Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Hapa tu umeshaonesha umbumbumbu wa sheria.😅😊Hawa dawa yao kwa hii kesi yao ya ukaidi wa maagizo ya serekali basi ni vyema kesi zao zikasikilizwa katika mahakama mbalimbali, mfano, lissu - Kigoma, mbowe - mtwara, lema - Rukwa, kesi zikawa zinapelekwa kila baada ya siku moja,mahakamani.