Na yeye anataka abaki sababu hana njaa!π===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.
Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.
===
This logical fallacy is called ad hominem.===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.
Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.
===
Nimeshtushwa na hiyo kauli mkuu, je, ni kweli ama si kweliKuanzia sasa itabidi mpaka nisikilize video clip mtu aliongea nini, leo nimegunduwa upotoshaji mkubwa na wa makusudi unaofanywa na member wajinga wajinga wa JF.
Daaah nani kamloga mwenyekiti===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.
Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.
===
Nampa taarifa kuwa Lema ataongea saa 5 na Maigwa ataongea ma vyombo vya habari soon.===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.
Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.
===
wanamchosha kila siku press na siku zimebaki nneHebu mhurumieni Mbowe.
Kwani kwenye hayo maongezi yake na wanahabari kila kukicha, huwa hasemi vipaumbele vyake endapo atakabidhiwa mitano tena?
Naona mnachagua zile futuhi zake na kuzimwaga mitandaoni
Tupeni japo hata point moja ya msingi anayowaahidi wanaCHADEMA
Sikio la kufaMbona hiyo ni reasoning ya kipumbavu sanaa isio stahili kutolewa na mwenyekiti wa chama.
wanamchosha kila siku press na siku zimebaki nneHebu mhurumieni Mbowe.
Kwani kwenye hayo maongezi yake na wanahabari kila kukicha, huwa hasemi vipaumbele vyake endapo atakabidhiwa mitano tena?
Naona mnachagua zile futuhi zake na kuzimwaga mitandaoni
Tupeni japo hata point moja ya msingi anayowaahidi wanaCHADEMA
Haahaa kama kasema kweli hayo akalee wajukuu kashachoka.Mbowe anazidi kupotea===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.
Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.
===
Unamaanisha sisi hatujasikiliza?Leo ndio nimeamini JF imejaa upotoshaji, ukimsikiliza Mbowe direct utamuelewa vizuri sana, siyo hawa wanaotafuta heading za kuleta taaruki Mbowe amewaongelea kwenye interview yake, watu kumi wanaweza kutumia AI kutuma comment 1000 kuleta taharuki kwenye jamii kumbe ukweli haupo hivyo.
Mbowe ana kitu cha ziada.
Umeshawahi kuhudhuria mihadhara ya kina mazinge?Mhmmmm....lete ushahidi wenyekiti kafika huko!???
Mbowe ndiye mwenye njaa zaidi, kutwa kuzurura IkuluMbowe ndio ana Njaa Kali sana YEYE na Yeriko Nyerere π
Ukiona MTU mzima anaishi Kwa Jina la Baba yake Ujue ana Njaa iliyopitiliza
Huwa nawakubali Dr Mwigullu PhD na Kafulila aka Tumblr Kwa sababu husimama Kwa miguu yao Wenyewe πΌ
Mwenyekiti hana maarifa huyu na ni mpumbavu maana heri angekua mjingaMbona hiyo ni reasoning ya kipumbavu sanaa isio stahili kutolewa na mwenyekiti wa chama.
morning trumpet kinarushwa na redio gani?This logical fallacy is called ad hominem.
An ad hominem attack happens when someone does not address the points raised, but focuses on attacking the person raising the points.
Kwamba Mbowe ni genius? Duuh hakika tutatofautiana sana uelewaNimemaliza kuangalia hiyo exclusive interview ya Mbowe almost one hour, usilishwe matango pori.
Anayeta kujuwa Mbowe ni jiniazi
atafute hiyo interview Youtube umsikilize mwenyewe jamaa alivyo na utulivu mkubwa na wala hafokifoki.
Na ukitumia tu common sense ya hiyo interview Mbowe anachaguliwa tena.
Mkuu tulpia clip hiyo kabla watu hawaja anza kuchangia===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.
Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.
===