Hawa dawa yao kwa hii kesi yao ya ukaidi wa maagizo ya serekali basi ni vyema kesi zao zikasikilizwa katika mahakama mbalimbali, mfano, lissu - Kigoma, mbowe - mtwara, lema - Rukwa, kesi zikawa zinapelekwa kila baada ya siku moja,mahakamani.
Huyo DJ asituvurugiye nchi. Eti akamleta na binti yake NICOLE, wakijifanya wana uchungu na nchi hii. Toka lini mchaga akawa na uchungu na maisha ya mtu? Akae kwa kutulia kwanza hana HAIBA ya kuwa kiongozi.