Mpemba Mimi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 1,656
- 2,483
Huwa ana-hakikisha ile mikono inashuka. 😎 😎 😎Nasikia mwamba anapiga sana Jibapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa ana-hakikisha ile mikono inashuka. 😎 😎 😎Nasikia mwamba anapiga sana Jibapa
Biashara ni kweli anazo huo sio Uongo, na ametokea kwenye ukoo wa kitajiri.
Ukoo gani huo na wanamiliki Rasilimali gani? 😂Biashara ni kweli anazo huo sio Uongo, na ametokea kwenye ukoo wa kitajiri.
Njoo nikunyonye kamasi😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka mpaka kamasi
Ukininyonya kamasi nakunyonya boo iloNjoo nikunyonye kamasi
🙌Ukininyonya kamasi nakunyonya boo ilo
Kwamba amesalimia ili asionekane ni ALFA NA OMEGA sio
Kweli yupo tungiKwanza mwamba anaonekana yuko chakariii, mpaka anashindwa kufungua macho vizuri..
View attachment 3207714
inbox haraka daddie
Ni ngumu sana kwa waovu na wapenda njia za mkato, njia za dhuluma, njia zisizo haki ktk kuyafikia malengo yao...Demokrasia ngumu Sana.
Mwenyekiti wa Chadema alipotambulishwa mbele ya Baraza Kuu na katibu mkuu mh Mnyika alisimama na kuwaamkia Wajumbe
Mbowe: Shikamoo Wajumbe
Chadema imeelekezwa kibra na TAL dadeki 😂😂
Sisi CCM tunarekodi Kila sentenso
Mlale Unono
Alichofanya ni jokes so as to release tension kwa wajumbe kuwa chairman ataongea zaidi baada ya kutambulishwaMwenyekiti wa Chadema alipotambulishwa mbele ya Baraza Kuu na katibu mkuu mh Mnyika alisimama na kuwaamkia Wajumbe
Mbowe: Shikamoo Wajumbe
Chadema imeelekezwa kibra na TAL dadeki 😂😂
Sisi CCM tunarekodi Kila sentenso
Mlale Unono 😀🌹
Sisi CCM tunarekodi kila sentenso 😂Alichofanya ni jokes so as to release tension kwa wajumbe kuwa chairman ataongea zaidi baada ya kutambulishwa
Nipigie babeinbox haraka daddie
Mbowe miaka ya 80 aliagiza benzi,Ukoo gani huo na wanamiliki Rasilimali gani? 😂
Mwamba alikuwa chakariKwanza mwamba anaonekana yuko chakariii, mpaka anashindwa kufungua macho vizuri..
View attachment 3207714
Hahahaa shikamooni wajumbe!Tulikuwa tunadanganywa kwamba ana biasha nyingi kumbe ilikuwa uongo biashara zake ni chama hivi angekuwa na biashara angekubali kuzalilika kiasi hiki
Weee shoga?Ukininyonya kamasi nakunyonya boo ilo