Polisi Oysterbay ambapo alikuwa akishikiliwa na Polisi.

Mbowe akiongea nje ya Kituo cha Polisi amesema ifikapo siku ya jumanne ya september 24, 2024 watakaa na Viongozi wengine na watatoa tamko kama wataendelea na maandamano au laah

Soma Pia:
Playing with timebomb is a very terrifying game...!!!


View: https://x.com/PMadeleka/status/1838151241513492684?t=v1nSsTxUYnYpCxNMihSyOg&s=19
 
Sijui kama kuna njia mbadala ya kuendelea.
Serikali wamedharau; hata kule kujibu tu waTanzania waliotekwa na kupotezwa wapo wapi; sasa nyinyi kama chama mtaweza vipi kujiondoa kwenye swala kama hilo?

Ni njia ipi nyingine ambayo mtapewa majibu na hiyo serikali inayo wadharau nyinyi na waTanzania wote!
Maandamano ya aina ya waliyofanya wamasai funga morogoro road bagamoyo road na kilwa road siku tatu watawaita kwenye meza ya mazungumzo.

Tatizo CDM wanafanya Siasa kwa vibes tu badala ya strategy they are bound to fail.
 
Playing with timebomb is a very terrifying game...!!!
Fikiria gari la mafuta linalipuka, wajinga wanashangilia na kuanza kutafuta chochote (doom, debe au ndoo) wakikimbilia eneo hilo. Fools rush in where wise men never go.
 
Hawa dawa yao kwa hii kesi yao ya ukaidi wa maagizo ya serekali basi ni vyema kesi zao zikasikilizwa katika mahakama mbalimbali, mfano, lissu - Kigoma, mbowe - mtwara, lema - Rukwa, kesi zikawa zinapelekwa kila baada ya siku moja,mahakamani.
Bora ungekaa kimya laiti ungekuwa umempoteza kaka Yako wa damu Katika utekaji uliofanyika usingeandika hivyo.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, ameachiwa kwa dhamana usiku huu katika kituo cha Polisi Oysterbay ambapo alikuwa akishikiliwa na Polisi.

Mbowe akiongea nje ya Kituo cha Polisi amesema ifikapo siku ya jumanne ya september 24, 2024 watakaa na Viongozi wengine na watatoa tamko kama wataendelea na maandamano au laah

Soma Pia:
Naamini Serikali itatatua changamoto ya utekaji na mauaji.
 
.....Tatizo CDM wanafanya Siasa kwa vibes tu badala ya strategy they are bound to fail.

Tatizo sio CHADEMA Tatizo ni Raia ni wasio kuwa na akili

ukweli ni kwamba sio wana feli, lengo lao linakuwa limetimia chadema wapo kupima upepo wa kisiasa nchini na kufanya siasa za maigizo na matukio
 
Back
Top Bottom