Uchaguzi 2020 Mbowe umekumbwa na nini?

Mkuu kuna pre na post contracts kwa hiyo usishangae kupewa pesa kwa mafungu

Miaka ya nyuma kabla Lowasa hajagombea Chadema walikuwa wanaweka 40% tu ya wagombea

Urafiki wa Lowasa na wakuu wa wilaya ndio uliombeba kupata wabunge Chadema

Safari lisu ni mweupe haleti kura
 
Lissu yupi huyu rafiki wa robertison wa Amsterdam [emoji16]
Chadema wamejua kutia huruma
Lisu ambae anamtegemea beberu wake Amsterdam eti ndio ataitikisa ccm
 
Mbowe kinachomuuma anatumia pesa ambayo hairudi maana hawapati wabunge safari hii
Ndio maana amekuwa mpole mno
UNAJUWA wasilolijuwa watu ni kuwa mbowe yupo after money sasa hapo lissu hana pesa furaha itatoka wapi wakati hata serve hela kwenye uchaguzi huu
 
Yaani mikutano minne tu ya CCM tayari mshaanza kupoteana.
 
Mwelekeo wa kampeni utaonekana baada ya siku 30,,bado saa hii ni trailer...
 
Mbaya zaidi yule beberu anakashifa kwa kuwa hana mke
Itakuwa lengo la robertison wa Amsterdam ni kutuletea mambo ya usodoma Tanzania ukizingatia mgombea wa chadema alishawahi kutetea hayo mambo
Lisu ambae anamtegemea beberu wake Amsterdam eti ndio ataitikisa ccm
 
Nyie chadema mtapigwa mchakae hampati mbunge safari
Aliyewabeba Mzee Lowasa hayupo tena
Mwelekeo wa kampeni utaonekana baada ya siku 30,,bado saa hii ni trailer...
 
Mbaya zaidi yule beberu anakashifa kwa kuwa hana mke
Itakuwa lengo la robertison wa Amsterdam ni kutuletea mambo ya usodoma Tanzania ukizingatia mgombea wa chadema alishawahi kutetea hayo mambo
Atakuwa kuwabeba bavicha wote aende nao huko ubalgiji. Na hivi bavicha wanapenda wazungu.
 
Anajua hawezikushinda wanayonadi ndo yanafanywa na magufuli sasa anatafakir sanaa.
“Each time I want to fight for African rights, I use only one hand because the other hand is busy trying to keep away Africans who are fighting me.”

Kipangaspecial 2020
 
Nadhani tungejikita katika kuondoa umasikini kwa watanzania, kuliko kumuongelea mtu mmoja mmoja kama mbowe.
 
Na lissu ni mjanja Uchaguzi ukiisha tu anawakimbia anaenda kula bata na robertison wa Amsterdam [emoji3]
Salary slip na G sam ndio kabisaa!
. Wakisikia tu jina la huyo beberu wao akili zinawapotea
 
Mbowe ndiye mwenye Chadema, na ile ni sacos ya famili,sacos inapoleta hasara kina mrema hawatamuelewa
Nadhani tungejikita katika kuondoa umasikini kwa watanzania, kuliko kumuongelea mtu mmoja mmoja kama mbowe.
 
Mbowe ndiye mwenye Chadema, na ile ni sacos ya famili,sacos inapoleta hasara kina mrema hawatamuelewa
Kumzumgumzia Mbowe haisaidii mkuu, na haimsaidii mwananchi masikini asiyweza kupata huduma bora za afya, huduma bora na salama za maji, huduma bora za umeme, mazingira rafiki ya yeye kufanya biashara, bajeti kubwa katika kilimo na pembejeo.
 
Kwanza Anajua Mgombea wake ni Galasa kwa Magufuli
Anakamilisha wajibu tu
 
Upo Nchi gani
Rais Magufuli amepeleka umeme kila kijiji
Amepeleka Zahanati kila kijiji
Maji yanapatikana mjini kwa 90%,vijijini kwa 60%
Elimu bure kwa Watanzania

Nyie chadema mkaungane na robertison wa Amsterdam tu [emoji3]kubeba boksi
Kumzumgumzia Mbowe haisaidii mkuu, na haimsaidii mwananchi masikini asiyweza kupata huduma bora za afya, huduma bora na salama za maji, huduma bora za umeme, mazingira rafiki ya yeye kufanya biashara, bajeti kubwa katika kilimo na pembejeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…