Mbowe: Septemba 24, Tutakaa na Viongozi wengine na tutatoa tamko kama tutataendelea na maandamano au laah!

Mbowe: Septemba 24, Tutakaa na Viongozi wengine na tutatoa tamko kama tutataendelea na maandamano au laah!

Tatizo sio CHADEMA Tatizo ni Raia ni wasio kuwa na akili

ukweli ni kwamba sio wana feli, lengo lao linakuwa limetimia chadema wapo kupima upepo wa kisiasa nchini na kufanya siasa za maigizo na matukio
Wasiishie mitandaoni tu grassroots mobilization ni muhimu.

Kuna kila dalili hata keshi la polisi au CCM hawatatishikq k
Tatizo sio CHADEMA Tatizo ni Raia ni wasio kuwa na akili

ukweli ni kwamba sio wana feli, lengo lao linakuwa limetimia chadema wapo kupima upepo wa kisiasa nchini na kufanya siasa za maigizo na matukio
Na CCM nao wameshapata picha kuwa hata wakiiba kura wanaweza kuwadhibiti CDM bila hata kupiga bomu la machozi.

Kamati kuu ya CDM haiwezi kuitikisa CCM kwa matamko makali tu ya Mbowe.

Wabadili mbinu.
 
Wasiishie mitandaoni tu grassroots mobilization ni muhimu.

Kuna kila dalili hata keshi la polisi au CCM hawatatishikq k

Na CCM nao wameshapata picha kuwa hata wakiiba kura wanaweza kuwadhibiti CDM bila hata kupiga bomu la machozi.

Kamati kuu ya CDM haiwezi kuitikisa CCM kwa matamko makali tu ya Mbowe.

Wabadili mbinu.
Marehemu lowassa aliposema ,Elimu,Elimu ,Elimu ndio kimachosumbua uongozi wa cdm kwa sasa
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, ameachiwa kwa dhamana usiku huu katika kituo cha Polisi Oysterbay ambapo alikuwa akishikiliwa na Polisi.

Mbowe akiongea nje ya Kituo cha Polisi amesema ifikapo siku ya jumanne ya september 24, 2024 watakaa na Viongozi wengine na watatoa tamko kama wataendelea na maandamano au laah

Soma Pia:
Akae kimya tu aendelee na mikakati mingine.Habari za maandamano asizungumzie kabisa. Atazidi kuaibika.
 
Jitambue kijana, serikali ni wewe unayeiunda na inabidi ifanye kazi kwa misingi ya haki. Kutii au kutokutii siyo lazima kila mtu aone ufanyalo wewe sawa. Kutofautiana ni kawaida. Ila kukiwa na uchoyo wa madaraka kama CCM wanvyofanya hapo ndipo nchi inashindwa kutawalika. Mwenye uwezo apewe ridhaa na wananchi siyo nguvu za polisi
Sio Kijana huyo ni mtu mzima aisee
 
"Tupo na wewe kamanda tutangazie siku nyingine ya maandamano"

1000012697.jpg
 
Maandamano ya aina ya waliyofanya wamasai funga morogoro road bagamoyo road na kilwa road siku tatu watawaita kwenye meza ya mazungumzo.

Tatizo CDM wanafanya Siasa kwa vibes tu badala ya strategy they are bound to fail.
Taratibu mkuu 'Al Watani', haya sasa ni mapambano endelevu hadi hapo hali itakapo badilika.

Bila shaka mapendekezo yako wameyaona CHADEMA na waTanzania wote wapenda amani ndani ya taifa hili.
Mikakati ipo mingi tu ya kupandisha joto haldi hawa wanaojifanya kuwa viziwi watazibua masikio.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, ameachiwa kwa dhamana usiku huu katika kituo cha Polisi Oysterbay ambapo alikuwa akishikiliwa na Polisi.

Mbowe akiongea nje ya Kituo cha Polisi amesema ifikapo siku ya jumanne ya september 24, 2024 watakaa na Viongozi wengine na watatoa tamko kama wataendelea na maandamano au laah

Soma Pia:
Using the same method to fix a problem mara nyingi ni unaa
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, ameachiwa kwa dhamana usiku huu katika kituo cha Polisi Oysterbay ambapo alikuwa akishikiliwa na Polisi.

Mbowe akiongea nje ya Kituo cha Polisi amesema ifikapo siku ya jumanne ya september 24, 2024 watakaa na Viongozi wengine na watatoa tamko kama wataendelea na maandamano au laah

Soma Pia:
Using the same method to fix a problem mara nyingi ni unaa
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, ameachiwa kwa dhamana usiku huu katika kituo cha Polisi Oysterbay ambapo alikuwa akishikiliwa na Polisi.

Mbowe akiongea nje ya Kituo cha Polisi amesema ifikapo siku ya jumanne ya september 24, 2024 watakaa na Viongozi wengine na watatoa tamko kama wataendelea na maandamano au laah

Soma Pia:
chadema wameshakaa sana vikao vya sijui vya kamati, mara press conference at the end wanakuja na Samia Must Go, halafu usiku wamanane wanabadili siju eti kupaza sauti ya nini vile 🤣
 
Ndiyo Maana hata ANNUAL INCREMENTS ZA KWENYE SALARY YANGU wametoa et? Tunata Salary increments ni haki ya Mfanyakazi
Kuna jirani yangu last month aliona increment ya fifty thousand, mwezi huu amepata mshahara ule ule wa June na July na April kushuka chini. Kuna Nini?
 
chadema wameshakaa sana vikao vya sijui vya kamati, mara press conference at the end wanakuja na Samia Must Go, halafu usiku wamanane wanabadili siju eti kupaza sauti ya nini vile 🤣
Tlaatlaah Mambo ya CHADEMA huyajui. Stick to your lane.
Kama ungeipenda nchi kiukweli ungehoji mbona ripoti za CAG hazifanyiwi kazi?
 
Tlaatlaah Mambo ya CHADEMA huyajui. Stick to your lane.
Kama ungeipenda nchi kiukweli ungehoji mbona ripoti za CAG hazifanyiwi kazi?
sina haja kubabaika wala kujua mambo ya Chadema hata kidogo gentleman,
ila nayafahamu vizuri sana aise 🤣

hayo mengine ni muhimu ukaandikia uzi tuone maelezo yako yanasemaje na tutakueleza usichokijua..🐒
 
Taratibu mkuu 'Al Watani', haya sasa ni mapambano endelevu hadi hapo hali itakapo badilika.

Bila shaka mapendekezo yako wameyaona CHADEMA na waTanzania wote wapenda amani ndani ya taifa hili.
Mikakati ipo mingi tu ya kupandisha joto haldi hawa wanaojifanya kuwa viziwi watazibua masikio.
Maandamano yanayoleta mabadiliko hayapaswi kubeba sura ya matembezi ya hisani.

Angalia Gen Z walivyoanza Kenya au Maandamano ya Belarus na Thailand hata Singapore yalikuwa yanadisturb mifumo ya kila siku iliyozoeleka.
 
Back
Top Bottom