Mbowe, Slaa, Zitto kulipua bomu Mwanza

Mbowe, Slaa, Zitto kulipua bomu Mwanza

Yule yule mtuhumiwa wa ufisadi katika sakata la Richmond, ndugu Nazir Kalamagi last week alikwenda azania akitaka eti aweke mapesa yake aliyoiba na kuleta majina ya watu ambae yeye angetaka wakopeshwe fedha hizo kupitia benk. Kutokana na uzalendo wa mgt ya benki hiyo walikataa katu kufanya kitendo hicho cha kiibia taifa letu kwa njia za kiinimacho. Ndipo fedhuli huyu alipoondoka kwa aibu huku akilaani kitendo cha kutoswa.

Duu!!! Kama ni ya kweli hayo basi hiyo Banki ya Azania inabidi ipongezwe kwa nguvu zote. na inabidi iwe mfano wa kuigwa na benki zingine kwani benki zote zingekuwa makini na kuzikataa hizo hela za mafisadi tusingefikia hapa tulipo!
 
Yule yule mtuhumiwa wa ufisadi katika sakata la Richmond, ndugu Nazir Kalamagi last week alikwenda azania akitaka eti aweke mapesa yake aliyoiba na kuleta majina ya watu ambae yeye angetaka wakopeshwe fedha hizo kupitia benk. Kutokana na uzalendo wa mgt ya benki hiyo walikataa katu kufanya kitendo hicho cha kiibia taifa letu kwa njia za kiinimacho. Ndipo fedhuli huyu alipoondoka kwa aibu huku akilaani kitendo cha kutoswa.

Mkuu
Tunashukuru kwa news hizi nzuri hawa viongozi wa Azania inabidi wapongezwe swana kwa kupambana na ufisadi.............ila angeenda CRDB au NBC kisima cha mafisadi sijui kama wangezitosa hizo fweza....
 
Mkuu
Tunashukuru kwa news hizi nzuri hawa viongozi wa Azania inabidi wapongezwe swana kwa kupambana na ufisadi.............ila angeenda CRDB au NBC kisima cha mafisadi sijui kama wangezitosa hizo fweza....

fidel80

Sijajua hebu hizi bank CRDB,NBC kuna mikono ya akina nani, kwani naona kuna kila dalili kuwa kuna miongoni mwa mafisadi wanahodhi hisa ndani ya mabenk haya.
 
Back
Top Bottom