Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
- Thread starter
- #41
Mkuu kuna pre na post contracts kwa hiyo usishangae kupewa pesa kwa mafungu
Miaka ya nyuma kabla Lowasa hajagombea Chadema walikuwa wanaweka 40% tu ya wagombea
Urafiki wa Lowasa na wakuu wa wilaya ndio uliombeba kupata wabunge Chadema
Safari lisu ni mweupe haleti kura
Miaka ya nyuma kabla Lowasa hajagombea Chadema walikuwa wanaweka 40% tu ya wagombea
Urafiki wa Lowasa na wakuu wa wilaya ndio uliombeba kupata wabunge Chadema
Safari lisu ni mweupe haleti kura
Acha porojo kuwa mkweli je ulikwepo lissu akipewa fedha za kukodiwa ndege? Je Uliona mkataba kuwa akishinda Atapewa pesa?
Je, Lowasa ndye alikuwa anawapa hela za kampeni 1995, 2000, 2005 na 2010?
Mwisho anapewaje pesa za kampeni kama atashinda ni za nini sasa kama mtu kashinda?