Acha porojo kuwa mkweli je ulikwepo lissu akipewa fedha za kukodiwa ndege? Je Uliona mkataba kuwa akishinda Atapewa pesa?
Je, Lowasa ndye alikuwa anawapa hela za kampeni 1995, 2000, 2005 na 2010?
Mwisho anapewaje pesa za kampeni kama atashinda ni za nini sasa kama mtu kashinda?
Lisu ambae anamtegemea beberu wake Amsterdam eti ndio ataitikisa ccmLissu yupi huyu rafiki wa robertison wa Amsterdam [emoji16]
Chadema wamejua kutia huruma
UNAJUWA wasilolijuwa watu ni kuwa mbowe yupo after money sasa hapo lissu hana pesa furaha itatoka wapi wakati hata serve hela kwenye uchaguzi huu
Lisu ambae anamtegemea beberu wake Amsterdam eti ndio ataitikisa ccm
Atakuwa kuwabeba bavicha wote aende nao huko ubalgiji. Na hivi bavicha wanapenda wazungu.Mbaya zaidi yule beberu anakashifa kwa kuwa hana mke
Itakuwa lengo la robertison wa Amsterdam ni kutuletea mambo ya usodoma Tanzania ukizingatia mgombea wa chadema alishawahi kutetea hayo mambo
“Each time I want to fight for African rights, I use only one hand because the other hand is busy trying to keep away Africans who are fighting me.”Anajua hawezikushinda wanayonadi ndo yanafanywa na magufuli sasa anatafakir sanaa.
Sawa sawa..Nyie chadema mtapigwa mchakae hampati mbunge safari
Aliyewabeba Mzee Lowasa hayupo tena
Nadhani tungejikita katika kuondoa umasikini kwa watanzania, kuliko kumuongelea mtu mmoja mmoja kama mbowe.Toka kampeni zianze umekuwa mpole sana, hauna furaha, unafanya kampeni ili kukamilisha ratiba tu body language yako inaongea tatizo ni kaka.
Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni safari hii mbona umekuwa wa baridi kuliko 2015.
Jana mtu mmoja aliniambia Mbowe alikuwa na furaha 2015 Kwasababu hizi.
Mgombea wa CHADEMA ndugu Lowasa alikuwa anauzika kwa Wananchi tofauti na huyu aliyepo waliemteua kama zawadi kutokana na kujeruhiwa kwa risasi.
Pia mgombea wa CHADEMA alikuja na pesa ya kampeni Kwahiyo Mbowe hakutumia pesa za CHADEMA katika kampeni tofauti na mgombea wa mwaka huu kapewa pesa ya kukidiwa ndege tu kule alikotoka na pesa zingine atapewa akishinda Urais.
Mgombea wa 2015 alikuwa na urafiki na wakuu wa wilaya na wakurugenzi hali iliyowasaidia CHADEMA kupata wabunge kiasi.
Km tunavyojua Mbowe alitaka sana Membe ndio awe mgombea wa CHADEMA kwasababu angekuwa ni assets kwa CHADEMA ila Mbowe safari alishindwa nguvu na makamanda wasiokuwa na jicho pana kisayansi.
Pole sana Mbowe ningekushauri urudi jimboni kwako ukakae kule upige kampeni mnaweza kukosa jimbo hata mmoja mwaka huu, sioni jimbo gani mtashinda mwaka huu.
Pole Mbowe umeletewa mgombea ambaye sio chaguo lako.
Salary slip na G sam ndio kabisaa!Kina chakaza [emoji3]
Kumzumgumzia Mbowe haisaidii mkuu, na haimsaidii mwananchi masikini asiyweza kupata huduma bora za afya, huduma bora na salama za maji, huduma bora za umeme, mazingira rafiki ya yeye kufanya biashara, bajeti kubwa katika kilimo na pembejeo.Mbowe ndiye mwenye Chadema, na ile ni sacos ya famili,sacos inapoleta hasara kina mrema hawatamuelewa
Kumzumgumzia Mbowe haisaidii mkuu, na haimsaidii mwananchi masikini asiyweza kupata huduma bora za afya, huduma bora na salama za maji, huduma bora za umeme, mazingira rafiki ya yeye kufanya biashara, bajeti kubwa katika kilimo na pembejeo.